Mliobahatika kuacha unywaji wa pombe mlitumia formular gani?

Niliona hii video ya mkongo akielezea namna ya kuacha pombe, huenda ikakusaidia.

Mimi bado naendelea kupiga kamnyweso maana hakajanipelekea kujuta.


Your browser is not able to display this video.
 
Pole sana mkuu unaweza kuacha ukiamua.

Mimi nilikuwa hivyo ila leo ni siku ya 5 sijanywa pombe na ninapoandika hapa niko bar na mshikaji tumeagiza crate la bia tunakunywa kusheherekea mimi kuacha pombe huu mwaka.

We jamaa hiyo chupa ulioiweka hapo unatuingiza majaribuni😀😀.anyway ukitaka kunywa pombe bila hasara epuka washkaji,halafu uwe unaenda sehemu tulivu sio zile baa kubwa kubwa...
 
Pole sana mkuu unaweza kuacha ukiamua.
Mimi nilikuwa hivyo ila leo ni siku ya 5 dijanywa pombe na ninapoandika hapa niko bar na mshikaji tumeagiza crate la bia tunakunywa kusheherekea mimi kuacha pombe huu mwaka.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]daah! Noma sana mkuu
 
Kwa MUNGU yote yanawezekana. Jenga Imani kwamba sasa pombe basi. Kisha chukua hatua, Nenda Kawe kwa Mtume Mwamposa Ndugu. Utahudumiwa kiroho na utapona kama kweli Moyoni umejuta.

Usipopona ni PM nitakurudisha nauli Yako!
 
Kwa MUNGU yote yanawezekana. Jenga Imani kwamba sasa pombe basi. Kisha chukua hatua, Nenda Kawe kwa Mtume Mwamposa Ndugu. Utahudumiwa kiroho na utapona kama kweli Moyoni umejuta.

Usipopona ni PM nitakurudisha nauli Yako!
Asante sana kwa Ushauri. Ila huwa naona kama pale kawe watu ni wengi sana. Nitapata nafasi kweli??
 
Pombe inaniingiza kwenye hasara nyingi kwenye biashara na kazini, Kwani kuna wakati nakuwa na hela ya offisi ila mm naamua kuipasua pombe na kunywesha watu mpaka inaisha. Imagine naweza kuteketeza laki 8 ndani ya siku mbili au Tatu, Na nisijue imeenda wapi

Nipe location tuyajenge
 
Hapa napoandika huu uzi pia nawaomba kama kuna mtu humu anataka kunishauri basi tukutane tunywe beer mbili tatu tukiendelea kujadili hii pombe naiachaje. Maana imekuwa disaster
Mkuu kwamba kikao kifanyike bar na mbili tatu pembeni😀😀
 
Hapa napoandika huu uzi pia nawaomba kama kuna mtu humu anataka kunishauri basi tukutane tunywe beer mbili tatu tukiendelea kujadili hii pombe naiachaje. Maana imekuwa disasterView attachment 2495291
 
Hili limewapata wengi haswa jika la vijana 25+ huwa tunajilipua sana ila kadri unavyoongeza umri unaanza taratibu kupunguza na kuwa na stable budget kwa ajili ya kila siku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…