Hazchem plate
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 11,048
- 15,465
Amen 🙏🙏🙏🙏Take heart.. & read Isaiah 60:22
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amen 🙏🙏🙏🙏Take heart.. & read Isaiah 60:22
Jamani poleni.na sperm zako ziko poa?Mayai yapo na yanapevuka. Tumefanya hadi procedure inaitwa IUI lakini hatukufanikiwa.
Naomba Mungu atutoe kwenye hili
Pia nafikili kufanya IVF which cost abt 10 tzs milions
mmhJamani poleni.na sperm zako ziko poa?
Hiyo ni 20. So powerfullAmen 🙏🙏🙏🙏
Mkuu naww una tatizo la uzazi??Mayai yapo na yanapevuka. Tumefanya hadi procedure inaitwa IUI lakini hatukufanikiwa.
Naomba Mungu atutoe kwenye hili
Pia nafikili kufanya IVF which cost abt 10 tzs milions
Unatakiwa upime mkuu.sasa wanapimaje mtu mmoja?
Kipimo kinauma hiki...
Nina miaka 4 ya ndoa yangu, sijapata mtoto, stress nilipitia ila uzuri mume na wakwe na wifi zangu wananitia moyo.
Mwanzo nilijipa stress sana, ila zikapoa ila Kuna wakati zinarudi...
Hakika kama kuna kitu nilipima nikaumwa na kulazwa emergency ni hiki kipimo cha mirija yaani balaa lake ni hatare...
Jamani usiombe, hadi damu inatoka, alafu majibu yanakuja yanasema upo sawa.
Mungu unikumbuke na wote ambao wanapitia hili la kuchelewa kupata mtoto.
unapimaje sperm
unapimaje sperm
Hee mbona huwa sinapimwa mkuu.sasa mlipandikizaje bila kucheki kila kitu.waliwaibia tu hela zenuunapimaje sperm
Nilipima kukaonelana kuna some minor issues nikapewa dawa nikatumiaJamani poleni.na sperm zako ziko poa?
Anapatikana wapi huyu??+255 759 296 625 dokta said mtafute nimeonaa wengi wanatoa shuhuda zake, hata mimi kuna jambo langu lilifanikiwa kupitia huyo cha msingi ni imani
Nb: Sio mganga wa kienyeji ni dokta
Sina jibu la moja kwa moja. Ila sina tatizo na mke wangu hana. Hata kama tunayo ni issue ndogo ndogo hata ambao wamepata watoto wanazoMkuu naww una tatizo la uzazi??
Shida n ww au mwanamke
Kwani ulisha wahi toa mimba?Wakuu nina miezi miwili bila bila niko kwa ndoa. Niko na mashaka.
Mkuu kapime pekeyako kwanza tabla ya kwenda na mwenza ili ujupange kisaikolojia baada ya kuookea majibu halafu nenda kapime hospitality kubwa au za serikali ili kupata majibu yenye uhakikaMkuu naww una tatizo la uzazi??
Shida n ww au mwanamke
Kapime leta majibu yako in box nikuelekeze cha kufanya jamaaNilipima kukaonelana kuna some minor issues nikapewa dawa nikatumia
Anapatikana wapi huyu??