Mlimani City: Vikao vya CHADEMA kumchagua mgombea Urais

Mlimani City: Vikao vya CHADEMA kumchagua mgombea Urais

Wengine hawa hapa nao hawajaogopa Corona!
Hawaogopi Corona hawa watu?
20200802_175329.jpg
20200802_175310.jpg
20200802_175249.jpg
 
Kwa Hiyo hayo yanayoendelea kamati kuu Ni Siri Sio? Siri kwenye jengo la kupanga? ha ha ha ha mbavu zangu Mimi.Tuliwaambia mjenge majengo yenu hamkutuelewa mkatuita majina yote ohh mataga ,book 7 nk Asante endeleleeni na kikao chenu Cha kinachoitwa Cha Siri kwenye jengo.la ukumbi wa kupanga!!!
Pathetic
 
Inachagua miaka mingine mitano ya ukandamizaji wafanyakazi?
Kila mtu ana malengo yake mkuu, sijaona kama kutoongezwa mishahara kama ni big deal, isitoshe nimechunguza wafanyakazi wengi nimegundua maisha wameyamudu vizuri kabisa.
Na amini,, nyongeza za mishahara ziliwafanya wafanyakazi wengi kubweteka lakini sasa wamechangamka kwani ni wengi wana miradi inayowapatia hela ya ziada.

Wanalipa kodi, ndiyo maana uchumi unazidi kukua.
 
K
Kiongozi lazima mkubaliane na uhalisia hakuna kiongozi mzuri asilimia mia 100

Kuna mambo Magufuli ameyafanya vizuri sana sana zaidi ya asilimia mia moja mfano

Watu kuwa na nidhamu maofisini

Watu kuheshimu Raia wa kawaida hasa kwenye huduma za jamii mfano mahospitali na kwenye ofisi za serikali

Watu kumuona kila mtu ni nyoka ofisini na mtu hatari pale anapokuletea dili la kupiga pesa,Leo hii kila mtu anaogopa madeal hujui nyoka ni nani

Tabia za uvivu na uzembe kwisha habari yake

Ulishaambia na kikwete,Mlitaka mabadiliko dawa ni kuleta mtu mkali na anatema cheche

Mapungufu ya Magufuli ni madogo sana

Moja ,Hataki kelele za watu kumsema na kumjadili jadili hovyo

Pili,Akiamua kufanya kitu anasimamia anachokiamini kiwe kitaharibu au hapana ,Yeye hapendi ushauri tofauti

Yote,Magufuli busara zake na hekima tunaziona leo maendeleo yanaonekana

Kanyaga twende Magufuli
Ni kweli kabisa magufuli kafanya mambo mengi lakini kafanya Chato na huko ccm
 
Mbona wanachelewesha kumtangaza nyarandu,au kuna uchakachuzi unafanyika?
 
Wajumbe msituangushe mleteni Lissu tu
Mkimpa Urais mtampiga bure!!. Hawezi kufanya kazi mbili kwa weledi ule ule. Kazi yake Kuu na anayoipenda ni kukosoa sio kuongoza au kutenda, hayo ni ya wengine!! [emoji23]
 
Kweli corona imeisha. Lissu awe mgombea,,Nyalandu mgombea mwenza kwishaa.
 
Kiongozi lazima mkubaliane na uhalisia hakuna kiongozi mzuri asilimia mia 100

Kuna mambo Magufuli ameyafanya vizuri sana sana zaidi ya asilimia mia moja mfano

Watu kuwa na nidhamu maofisini

Watu kuheshimu Raia wa kawaida hasa kwenye huduma za jamii mfano mahospitali na kwenye ofisi za serikali

Watu kumuona kila mtu ni nyoka ofisini na mtu hatari pale anapokuletea dili la kupiga pesa,Leo hii kila mtu anaogopa madeal hujui nyoka ni nani

Tabia za uvivu na uzembe kwisha habari yake

Ulishaambia na kikwete,Mlitaka mabadiliko dawa ni kuleta mtu mkali na anatema cheche

Mapungufu ya Magufuli ni madogo sana

Moja ,Hataki kelele za watu kumsema na kumjadili jadili hovyo

Pili,Akiamua kufanya kitu anasimamia anachokiamini kiwe kitaharibu au hapana ,Yeye hapendi ushauri tofauti

