Mlimani City: Vikao vya CHADEMA kumchagua mgombea Urais

Mlimani City: Vikao vya CHADEMA kumchagua mgombea Urais

Hii dunia ina vituko na vichekesho sana sana

Kwa mtu smart kichwani huwezi poteza muda wako kwenda kupiga kura wakati mshindi anajulikana

Mlishaambiwa itatumika kitu inaitwa "SHIKWAMBI" yaani Shinda kwa mbinu iwe mvua au jua

Wewe mleta uzi huoni Flyover, Stiglers gorge, Lami kila kona mpaka huko Lupaso na Nanjilinji

Ulishaambiwa Mzee Mwinyi anashangaa leo hii kila mtu ana vaa viatu mambo ya uchumi wa kati haya

Mwezi huu wa saba wafanyakazi wote wa serikali na private mmeongezewa elfu hamsini kwenye mishahara yenu

Rais Magufuli ameongeza mishahara sekta zote

Magufuli Baba kwa busara zako na hekima kanyaga twende

Leo hii Tanzania watu mnavaa viatu, Unajua kabla ya Rais Mwinyi kulikuwa hakuna mitumba

Magufuli Baba

Kwa hekima zako

Na busara zako Baba maendeleo tunayaona

Kanyaga twende Baba hakuna breki hapa tupo tambarare mambo yamenyooka na safi, kanyaga Baba

Mshindi anajulikana watu mnapoteza pesa Mlimani city hivi hamkusoma mambo ya Forecast au probability au hata kuona hamuoni
Buku 7
 
kwa mbaliii Mbowe anapiga hesabu za kubadili tena gia angani..

lakini mbele ya wakili msomi hesabu inamgomea
 
Magufuli hajaongeza mshahara wa watumishi , amepunguza kiwango cha kodi tena baada ya Maji kumfika shingoni mwaka huu mwezi wa Saba. Unafikiri watumishi ni wajinga kulaghaiwa sasaivi wakati miaka 4 amewatelekeza.

Sikiliza nikwambie ndugu. Mjerumani alijenga miundombinu, mwingereza alijenga, Mkapa na Kimwete walijenga so kwa hivyo tena vidogo sana vya magufuli haviwambumbazi watanzania.

Hakuna mtu atakayeenda enda kumpa miaka mingine mitano mtu aliyeharibu uchumi wa nchi vibaya kama Magufuli, Watu hawana ajira maelfu mitaani kwa kuharibu kwake sekta binafsi. Biashara kubwa zimekufa sasa anataka kuifanya nchi nzima ya wachuuzi.

Ameharibu biashara ya mazao kama mahindi, korosho na mbaazi kwa kukurupuka kwake.

Bei ya Sukari imepanda toka 1800 hadi 2500 kwa kauli zake tu za kukurupuka alafu apewe tena miaka 5 ??? Hapana!!!

Kajipangeni upya na propaganda zenu uchwara hizo!
Kaka ,Uchumi unajiendesha wenyewe kwa nguvu za uhitaji na upatikanaji yaani Forces of Demand and Supply

Kaharibu soko una uhakika yeye ndie anaendesha Free enterprise economy au bado unafikiria Tanzania ni nchi ya ujamaa

Baba Tanzania sio nchi ya ujamaa tena iliyofanya serikali kumiliki viwanda

Sasa umekiri umeongezewa elfu hamsini(50,000),

Hiyo elfu hamsini uliongezewa na familia yako au na serikali inayoongozwa na Magufuli

Magufuli Baba,kwa hekima zako ,na busara zako maendeleo tunayaona

Kanyaga twende Baba
 
Kiongozi lazima mkubaliane na uhalisia hakuna kiongozi mzuri asilimia mia 100

Kuna mambo Magufuli ameyafanya vizuri sana sana zaidi ya asilimia mia moja mfano

Watu kuwa na nidhamu maofisini

Watu kuheshimu Raia wa kawaida hasa kwenye huduma za jamii mfano mahospitali na kwenye ofisi za serikali

