lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,571
- 35,475
Da ila wewe jamaa bana!, unapenda Sana CDM ila Sema una Roho mbaya na chuki mno.Wajumbe msituangushe mleteni Lissu tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Da ila wewe jamaa bana!, unapenda Sana CDM ila Sema una Roho mbaya na chuki mno.Wajumbe msituangushe mleteni Lissu tu
una uwezo mdogo sana kichwaniLeta ushahidi
Katika sifa ya Forensic investigation ni kukwepa habari za kusikia au kuhisi yaani"Hearsay"
Sasa habari za kusikika za vijiweni zisizo na ushahidi peleka kwenye familia yako nyumbani
Magufuli Baba,Kwa hekima zake maendeleo tunayaona
Vituo vya afya kila kona Tanzania hii
Inachagua miaka mingine mitano ya ukandamizaji wafanyakazi?Sitampa kura yangu Lissu nitampigia JPM lakiki nawashauri CHADEMA wamteue Lissu kwani ataleta challange kubwa kuliko wagombea wengine.
Daktari bingwa wa nchi alishaimalizaHawaogopi Corona hawa watu?
Magufuli Baba,Kwa busara zako na hekima yako Maendeleo tunayaonauna uwezo mdogo sana kichwani
Kuna watu wana macho lakini hawataki kuangalia ili waone. Kuna wenye masikio lakini hawataki kusikiliza ili wasikie. Na kuna ambao wameshaanza kujiwekea kinga kwamba kwenye kampeni wagombea waeleze sera zao lakini wasizungumzie/wasipinge yaliyofanywa na serikali.Magufuli hajaongeza mshahara wa watumishi , amepunguza kiwango cha kodi tena baada ya Maji kumfika shingoni mwaka huu mwezi wa Saba. Unafikiri watumishi ni wajinga kulaghaiwa sasaivi wakati miaka 4 amewatelekeza.
Sikiliza nikwambie ndugu. Mjerumani alijenga miundombinu, mwingereza alijenga, Mkapa na Kimwete walijenga so kwa hivyo tena vidogo sana vya magufuli haviwambumbazi watanzania.
Hakuna mtu atakayeenda enda kumpa miaka mingine mitano mtu aliyeharibu uchumi wa nchi vibaya kama Magufuli, Watu hawana ajira maelfu mitaani kwa kuharibu kwake sekta binafsi. Biashara kubwa zimekufa sasa anataka kuifanya nchi nzima ya wachuuzi.
Ameharibu biashara ya mazao kama mahindi, korosho na mbaazi kwa kukurupuka kwake.
Bei ya Sukari imepanda toka 1800 hadi 2500 kwa kauli zake tu za kukurupuka alafu apewe tena miaka 5 ??? Hapana!!!
Kajipangeni upya na propaganda zenu uchwara hizo!
HakikaWajumbe msituangushe mleteni Lissu tu
Wewe mgonjwaHii dunia ina vituko na vichekesho sana sana
Kwa mtu smart kichwani huwezi poteza muda wako kwenda kupiga kura wakati mshindi anajulikana
Mlishaambiwa itatumika kitu inaitwa "SHIKWAMBI" yaani Shinda kwa mbinu iwe mvua au jua
Wewe mleta uzi huoni Flyover, Stiglers gorge, Lami kila kona mpaka huko Lupaso na Nanjilinji
Ulishaambiwa Mzee Mwinyi anashangaa leo hii kila mtu ana vaa viatu mambo ya uchumi wa kati haya
Mwezi huu wa saba wafanyakazi wote wa serikali na private mmeongezewa elfu hamsini kwenye mishahara yenu
Rais Magufuli ameongeza mishahara sekta zote
Magufuli Baba kwa busara zako na hekima kanyaga twende
Leo hii Tanzania watu mnavaa viatu, Unajua kabla ya Rais Mwinyi kulikuwa hakuna mitumba
Magufuli Baba
Kwa hekima zako
Na busara zako Baba maendeleo tunayaona
Kanyaga twende Baba hakuna breki hapa tupo tambarare mambo yamenyooka na safi, kanyaga Baba
Mshindi anajulikana watu mnapoteza pesa Mlimani city hivi hamkusoma mambo ya Forecast au probability au hata kuona hamuoni
Hama nchi kama mambo MagumuWewe mgonjwa
Ulizaliwa mwaka elfu mbili na ngapi vile?Leo hii Tanzania watu mnavaa viatu, Unajua kabla ya Rais Mwinyi kulikuwa hakuna mitumba
Hivi miaka yote hii ya ruzuku hamjajenga hata ukumbi wa mikutano??Niko hapa mlimani city kwa sasa na napaona ni mahali pazuri pa kutulia kwa sasa hasa uwepo wa viongozi mbalimbali wa Chadema eneo hili.
Najua ni kazi gani iliyowaleta hapa na Mimi nawatakia Kila la heri na bwana Yesu ninayemtukuza amwinue mgombea watakayempata na kumuweka kileleni katika taifa hili na nchi hii
Kwa Hiyo hayo yanayoendelea kamati kuu Ni Siri Sio? Siri kwenye jengo la kupanga? ha ha ha ha mbavu zangu Mimi.Tuliwaambia mjenge majengo yenu hamkutuelewa mkatuita majina yote ohh mataga ,book 7 nk Asante endeleleeni na kikao chenu Cha kinachoitwa Cha Siri kwenye jengo.la ukumbi wa kupanga!!!Unataka kikao cha kamati kuu kiwe live? Lini CCM wamewahi kufanya hivyo? Hiyo picha ya juu pekee ndiyo halisi ila hizo nyingine ni zile za kipindi cha uchaguzi wa chamani. Jiongeze! Baraza kuu kesho tutakuwa live pamoja na mkutano mkuu kesho kutwa.