Mlikaa muda gani baada ya kuoana kabla ya kupata mtoto?

Mlikaa muda gani baada ya kuoana kabla ya kupata mtoto?

Usimtie mimba mkeo mapema furahieni maisha kwanza na mjuane na kuzoeana vizuri

Angalau mwaka mmoja wa ndoa bila mtoto ni muhimu sana

Akishazaa na kupata mtoto mwanamke hutengeneza bond kali sana na mtoto kuliko mume

Waume wengi huhisi wanadharauliwa na upendo umeshuka
Una hoja mkuu,usikilizwe
 
Miezi kadhaa tu, na hapo tulikuwa tumepanga tusipate, hivyo siku za kuruka majoka zilikuwa ni zile salama, ila tulivyoamua tusake mtoto, ni mwezi ule ule tu mungu akajalia mimba ikapatikana
 
Pole sanaa mkuu.. Mtoto ni zawadi toka kwa Mungu, lakini kwaupande wako naona bado mapema sanaa.. umepoteza matumaini mapema mnoo.., miezi miwili michache sanaa.. But usiiwekee akilini hiyo ishu itakupa stress.. Binafsi nilipata stress hadi nilidhoofu yan lakn now nimesahau nachukulia kawaida...
Mimi ninavyoandika uzi huu, nina miaka watatu sijafanikiwa kupata mtoto.. show napiga frsh tena show moto.. lakini wife hashiki ujauzuto na wife katumia dawa nyingi sanaa... miti shamba,za hospitali,kwa mitume na manabii ishu bado imekua ngumu..
Nikaamua hadi mimi nikapime kucheki sperm kama zinashida, wife nikampeleka hosptali nyingi sanaa Dar, mbeya,Njombe n.k kwa specialists wa akina mama lakini holaa..
Baada ya hapo nilijipa muda wa kuangalia hali hiyo(.....Yrs) ikishindikana inatakiwa nifanye plan B ili tu nipate mtoto hata nje ya ndoa( ila sijapenda kufanya ivoo) inanibidi nichukue maamuzi magumu tu coz umri unaenda mkuu..
Nilipitia hali ngumu sanaa mwaka jana.. yani nilitamani hata ni badili dini, walau nipate jiko lingne kihalali lkn nafsi ili goma, nilitamani ni wife nimuachie kila kitu biashara mbili na mali zote za home lkn nafsi ilikataa, n.k but nimevumila had now, najipa moyo naamini nitafanikiwa. But nimejipa muda wa kuvumilia coz kuvumilia na kupoteza muda vinafanana but undani wake ni tofauti.
Kama kunamtu wakunishauri namkaribisha pia, bado napokea ushauri kwenu wadau wangu..
Nitafute mkuu, jambo Hilo ni jepesi
 
Wakuu nina miezi miwili bila bila niko kwa ndoa. Niko na mashaka.
We miezi miwili tu tayari ushakuwa na stress!! Mbona wengine wana zaidi ya miaka miwili bado wanatafuta mtoto.

Hata hivyo hukupaswa kuoa kabla hamjatest mitambo na kumpa mimba. usifuate sana taratibu za dini kuwa sex ni baada ya ndoa, hiyo haipo na huo utaratibu una mapungufu makubwa sana.
 
