Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu huyo anakua ametenda kosa gani kisheria mkuu?Uko sahihi sisi CCM hutafuta mtu tunayeamini anabeba sera Za CCM na kulisimamia hatutafuti mgombea wa kupambana na Lisu Hayuko kwenye Ilani ya CCM !!!
Na tunaamini pia Chadema Magufuli hayumo kwenye ilani ya Chadema Sasa mtu akisema nichagueni Mimi nipambane na Magufuli Mimi ndie mtu sahihi Ni mjinga na asiyeelewa kazi ya Ugombea uraisi!!!
Haelewi kitu Ni mweupe kichwani hafai hata ujumbe wa nyumba kumi
ushaharibu ladha ya uzi, corona tenaHawaogopi Corona hawa watu?
Una akili ndogo sana,,Hii dunia ina vituko na vichekesho sana sana
Kwa mtu smart kichwani huwezi poteza muda wako kwenda kupiga kura wakati mshindi anajulikana
Mlishaambiwa itatumika kitu inaitwa "SHIKWAMBI" yaani Shinda kwa mbinu iwe mvua au jua
Wewe mleta uzi huoni Flyover, Stiglers gorge, Lami kila kona mpaka huko Lupaso na Nanjilinji
Ulishaambiwa Mzee Mwinyi anashangaa leo hii kila mtu ana vaa viatu mambo ya uchumi wa kati haya
Mwezi huu wa saba wafanyakazi wote wa serikali na private mmeongezewa elfu hamsini kwenye mishahara yenu
Rais Magufuli ameongeza mishahara sekta zote
Magufuli Baba kwa busara zako na hekima kanyaga twende
Leo hii Tanzania watu mnavaa viatu, Unajua kabla ya Rais Mwinyi kulikuwa hakuna mitumba
Magufuli Baba
Kwa hekima zako
Na busara zako Baba maendeleo tunayaona
Kanyaga twende Baba hakuna breki hapa tupo tambarare mambo yamenyooka na safi, kanyaga Baba
Mshindi anajulikana watu mnapoteza pesa Mlimani city hivi hamkusoma mambo ya Forecast au probability au hata kuona hamuoni
Mabarakoa yenu yako wapi?Chama kinapendeza na kuleta natumaini makubwa.
Magu anakataza kwa nguvu.Mabarakoa yenu yako wapi?
Aisee, kwa hiyo mlivyotoka bungeni aliwafata akawaambia mwende disco mkanywe farujohn mpaka mtenguke miguu?Magu anakataza kwa nguvu.
CCM mbona hawakuogopaHawaogopi Corona hawa watu?