Mirlz B Matthew
JF-Expert Member
- Oct 10, 2011
- 2,212
- 3,093
Picha zinatakiwa zihaririwe kabla hazijakua published huyo ni raia number 1Kwanini??
Ikuku β= Ikulu βKila sehemu Bongo movie hadi ikuku
Tobaaaaaah!!! Hii kaliii sanaaa
Du kavimbiwa na madaraka Mkizimkazi...kama kakayake Magufuli alianza vizuri akaja kuvimbiwa mtihani sana.Sasa huoni mwamba ana mustache kabisa?!
AiseeImenishangaza sana, nadhani sababu ya kuwatenga wanawake na wanaume ni faragha.
Sasa kama vidume wanakaa sehemu za wanawake kuna maana gani?
Inashangaza!
Imenishangaza sana, nadhani sababu ya kuwatenga wanawake na wanaume ni faragha.
Sasa kama vidume wanakaa sehemu za wanawake kuna maana gani?
Inashangaza!
Hii jinsia ikimbieni kama ukomaHaya madaraka ya ghafla hua yanakua na vituko sana...tehπ€£
hii dini hiiππImenishangaza sana, nadhani sababu ya kuwatenga wanawake na wanaume ni faragha.
Sasa kama vidume wanakaa sehemu za wanawake kuna maana gani?
Inashangaza!