Pole sanaa mkuu.. Mtoto ni zawadi toka kwa Mungu, lakini kwaupande wako naona bado mapema sanaa.. umepoteza matumaini mapema mnoo.., miezi miwili michache sanaa.. But usiiwekee akilini hiyo ishu itakupa stress.. Binafsi nilipata stress hadi nilidhoofu yan lakn now nimesahau nachukulia kawaida...
Mimi ninavyoandika uzi huu, nina miaka watatu sijafanikiwa kupata mtoto.. show napiga frsh tena show moto.. lakini wife hashiki ujauzuto na wife katumia dawa nyingi sanaa... miti shamba,za hospitali,kwa mitume na manabii ishu bado imekua ngumu..
Nikaamua hadi mimi nikapime kucheki sperm kama zinashida, wife nikampeleka hosptali nyingi sanaa Dar, mbeya,Njombe n.k kwa specialists wa akina mama lakini holaa..
Baada ya hapo nilijipa muda wa kuangalia hali hiyo(.....Yrs) ikishindikana inatakiwa nifanye plan B ili tu nipate mtoto hata nje ya ndoa( ila sijapenda kufanya ivoo) inanibidi nichukue maamuzi magumu tu coz umri unaenda mkuu..
Nilipitia hali ngumu sanaa mwaka jana.. yani nilitamani hata ni badili dini, walau nipate jiko lingne kihalali lkn nafsi ili goma, nilitamani ni wife nimuachie kila kitu biashara mbili na mali zote za home lkn nafsi ilikataa, n.k but nimevumila had now, najipa moyo naamini nitafanikiwa. But nimejipa muda wa kuvumilia coz kuvumilia na kupoteza muda vinafanana but undani wake ni tofauti.
Kama kunamtu wakunishauri namkaribisha pia, bado napokea ushauri kwenu wadau wangu..
Aisee,pole sana mkuu,nimesoma nimesikitika sana,kwanza nikupongeze kwa uvumilivu na uaminifu ulionao kwa mkeo,ni wachache sana wanaoweza kushinda hili karibu.

Kama ilivyozoeleka ni kwamba ndoa ni watoto,lakini wakati mwingine huja tofauti na matarajio yetu,hapo ndipo wakati wengi hukata tamaa.Nawashangaa sana baadhi ya wanaume wanaokataa watoto,au mimba au kuwadhihaki waliowabebea mimba na kuwazalia watoto,na kufanya waitwe baba. Mungu akusaidie mkuu,upate hitaji la moyo wako,usikate tamaa siku yako ya furaha inakuja.

Endelea kupiga goti wewe pamoja na mkeo,salini kwa pamoja Wala usifikirie kumuacha mkeo kwa sababu hiyo,wakati wa Mungu ndio wakati sahihi.
 
Pole sanaa mkuu.. Mtoto ni zawadi toka kwa Mungu, lakini kwaupande wako naona bado mapema sanaa.. umepoteza matumaini mapema mnoo.., miezi miwili michache sanaa.. But usiiwekee akilini hiyo ishu itakupa stress.. Binafsi nilipata stress hadi nilidhoofu yan lakn now nimesahau nachukulia kawaida...
Mimi ninavyoandika uzi huu, nina miaka watatu sijafanikiwa kupata mtoto.. show napiga frsh tena show moto.. lakini wife hashiki ujauzuto na wife katumia dawa nyingi sanaa... miti shamba,za hospitali,kwa mitume na manabii ishu bado imekua ngumu..
Nikaamua hadi mimi nikapime kucheki sperm kama zinashida, wife nikampeleka hosptali nyingi sanaa Dar, mbeya,Njombe n.k kwa specialists wa akina mama lakini holaa..
Baada ya hapo nilijipa muda wa kuangalia hali hiyo(.....Yrs) ikishindikana inatakiwa nifanye plan B ili tu nipate mtoto hata nje ya ndoa( ila sijapenda kufanya ivoo) inanibidi nichukue maamuzi magumu tu coz umri unaenda mkuu..
Nilipitia hali ngumu sanaa mwaka jana.. yani nilitamani hata ni badili dini, walau nipate jiko lingne kihalali lkn nafsi ili goma, nilitamani ni wife nimuachie kila kitu biashara mbili na mali zote za home lkn nafsi ilikataa, n.k but nimevumila had now, najipa moyo naamini nitafanikiwa. But nimejipa muda wa kuvumilia coz kuvumilia na kupoteza muda vinafanana but undani wake ni tofauti.
Kama kunamtu wakunishauri namkaribisha pia, bado napokea ushauri kwenu wadau wangu..
Mkuu mkeo alishawai kufanya kipimo cha mirija??
Ila usiwaze mtapata mtoto
 
Mkuu mkeo alishawai kufanya kipimo cha mirija??
Ila usiwaze mtapata mtoto
Kipimo kinauma hiki...