Watu kumuona kila mtu ni nyoka ofisini na mtu hatari pale anapokuletea dili la kupiga pesa,Leo hii kila mtu anaogopa madeal hujui nyoka ni nani

Tabia za uvivu na uzembe kwisha habari yake

Ulishaambia na kikwete,Mlitaka mabadiliko dawa ni kuleta mtu mkali na anatema cheche

Mapungufu ya Magufuli ni madogo sana

Moja ,Hataki kelele za watu kumsema na kumjadili jadili hovyo

Pili,Akiamua kufanya kitu anasimamia anachokiamini kiwe kitaharibu au hapana ,Yeye hapendi ushauri tofauti

Yote,Magufuli busara zake na hekima tunaziona leo maendeleo yanaonekana

Kanyaga twende Magufuli
Nyuzi za kusifu na kuabudu zipo nyingi mno , nenda huko ukachangie , angekuwa hivyo angeteka wanaompinga ?
 
Chadema naona mumewagomea hata waandishi wa online kurusha live mikutano yenu Kama CCM

Hata wenyewe mumeshindwa ku stream Live!!! Chadema Sasa kweli.mko hoi .Hata Chadema live yenu online wenyewe iwe Twitter , Facebook, YouTube etc mumeshindwa kurusha live!!!

Unatuletea picha ya 2015 eti ndio tuangalie !!!
 
Nyuzi za kusifu na kuabudu zipo nyingi mno , nenda huko ukachangie , angekuwa hivyo angeteka wanaompinga ?
Leta ushahidi

Katika sifa ya Forensic investigation ni kukwepa habari za kusikia au kuhisi yaani"Hearsay"

Sasa habari za kusikika za vijiweni zisizo na ushahidi peleka kwenye familia yako nyumbani

Magufuli Baba,Kwa hekima zake maendeleo tunayaona

Vituo vya afya kila kona Tanzania hii
 
Hii dunia ina vituko na vichekesho sana sana

Kwa mtu smart kichwani huwezi poteza muda wako kwenda kupiga kura wakati mshindi anajulikana

Mlishaambiwa itatumika kitu inaitwa "SHIKWAMBI" yaani Shinda kwa mbinu iwe mvua au jua

Wewe mleta uzi huoni Flyover, Stiglers gorge, Lami kila kona mpaka huko Lupaso na Nanjilinji

Ulishaambiwa Mzee Mwinyi anashangaa leo hii kila mtu ana vaa viatu mambo ya uchumi wa kati haya

Mwezi huu wa saba wafanyakazi wote wa serikali na private mmeongezewa elfu hamsini kwenye mishahara yenu

Rais Magufuli ameongeza mishahara sekta zote

Magufuli Baba kwa busara zako na hekima kanyaga twende

Leo hii Tanzania watu mnavaa viatu, Unajua kabla ya Rais Mwinyi kulikuwa hakuna mitumba

Magufuli Baba

Kwa hekima zako

Na busara zako Baba maendeleo tunayaona

Kanyaga twende Baba hakuna breki hapa tupo tambarare mambo yamenyooka na safi, kanyaga Baba

Mshindi anajulikana watu mnapoteza pesa Mlimani city hivi hamkusoma mambo ya Forecast au probability au hata kuona hamuoni
mkuu mm sikuona 50k mm niliona 25
 
Chadema naona mumewagomea hata waandishi wa online kurusha live mikutano yenu Kama CCM

Hata wenyewe mumeshindwa ku stream Live!!! Chadema Sasa kweli.mko hoi .Hata Chadema live yenu online wenyewe iwe Twitter , Facebook, YouTube etc mumeshindwa kurusha live!!!

Unatuletea picha ya 2015 eti ndio tuangalie !!!
Unataka kikao cha kamati kuu kiwe live? Lini CCM wamewahi kufanya hivyo? Hiyo picha ya juu pekee ndiyo halisi ila hizo nyingine ni zile za kipindi cha uchaguzi wa chamani. Jiongeze! Baraza kuu kesho tutakuwa live pamoja na mkutano mkuu kesho kutwa.
 
