Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 48,474
- 125,866
Nakusubiri kwa hamu sanaHuko mbali ujue tarehe 20 natia maguu huko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakusubiri kwa hamu sanaHuko mbali ujue tarehe 20 natia maguu huko
6EK52C712D Imethibitishwa. Umepokea Tsh200,000.00 kutoka 25575775**** - Mwifwa mnamo 2/6/19 saa 9:07 PM. Salio lako la M-Pesa ni Tsh200,384.00.
Hiyo hapo
Nakusubiri kwa hamu sana
school mate hongera!Nikiwa high school tosamaganga iringa yy alikua Lugalo girls hapo hapo mkoani.Mi mwenyej mkoan ye kaja kusoma tu.Hatukua tunajuana though mpaka baada ya kumaliza advance tukakutana kikazi kwenye NGO moja hiv ambayo ilikua ikitumia form 6 leavers kama volunteers hapo hapo iringa.NGO hii kwa hapa dar wana ofis zao pale Nakiete (restless development enz hizo wakiitwa SPW -student partnership worldwide).
Hapo ndio tukajuana rasmi.Mwaka uliofuata tukaingia chuo.Na mwaka huo huo aka conceive na mwaka unaofuata akajifungua.Tulipomaliza mwaka wa tatu tukaingia kwenye maisha .2 years baadae tukarasimisha mahusiano kanisan na kwa sasa tumejaaliwa watoto kadhaa.She was my first ever girl n nw she is my wife foerverrrr.
Naulizwa tulikutana wapi ?[emoji3] [emoji3]nimekuja mamaa, wanasemaje kwani?
Ahahahahah.school mate hongera!
yule wa ipamba ulimwacha kabisa😊 (natania)
Lugalo imekuwa ya wasichana ? Nimesoma Lugalo ya Salingwa halafu Kitemangu miaka ya 90Nikiwa high school tosamaganga iringa yy alikua Lugalo girls hapo hapo mkoani.Mi mwenyej mkoan ye kaja kusoma tu.Hatukua tunajuana though mpaka baada ya kumaliza advance tukakutana kikazi kwenye NGO moja hiv ambayo ilikua ikitumia form 6 leavers kama volunteers hapo hapo iringa.NGO hii kwa hapa dar wana ofis zao pale Nakiete (restless development enz hizo wakiitwa SPW -student partnership worldwide).
Hapo ndio tukajuana rasmi.Mwaka uliofuata tukaingia chuo.Na mwaka huo huo aka conceive na mwaka unaofuata akajifungua.Tulipomaliza mwaka wa tatu tukaingia kwenye maisha .2 years baadae tukarasimisha mahusiano kanisan na kwa sasa tumejaaliwa watoto kadhaa.She was my first ever girl n nw she is my wife foerverrrr.
jamani si humu humu JF.Naulizwa tulikutana wapi ?[emoji3] [emoji3]
Advance pale ni girls tupu mbona kitambo tu mkuu!!!toka aroung 2005 kama sikoseiLugalo imekuwa ya wasichana ? Nimesoma Lugalo ya Salingwa halafu Kitemangu miaka ya 90
Asante Sana [emoji120]Wow!, hiyo aya ya mwisho nimeipenda, nami nawatakia kila rakheri, Mungu akulindie baby hakika
Ana viashilia vyote vya kuwa mke mwema.Hongera zako mkuu, Nahisi atakua Ni mke mwema kwako
Wewe ni Nikki wa pili?
[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Hahaa, usitaje hiyo tu inatoshajamani si humu humu JF.
au hadi uzi tuliokutaniana nao tuutaje.
Hivi sisi tulikutana wapi FS?Hahaa, usitaje hiyo tu inatosha
Naona unapenda bunduki za hajaanatamanisha
Ahsante kwa taarifa mwaisa, sikuwa na taarifa. Enzi zetu hostel tulikuwa boys tu kuanzia form 1 to form IV.Advance pale ni girls tupu mbona kitambo tu mkuu!!!toka aroung 2005 kama sikosei
[emoji3] [emoji3] ,ahaa mtaa gani ule Njombe hukoHivi sisi tulikutana wapi FS?
Ha hah[emoji3] [emoji3] ,ahaa mtaa gani ule Njombe huko