Technophilic Pool
JF-Expert Member
- Jan 18, 2024
- 2,597
- 3,965
- Thread starter
-
- #121
Kipimo kinaitwajeMkuu kapime pekeyako kwanza tabla ya kwenda na mwenza ili ujupange kisaikolojia baada ya kuookea majibu halafu nenda kapime hospitality kubwa au za serikali ili kupata majibu yenye uhakika
ohoooKupata mtoto ni majaaliwa ya Mungu usisemee "ooh mbona mi nakata sana kiuno kama msambaa"hiyo siyo sababu
Nipo inboxKapime leta majibu yako in box nikuelekeze cha kufanya jamaa
Umewahi kutoka mimba?Wakuu nina miezi miwili bila bila niko kwa ndoa. Niko na mashaka.
Asante mamy+255 759 296 625 dokta said mtafute nimeonaa wengi wanatoa shuhuda zake, hata mimi kuna jambo langu lilifanikiwa kupitia huyo cha msingi ni imani tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] jamaniEndelea kuchochea uno
Wakati wa Bwana ndiyo wakati sahihiKipimo kinauma hiki...
Nina miaka 4 ya ndoa yangu, sijapata mtoto, stress nilipitia ila uzuri mume na wakwe na wifi zangu wananitia moyo.
Mwanzo nilijipa stress sana, ila zikapoa ila Kuna wakati zinarudi...
Hakika kama kuna kitu nilipima nikaumwa na kulazwa emergency ni hiki kipimo cha mirija yaani balaa lake ni hatare...
Jamani usiombe, hadi damu inatoka, alafu majibu yanakuja yanasema upo sawa.
Mungu unikumbuke na wote ambao wanapitia hili la kuchelewa kupata mtoto.
Amina @RaymanuMungu akufanyie wepesi jamani
ππ binadamu hatukosi cha kuongea,hongera sana , nimependa huo mpishano wa mwaka 1, 1 nimepanga hivo pia Mungu akinisaidia, miaka 3 watoto 3 nibaki kulea tuππMiaka 3 bila bila , kekele zikaanza chinichini mke hazai!Mungu akashusha Baraka zake ,Ile dogo anafunga tuu mwaka ..mimba ya 2 ,,,Ile dogo nae anafunga mwaka mimba ya 3!!kelele zikaanza tena mke anazaa kama nyau[emoji1]!baasi nikaamua kuishia hapo madogo wamekua naenjoy tuu sasa!
Sawa mkuu tukutane PMNitafute mkuu, jambo Hilo ni jepesi
Vizazi vipo mkuu.. mitishamba nimetumia mingi sanaa sijajua ww unao wa ainagani?Je katika zunguka kwa madaktari wife hana tatizo la uzazi?
Kama hana tatizo tumia mitishamba kuna mizizi naifahamu huwa haicheleweshi kabisa endapo tu vizazi vipo
Duh Pole ipo huko kanda ya ziwa jina lake ni la asili, kama utahitaji utanipm ili tuitafute nayo uijaribuVi
Vizazi vipo mkuu.. mitishamba nimetumia mingi sanaa sijajua ww unao wa ainagani?
Asante sanaa mkuu kwanifariji.. naimani ntapata.. thamani ya kitu huwezi kuuiona kama unacho.. usipokuwa nacho utaona thamani yake...Aisee,pole sana mkuu,nimesoma nimesikitika sana,kwanza nikupongeze kwa uvumilivu na uaminifu ulionao kwa mkeo,ni wachache sana wanaoweza kushinda hili karibu.
Kama ilivyozoeleka ni kwamba ndoa ni watoto,lakini wakati mwingine huja tofauti na matarajio yetu,hapo ndipo wakati wengi hukata tamaa.Nawashangaa sana baadhi ya wanaume wanaokataa watoto,au mimba au kuwadhihaki waliowabebea mimba na kuwazalia watoto,na kufanya waitwe baba. Mungu akusaidie mkuu,upate hitaji la moyo wako,usikate tamaa siku yako ya furaha inakuja.
Endelea kupiga goti wewe pamoja na mkeo,salini kwa pamoja Wala usifikirie kumuacha mkeo kwa sababu hiyo,wakati wa Mungu ndio wakati sahihi.
Brother ukisema miezi miwili mingii unakosea.. Unapo kuwa kwnyendoa huwez jua kama mke/mme anachangamoto hizo. But nisiandike sanaa hapa.. ila omba tu yasikukute au yasimkute mtu wako wa karibu n.kNinawashangaa wanao sema miezi 2 ni michache,miezi 2 ni mingi kwa wanandoa wasio kuwa na shida.kuwa mwangalifu kati ya wanawake 5 ,watatu wana shida ya uzazi now days.