Roho mbaya tu imekujaa. Hilo halihusiani na huyo WaziriKuna mtu kibarua kinaenda kuota nyasi
Alidanganya watanzania kule musoma akasema samaki walikufa kwasababu ya matope,
Akaponea chupu chupu kwenye uwekezaji wa ziwa babati,
Kwenye hili la kilimanjaro kuteketea kwa moto sijui kama atatoboa.
Roho mbaya kwa mtu ambaye amenizidi kila kitu mi nimetoa maoni nafuata kauli mbiu ya jf the dare to talk openly shida iko wapi mkuuRoho mbaya tu imekujaa. Hilo halihusiani na huyo Waziri
Nipo kwetu Bomang'ombe nauonaDaudi Mchambuzi hapo Machame moto unauona ?
Acha wengeNimesema tulia na ni amri.
Sauh'waaah?!
Wamechukua Migambo wote Mkoa mzima kwa order tangu juzi wakazime moto pamoja na jeshi la zimamoto...cjui wamefikia wapiMlima kilimanjaro unawaka tena moto usiku huu. KINAPA NA TANAPA AMKENI .
Sasa nitatofautishaje wakayi siko mlimani? Mimi nimejaribu kuwaza tu. Mlimani tunaambiwa ni barafu tu sasa moto unawaka kwenye kuni zipi?Jua kutofautisha Volcano na moto wa kawaida..huo ni moto wa kawaida na wala sio Lava
Sitanii bwana mdogo nataka utulie mara moja. La sivyo nitakufuata hapo ulipo nakukuzaba vibao vya uhakikaAcha wenge
NjooSitanii bwana mdogo nataka utulie mara moja. La sivyo nitakufuata hapo ulipo nakukuzaba vibao vya uhakika
Nimegairi. Haya kanye ulale. Ni amriNjoo
Unawaka mda huu au fix?MOTO UNAOPIGA LEO NI BALAA UNAWEZA SEMA NI NI KILE KIBIRITI KILIPGWA SODOMA
SIO UTANI MOTO UNAKARIBU WIKI UNAWAKA ILA LEO UMEKUA MKUBWA SANAUnawaka mda huu au fix?
Uwake tu hakuna shida wenye mradi wao watauzima wakiushindwa basi acha mlima ugeuke majivu tu, au kuna watu wanaungua?SIO UTANI MOTO UNAKARIBU WIKI UNAWAKA ILA LEO UMEKUA MKUBWA SANA
Wewe ni Ke?Taifa lililo fitinika
Unataka ufanyeje[emoji849]Wewe ni Ke?
Nilisema mimMlima kilimanjaro unawaka tena moto usiku huu. KINAPA NA TANAPA AMKENI .