Mlimani City: Vikao vya CHADEMA kumchagua mgombea Urais

Protocal ya ukaaji Meza Kuu siyo. TAL anatakiwa abadilishane nafasi na M/M/kiti wa Zanzibar na Mwalimu wabadilishane na Naibu Katibu Mkuu Bara nafasi zao. Lakini yote kwa yote Tunamtaka Lissu tu.
 
Mtu huyo anakua ametenda kosa gani kisheria mkuu?
Lissu akipeperusha bendera ya CHADEMA A OKTOBA mimi nitampa kura maana ata kama ni Upinzani lakini amebeba mahitaji ya watanzania sio mahitaji yake kama anavyosema Dr.Magufuli kua Serikali yake...CCM yake nk
 
Una akili ndogo sana,,
 
CHADEMA Ntakuja kuw wa mwisho kuondoka'
Mungu awabariki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…