Sijijui
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 7,877
- 8,804
Sawa Ila si kwa style Ile ya mlinzi wa raisHao jamaa Hadi ndani ya cdm wamo wanashirik vikao na gwanda wanavaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa Ila si kwa style Ile ya mlinzi wa raisHao jamaa Hadi ndani ya cdm wamo wanashirik vikao na gwanda wanavaa.
Za CCM.Magufuli analipwa pesa za nani?
Sidhani kama nimeshawahi kuona picha ya hao jamaa wakiwa wamevaa mavazi ya Chama kama hivi tangu awamu ya 1 mpk ya 4.Labda TISS Sasa instudhibitishia rasmi kuwa wao ni chombo cha ccm na Wala si chombo cha watanzania na nchi yetu Kama tunavyojidanganya
Kwa dunia ya sasa Kuna taasis inaweza kubal mtu ambaye si wa upande wao awe mlinz wa digala wa taasis husika?Sawa Ila si kwa style Ile ya mlinzi wa rais
Mkuu sema kwenye ulimwengu wa shithole countries na unprofessional leaders like magu but usigeneralize ulimwengu woteKwa dunia ya sasa Kuna taasis inaweza kubal mtu ambaye si wa upande wao awe mlinz wa digala wa taasis husika?
Wale wafungwa NI wafanyakazi wa magereza....na tenda walipewa magereza.....
Mbona hushangai SUMA JKT kupewa tenda za ulinzi makao makuu ya CCM?!!!
Kwaiyo wewe unaona wapo ki professional kwa sababu wamevaa ki CCM na wewe ni Mwana CCM?Wenzako wako ki professional, wewe unatema pumba. Hivi Rais angekuwa wa Chadema, na hao walinzi wakavaa jezi ya Chadema ungelalamika?
Hao wafungwa walilipwa shilingi ngapi kwa hiyo kazi?Wale wafungwa NI wafanyakazi wa magereza....na tenda walipewa magereza.....
Mbona hushangai SUMA JKT kupewa tenda za ulinzi makao makuu ya CCM?!!!
Umeiona kadi yangu ya CCM hadi uniite mwana CCM? Acha kujishtukia. Wenzako wanafuata syllabus wewe unabwabwaja ujinga hapa.Kwaiyo wewe unaona wapo ki professional kwa sababu wamevaa ki CCM na wewe ni Mwana CCM?
Maendeleo hayana chama Hawajui haoWenzako wako ki professional, wewe unatema pumba. Hivi Rais angekuwa wa Chadema, na hao walinzi wakavaa jezi ya Chadema ungelalamika?
Unataka kila kitu kikujua ndugu mbona wewe hutwambii unawalipa kiasi gani wanaokufanyia kazi😀😀😀Hao wafungwa walilipwa shilingi ngapi kwa hiyo kazi?
Mkuu unavotokwa na povu hvo!unajua sheria za hao 'tisi' kuhusu dressing code yao?
Yeye asingelalamika ila wewe ungelalamikaWenzako wako ki professional, wewe unatema pumba. Hivi Rais angekuwa wa Chadema, na hao walinzi wakavaa jezi ya Chadema ungelalamika?
Maendeleo hayana chama Hawajui hao
Duuh unayo sema kwa wenzio ilibidi ujiseme hivyo mwenyewe, kwahiyo huyo askari kavaa vazi la CCM ili kujificha dhidi ya maadui?Chadema Ni hopeless wanavaa magwanda ya mgambo na kujiita makamanda wakati hata mgambo hawajakanyaga hawajui hata ABC za jeshi!! Wasamehe bure.Mambo ya Jeshi hufundishwa jeshini iwe mgambo,Jkt ,polisi, JWTZ nk sio jamii forums.Wasamehe bure waache waendelee na ubwege wao wa kujiita makamanda na kuvaa nguo za mgambo wakati mambo ya kijeshi wako zero
Bila utarsjia utshangaa siku moja ukaona amevas magwanda Chadema . usijari wana mambo yao.Kwahiyo sheria zinamlazimu asiwe na chama...
Akiingia Chadema atavaa na ACT vilevile?