Nina miaka 4 ya ndoa yangu, sijapata mtoto, stress nilipitia ila uzuri mume na wakwe na wifi zangu wananitia moyo.

Mwanzo nilijipa stress sana, ila zikapoa ila Kuna wakati zinarudi...

Hakika kama kuna kitu nilipima nikaumwa na kulazwa emergency ni hiki kipimo cha mirija yaani balaa lake ni hatare...

Jamani usiombe, hadi damu inatoka, alafu majibu yanakuja yanasema upo sawa.

Mungu unikumbuke na wote ambao wanapitia hili la kuchelewa kupata mtoto.
 
Kipimo kinauma hiki...

Nina miaka 4 ya ndoa yangu, sijapata mtoto, stress nilipitia ila uzuri mume na wakwe na wifi zangu wananitia moyo.

Mwanzo nilijipa stress sana, ila zikapoa ila Kuna wakati zinarudi...

Hakika kama kuna kitu nilipima nikaumwa na kulazwa emergency ni hiki kipimo cha mirija yaani balaa lake ni hatare...

Jamani usiombe, hadi damu inatoka, alafu majibu yanakuja yanasema upo sawa.

Mungu unikumbuke na wote ambao wanapitia hili la kuchelewa kupata mtoto.
Kiliuma kwa.sababu ilikuwa na uchafu.so kilisafisha safisha.pole
Baada ya hapo umecheki magari? Una miaka mingapi?
 
Kiliuma kwa.sababu ilikuwa na uchafu.so kilisafisha safisha.pole
Baada ya hapo umecheki magari? Una miaka mingapi?
Mbona hawakuniambia kama nilikuwa na uchafu, waliniambia kipimo kinaonyesha huna tatizo...

Ila Huwa hawasemi kile kipimo kinauma, maana baada ya kulazwa emergency, nikasikia wakisema mbona hamuwaambii Hawa wanawake kuwa kipimo kinauma...
 
Pole sanaa mkuu.. Mtoto ni zawadi toka kwa Mungu, lakini kwaupande wako naona bado mapema sanaa.. umepoteza matumaini mapema mnoo.., miezi miwili michache sanaa.. But usiiwekee akilini hiyo ishu itakupa stress.. Binafsi nilipata stress hadi nilidhoofu yan lakn now nimesahau nachukulia kawaida...
Mimi ninavyoandika uzi huu, nina miaka watatu sijafanikiwa kupata mtoto.. show napiga frsh tena show moto.. lakini wife hashiki ujauzuto na wife katumia dawa nyingi sanaa... miti shamba,za hospitali,kwa mitume na manabii ishu bado imekua ngumu..
Nikaamua hadi mimi nikapime kucheki sperm kama zinashida, wife nikampeleka hosptali nyingi sanaa Dar, mbeya,Njombe n.k kwa specialists wa akina mama lakini holaa..
Baada ya hapo nilijipa muda wa kuangalia hali hiyo(.....Yrs) ikishindikana inatakiwa nifanye plan B ili tu nipate mtoto hata nje ya ndoa( ila sijapenda kufanya ivoo) inanibidi nichukue maamuzi magumu tu coz umri unaenda mkuu..
Nilipitia hali ngumu sanaa mwaka jana.. yani nilitamani hata ni badili dini, walau nipate jiko lingne kihalali lkn nafsi ili goma, nilitamani ni wife nimuachie kila kitu biashara mbili na mali zote za home lkn nafsi ilikataa, n.k but nimevumila had now, najipa moyo naamini nitafanikiwa. But nimejipa muda wa kuvumilia coz kuvumilia na kupoteza muda vinafanana but undani wake ni tofauti.
Kama kunamtu wakunishauri namkaribisha pia, bado napokea ushauri kwenu wadau wangu..
Je katika zunguka kwa madaktari wife hana tatizo la uzazi?

Kama hana tatizo tumia mitishamba kuna mizizi naifahamu huwa haicheleweshi kabisa endapo tu vizazi vipo
 
Back
Top Bottom