Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,379
- 41,294
Shikamoo Kasie Mnyamwezi K Matata
Maaahaaabaaaa B to the K.....
Hivi na wewe ni mnyanwezi eeehhh au wewe ni Muganyizii...??! hehehehehee
K' Matata.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shikamoo Kasie Mnyamwezi K Matata
Okay, safii kama nakuona safari yako ilivyokua poa sana,pembeni na mtoto mzuriiKwenye Bus
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kama ulikuepo vileOkay, safii kama nakuona safari yako ilivyokua poa sana,pembeni na mtoto mzurii
[emoji3] [emoji3] [emoji3] , hongereni bana mfikie lengo zuri sasa, La kuwa nwili mmojaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kama ulikuepo vile
Wacha bana.Hahaaaa mleta mada ,Mimi ndye Mrs trouble maker to be, nambie sasa[emoji3] [emoji3]
😂😂 nakumbuka kuna mwana alishawahi ingia vita na mwl kisa nesiAhahahahah.
Wale manesi wa Ipamba kwanza nilikua nakutana nao siku za jumapil tu kanisan na kwenye JointMass.
Halaf ukizinhatia ndio madem hao hao na waalim wanawatolea udenda basi ndio nikawa sinaga hata na muda nao.
Maaahaaabaaaa B to the K.....
Hivi na wewe ni mnyanwezi eeehhh au wewe ni Muganyizii...??! hehehehehee
K' Matata.
Bradhaaa, Hi!Wacha bana.
She is my neighbor "a little far from home"
Nilimfundisha hesabu alipo kua form 2 hapo mimi nimemaliza form 4.
Kamaliza form 6 tukaanza ku date rasmi till now.
Mama Zetu ni marafiki sana toka kitambo
Nakumbuka siku moja Mama aliwahi nitamkia "ingekua ni zile Zama zetu za kuchaguliwa mke ningependa uje uoe kwa flani 'kwao uyo binti', ila mwanangu najua wakati bado ila Muangalie binti wa kwa flani napendezwa nae hata ukianza nae urafiki sio mbaya miaka minne mi tano sio mbali " .
Kimoyoni nikajisemea mother ungejua.
Ila sasa nahis Mama anafaham japo hana uwakika.
Kati ya wanaume wenye binti mrembo basi nami ni mmoja wapo, she is beautiful very beautiful she is smart too.
Mungu mlinde mrembo wangu.
Kitaa kimoja,enzi hizo nawakaza wadada anaona
Anakazwa na wahuni naona,lakini ndo nshaoa "and all the past experiences had been dropped out"
Saivi twaishi kwa amani na furaha tele and we thank God for everything
Heey, mambo vipi?Bradhaaa, Hi!
Poa, hahaaa ndyo huyo shemejio ,usijali kuhusu hilo jina lake "trouble Maker" halifanani na yeye, yeye mpoleee hana utrouble maker wowote hahaa troublemaker .Heey, mambo vipi?
Nimeshamjua shemeji😀😀.
Mzima wewe?
Haya dada.Poa, hahaaa ndyo huyo shemejio ,usijali kuhusu hilo jina lake "trouble Maker" halifanani na yeye, yeye mpoleee hana utrouble maker wowote hahaa troublemaker .
Wewe ulikutana wapi na yule wifi yangu mzuri mzuri[emoji2]Haya dada.
Unaujua UKWATA wewe😃😃😃😃Wewe ulikutana wapi na yule wifi yangu mzuri mzuri[emoji2]
Hahaaa, naufahamu vzr, ulivutiwa na sauti yake kwenye kwaya eeh, hongerenii sana miye mchumba wangu Wa enzi za ukwata hata sijui yuko wapi[emoji2] [emoji2]Unaujua UKWATA wewe[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]