Mlimani City walikuwa wanajiamini na nini hadi kumgomea Magufuli hivi? Inamilikiwa na nani?

Mimi sizungumzii ushamba wake wala maziko yake, nachosema ni kwamba makosa yote yaliyofanyika awamu ya tano alihusishwa nayo Jiwe moja kwa moja ila awamu hii makosa yanayofanyika hahusishwi Samia japokuwa yeye ndio rais kama alivyokuwa Jiwe.
Una haraka gani, si usubiri naye akifa.!!
 
Huyo ngosha yuko wapi?
 
wangewanyima mngewasema.

wamewapa mnawasema tena mkijiuliza nguvu ile ilitoka wapi.... dah..kumbe nao wangewanyima tu..
Siyo wanawasema, bali wana appreciate.

Nahisi umiliki wa Mlimani City unakijumuisha na Chuo Kikuu Cha Dar es salaam
 
CHUMA JPM nilikua namkubali sana kiutendaji lakini kuminya demokrasia na uonevu ndo vitu nilikua navichukia sana kutoka kwakee!!why hutaki kupingwa??why hupendi mawazo mbadala????
 
Mimi sizungumzii ushamba wake wala maziko yake, nachosema ni kwamba makosa yote yaliyofanyika awamu ya tano alihusishwa nayo Jiwe moja kwa moja ila awamu hii makosa yanayofanyika hahusishwi Samia japokuwa yeye ndio rais kama alivyokuwa Jiwe.
Mimi nimesoma tu comment yako. Ila nahisi wewe ni mgeni au munafiki wa siasa za Nchi yetu pendwa
 
CHUMA JPM nilikua namkubali sana kiutendaji lakini kuminya demokrasia na uonevu ndo vitu nilikua navichukia sana kutoka kwakee!!why hutaki kupingwa??why hupendi mawazo mbadala????
Mkuu wewe utakua ni genuine open mind
 
Una haraka gani, si usubiri naye akifa.!!

Mimi nimesoma tu comment yako. Ila nahisi wewe ni mgeni au munafiki wa siasa za Nchi yetu pendwa
Labda haujaelewa point yangu, ni kwamba pamoja na matatizo yake Magufuli ila alikuwa anahusishwa na kila jambo baya katika awamu yake yani ilikuwa hakuna kutenganisha kati ya makosa ya wasaidize wake na yale yanayomuhusu yeye kila baya anahusiahwa nalo moja kwa moja hata kama hahusiki.
Awamu hii makosa yanayotendeka lawama haziendi kwa Samia bali watalaumiwa wasaidize wake kwa kufanya hayo makosa au itasemwa wamemshauri vibaya ila Samia hahusishwi na mabaya au makosa moja kwa moja kama ilivyokuwa kwa jiwe.
 
Kama watoto wako wanafanya uhuni kwa majirani zako wewe ukijua halafu huchukui hatua zidi yao unataka lawama apewe nani?
 
Kama watoto wako wanafanya uhuni kwa majirani zako wewe ukijua halafu huchukui hatua zidi yao unataka lawama apewe nani?
Sasa ndio maana nashangaa kwamba mbona Samia hapati lawama kwa makosa yanayotendeka kwenye uongozi wake? Mfano ccm wanaruhusiwa kufanya mikutano ila wapinzani wanazuiliwa lakini huoni Samia kulaumiwa, Mbowe kakamatwa wakati Samia ndio mkuu wa nchi na hadi yeye mwenyewe alikiri kuwa Mbowe ana makosa ndio maana kakamatwa ila lawama hazikwenda kwa Samia matokeo yake wakawa wanamuomba amuache huru Mbowe.
 
Ni sawaa magu alikuwa chiz ila Ni rais mzuri Sana linapokuja swala la maslai ya taifa na raia wake

Ameshasema kuwa inawezekana kuwa yey siyo mwnasias mzuri na ipo siku atakuja mwnasiasa mzuri atawabembeleza nimemuelewa San jpm polea pote
 
Kwahiyo hao mlimani city wameweza kushindana na Dikteta kwa kumdindia kwa kile alichokitaka? Nyie si ndio mnaolalamika kila siku Jiwe alichomfanya Mbowe.
Ndii maana nikauliza mlimani City walijiamini na nini kumdindia yule dikteta
 
Ni sawaa magu alikuwa chiz ila Ni rais mzuri Sana linapokuja swala la maslai ya taifa na raia wake

Ameshasema kuwa inawezekana kuwa yey siyo mwnasias mzuri na ipo siku atakuja mwnasiasa mzuri atawabembeleza nimemuelewa San jpm polea pote
Kwa hiyo hapo alipokuwa akizuia watu kukodi ukumbi alikuwa akisimamia maslahi gani ya taifa?
 
Naheshimu mawazo yako mkuu [emoji120]
 
Dikteta mwingine atatokea iwapo atatoboa ni mwigulu Nchemba. Mungu atuepushe nae yule jamaa
Duh! Lakini hata yule mnayemuona Leo kuwa ni mpole sana na muungwana sana huenda kesho akabadilika na kuwa MTU tofauti kabisa !! Akishafika huko juu !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…