Yote,Magufuli busara zake na hekima tunaziona leo maendeleo yanaonekana

Kanyaga twende Magufuli
Nani alimshauri wastaafu wasilipwe mafao yao?
Nani alimshauri afanye manunuzi ya umma bila kufuata taratibu?
Nani alimshauri kuongeza makato kwenye malipo bodi ya mikopo?
Nani alimshauri kua Demokrasia ni kwa CCM tu nasio kwa vyama vingine vyote?
Nani alimshauri kuvunjwa nyumba jimbo la Kibamba ila zile za Mwanza zikabaki kisa hao ndiyo waliompa kura?
Nani alimshauri kua majimbo yanayo ongozwa na upinzani ayatapata maendeleo ila yaliyo chini ya CCM yatapata Maendeleo?
Nani alimshauri kufunga vyuo na kutia hasara wawekezaji ?
 
Nani alimshauri wastaafu wasilipwe mafao yao?
Nani alimshauri afanye manunuzi ya umma bila kufuata taratibu?
Nani alimshauri kuongeza makato kwenye malipo bodi ya mikopo?
Nani alimshauri kua Demokrasia ni kwa CCM tu nasio kwa vyama vingine vyote?
Nani alimshauri kuvunjwa nyumba jimbo la Kibamba ila zile za Mwanza zikabaki kisa hai ndiyo waliompa kura?
Nani alimshauri kua majimbo yanayo ongozwa na upinzani ayatapata maendeleo ila yaliyo chini ya CCM yatapata Maendeleo?
Nani alimshauri kufunga vyuo na kutia hasara wawekezaji ?
Akijibu nistue
 
Hii dunia ina vituko na vichekesho sana sana

Kwa mtu smart kichwani huwezi poteza muda wako kwenda kupiga kura wakati mshindi anajulikana

Mlishaambiwa itatumika kitu inaitwa "SHIKWAMBI" yaani Shinda kwa mbinu iwe mvua au jua

Wewe mleta uzi huoni Flyover, Stiglers gorge, Lami kila kona mpaka huko Lupaso na Nanjilinji

Ulishaambiwa Mzee Mwinyi anashangaa leo hii kila mtu ana vaa viatu mambo ya uchumi wa kati haya

Mwezi huu wa saba wafanyakazi wote wa serikali na private mmeongezewa elfu hamsini kwenye mishahara yenu

Rais Magufuli ameongeza mishahara sekta zote

Magufuli Baba kwa busara zako na hekima kanyaga twende

Leo hii Tanzania watu mnavaa viatu, Unajua kabla ya Rais Mwinyi kulikuwa hakuna mitumba

Magufuli Baba

Kwa hekima zako

Na busara zako Baba maendeleo tunayaona

Kanyaga twende Baba hakuna breki hapa tupo tambarare mambo yamenyooka na safi, kanyaga Baba

Mshindi anajulikana watu mnapoteza pesa Mlimani city hivi hamkusoma mambo ya Forecast au probability au hata kuona hamuoni
Uchafuu wa chooni huu...
 
Vikao vya ndani wameruhusu hao watu wa intelijensia? Ama Kamanada Mambo-now intelijensia yake hakufanya kazi leo?
 
Kuna watu wana macho lakini hawataki kuangalia ili waone. Kuna wenye masikio lakini hawataki kusikiliza ili wasikie. Na kuna ambao wameshaanza kujiwekea kinga kwamba kwenye kampeni wagombea waeleze sera zao lakini wasizungumzie/wasipinge yaliyofanywa na serikali.
Uko sahihi sisi CCM hutafuta mtu tunayeamini anabeba sera Za CCM na kulisimamia hatutafuti mgombea wa kupambana na Lisu Hayuko kwenye Ilani ya CCM !!!

Na tunaamini pia Chadema Magufuli hayumo kwenye ilani ya Chadema Sasa mtu akisema nichagueni Mimi nipambane na Magufuli Mimi ndie mtu sahihi Ni mjinga na asiyeelewa kazi ya Ugombea uraisi!!!

Haelewi kitu Ni mweupe kichwani hafai hata ujumbe wa nyumba kumi
 
Back
Top Bottom