Rabonn
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 5,789
- 11,106
Olevel hakuna boarding ni advance tu...Ahsante kwa taarifa mwaisa, sikuwa na taarifa. Enzi zetu hostel tulikuwa boys tu kuanzia form 1 to form IV.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Olevel hakuna boarding ni advance tu...Ahsante kwa taarifa mwaisa, sikuwa na taarifa. Enzi zetu hostel tulikuwa boys tu kuanzia form 1 to form IV.
[emoji3][emoji3][emoji3]
Wanyumbani umenichekesha Sana.....kaburini mlienda kuzika au kufuatilia marando /apoth /manyasi/ au kuwasalimia waliotangulia hahahahahah.Mimi na wife, tulikutana makaburini pale Buguruni mkabala na Sokoni. Na good enough kumbe na yeye alikua member wa Jf...teh!!
Kuna time huwa tunakumbushana tunacheka sana
Njóo basiNije kula salary hiyo
Wanyumbani umenichekesha Sana.....kaburini mlienda kuzika au kufuatilia marando /apoth /manyasi/ au kuwasalimia waliotangulia hahahahahah.
Mlikutana Jf aseee hongereniHahaaaa mleta mada ,Mimi ndye Mrs trouble maker to be, nambie sasa[emoji3] [emoji3]
Hapana hamruhusiwi.., ila siku ukipata urudi kucoment mliko patanaNa ambao hatuna na hatujawahi kuwa na wapenzi tunaruhusiwa kucomment kwenye hii thread?[emoji848][emoji848][emoji848]
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] labda mapokeziUnadate mtu wa jinsia yako?
Cape Town....F.M.
Ever Loving Dadii...
Mabusu motomoto kwake.
K' Matata.
Poa tu, thanks you're missed too,habari ya huko uliko?Ha hah
Mambo? Nimekumiss sana ujue?!
Ahsantee HB, wewe ulimpatia wapi babe wako?Mlikutana Jf aseee hongereni
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] labda mapokezi
Kwenye BusAhsantee HB, wewe ulimpatia wapi babe wako?