Chadema naona mumewagomea hata waandishi wa online kurusha live mikutano yenu Kama CCM

Hata wenyewe mumeshindwa ku stream Live!!! Chadema Sasa kweli.mko hoi .Hata Chadema live yenu online wenyewe iwe Twitter , Facebook, YouTube etc mumeshindwa kurusha live!!!

Unatuletea picha ya 2015 eti ndio tuangalie !!!
Mkutano wa Live utauona tu. Tulia chama tawala kitarajiwa kipo kwenye mikakati mizito
 
Hii dunia ina vituko na vichekesho sana sana

Kwa mtu smart kichwani huwezi poteza muda wako kwenda kupiga kura wakati mshindi anajulikana

Mlishaambiwa itatumika kitu inaitwa "SHIKWAMBI" yaani Shinda kwa mbinu iwe mvua au jua

Wewe mleta uzi huoni Flyover, Stiglers gorge, Lami kila kona mpaka huko Lupaso na Nanjilinji

Ulishaambiwa Mzee Mwinyi anashangaa leo hii kila mtu ana vaa viatu mambo ya uchumi wa kati haya

Mwezi huu wa saba wafanyakazi wote wa serikali na private mmeongezewa elfu hamsini kwenye mishahara yenu

Rais Magufuli ameongeza mishahara sekta zote

Magufuli Baba kwa busara zako na hekima kanyaga twende

Leo hii Tanzania watu mnavaa viatu, Unajua kabla ya Rais Mwinyi kulikuwa hakuna mitumba

Magufuli Baba

Kwa hekima zako

Na busara zako Baba maendeleo tunayaona

Kanyaga twende Baba hakuna breki hapa tupo tambarare mambo yamenyooka na safi, kanyaga Baba

Mshindi anajulikana watu mnapoteza pesa Mlimani city hivi hamkusoma mambo ya Forecast au probability au hata kuona hamuoni
Kama ina uma chomoa
 
Hii dunia ina vituko na vichekesho sana sana

Kwa mtu smart kichwani huwezi poteza muda wako kwenda kupiga kura wakati mshindi anajulikana

Mlishaambiwa itatumika kitu inaitwa "SHIKWAMBI" yaani Shinda kwa mbinu iwe mvua au jua

Wewe mleta uzi huoni Flyover, Stiglers gorge, Lami kila kona mpaka huko Lupaso na Nanjilinji

Ulishaambiwa Mzee Mwinyi anashangaa leo hii kila mtu ana vaa viatu mambo ya uchumi wa kati haya

Mwezi huu wa saba wafanyakazi wote wa serikali na private mmeongezewa elfu hamsini kwenye mishahara yenu

Rais Magufuli ameongeza mishahara sekta zote

Magufuli Baba kwa busara zako na hekima kanyaga twende

Leo hii Tanzania watu mnavaa viatu, Unajua kabla ya Rais Mwinyi kulikuwa hakuna mitumba

Magufuli Baba

Kwa hekima zako

Na busara zako Baba maendeleo tunayaona

Kanyaga twende Baba hakuna breki hapa tupo tambarare mambo yamenyooka na safi, kanyaga Baba

Mshindi anajulikana watu mnapoteza pesa Mlimani city hivi hamkusoma mambo ya Forecast au probability au hata kuona hamuoni
Mbona mnajamba kabla hamjajambishwa, mnaogopa nini kama kila kitu mmefanya?
 
Ndivyo Magufuli alivyowafundisha kuongea?

Katika kuweka kumbukumbu sawa, kwamba bado twakumbuka harakati za huyu makamu mkt akiwa nje ya Tanzania. Asije akafikiri kwa kurudi kwake tumesahau.
 
Sitampa kura yangu Lissu nitampigia JPM lakiki nawashauri CHADEMA wamteue Lissu kwani ataleta challange kubwa kuliko wagombea wengine.
 
Back
Top Bottom