UjingaToa hyo 10 % kwa watumishi ,
Toa shukrani za week kanisani
Toa ahadi na collecti
Toa zaka
Toa malimbuko
Toa sadaka za siri
Toa jengo na inakuwa na bahasha yake rasm
Toa sadak ya chakula cha bwana kama ipo
Kwa wale wa KKKT hzo sadaka siyo ngeni kwako
Kwa mwamposa
Ipo sadaka
Ipo ya shukktan
Ipo ya kijimaliza
Ipo kuinua huduma
Kwa kifupi hzo ndio sadka nakutana nazo na kama mfuko upo vzr nazitoa zoteee namtoleaa bwana MUNGU bila manunguniko
Kwanza unisamehe kwa kuchelewa kukujibu swali lako ila wakati wa Mungu ni wakati sahihi zaidi. Turudi kwenye swali lako katika agano jipya wapi Yesu alifundisha kuhusu kutoa zaka? Kama kawaida twende taratibu mpaka tupate kweli yote imeandikwa tena mtaifahamu, nayo iyo kweli itawaweka huru na kweli ni neno la Mungu.Mkuu umedadavua vizuri sana..ila tuje sasa ktk agano jipya, ni wapi Yesu alifundisha kuhusu kutoa zaka??
Hata kama hawatoi haikufanyi nawewe usitoe, kila mtu ataubeba msalaba wake witnessy!Humu wanaotoa fungu la kumi hata 5 hawafiki
For sure my dear!Hata kama hawatoi haikufanyi nawewe usitoe, kila mtu ataubeba msalaba wake witnessy!
Amina, MUNGU akubariki na kukusaidia uwe na moyo huo huo wa utoaji.For sure my dear!
Ngoja na mimi nianze sasa [emoji848]
Mungu nitie nguvu
Mimi ndio maana sijawezaga kutoa zaka mpaka leo.Sio kwamba sipati pesa ila aina ya mafundisho kuhusu zako asilimia kubwa ni majanga na mimi sitaki nitoe zaka kwa hasara.Brother kumwibia Mungu kwa kile kidogo ninachopata ambacho hata hakikidhi haja, then hata hiyo pumzi inayosemea kwamba anatuuzia au, kwamba tuli request kwake atupe hio pumzi kisha tumlipe kupitia kwa wachungaji wake ambao wanaishi kitajiri?
Definition ya zaka bado haijaeleweka na haita eleweka kamwe kwa aina ya mafundisho tulio nayo
Mkuu wewe unatoa? SEMA na moyo wako.Kasome Malaki 3:8-10... Pia umesema unalipa Kodi kwa anaekupa pumzi afu unamwibia Tena anekupa uhai,ume ahi jiuliza he akiitoa hiyo pumzi unayovuta utapata wapi uwezo wa kupata iyo 2m? Watu wanapata 300k na wanatoa zaka ndo iwe 2m mkuu? Mrudie MUNGU wako acha kumwibia
Kwaiyo alimaanisha zaka na sio Kodi ya kaisari?Ndio.. pale aliposema ya MUNGU mpe MUNGU na ya kaisari mpe kaisari..
Ndio natoaMkuu wewe unatoa? SEMA na moyo wako.
Usisahau pia kuisha maisha ya utakatifu kwamaana haitasaidia kitu kutoa zaka then hutendi yaliyo memaFor sure my dear!
Ngoja na mimi nianze sasa [emoji848]
Mungu nitie nguvu
Alisema utoe vyote.. Kodi ya kaisari pia sadaka kwa MUNGUKwaiyo alimaanisha zaka na sio Kodi ya kaisari?
Ebu mjaribu Mungu wako kwa kutoa zaka kamili na umwombe shida yako uone kama hutojibiwaNi muhudhuriaji mzuri tu. Ila hapana jamani.
Thanks,kwa kukaziaKwanza unisamehe kwa kuchelewa kukujibu swali lako ila wakati wa Mungu ni wakati sahihi zaidi. Turudi kwenye swali lako katika agano jipya wapi Yesu alifundisha kuhusu kutoa zaka? Kama kawaida twende taratibu mpaka tupate kweli yote imeandikwa tena mtaifahamu, nayo iyo kweli itawaweka huru na kweli ni neno la Mungu.
Mathayo 23:23 Ole wenu walimu wa sheria nanyi Mafarisayo! Ninyi ni wanafiki! Mnampa Mungu sehemu ya kumi ya chakula mnachopata, hata mnanaa, binzari na jira Lakini hamtii mambo ya muhimu katika mafundisho ya sheria; kuishi kwa haki, kuwa wenye huruma, na kuwa waaminifu. Haya ndiyo mambo mnayopaswa kufanya. Na mwendelee pia kufanya mambo hayo mengine.
Haya ni maneno ya Yesu mwenyewe alipokuwa akisema na waandishi na mafarisayo Yesu alikuwa akiwaambia wafarisayo kuwa wao mafarisayo wanalipa zaka ya kila wapatacho lakini hawatii mambo ya muhimu. Yesu alikuwa anawaonya mafarisayo kwamba wanashika vitu flani flani na kuacha vitu vya muhimu zaidi kama kuishi kwa haki, kuwa na huruma na kuwa waaminifu lakini pia aliendelea kusisitiza waendelee pia kufanya na hayo mengine ambayo ni yapi? (Mnampa Mungu sehemu ya kumi ya chakula mnachopata, hata mnanaa, binzari na jira). Hivyo kwa andiko hili Yesu anatuambia pamoja na kuwa tunapaswa kulipa zaka lakini ni muhimu sana kuishi kwa haki, kuwa wenye huruma, na kuwa waaminifu. Tambua ya kuwa zaka haikupeleki mbinguni, zaka itakufanikisha hapa duniani tu.
Zaka imetajwa tena katika Luka 18:9-12 9 Walikuwepo baadhi ya watu waliojiona kuwa wenye haki na waliwadharau wengine. Yesu alitumia simulizi hii kuwafundisha: 10 “Siku moja Farisayo na mtoza ushuru walikwenda Hekaluni kuomba. 11 Farisayo alisimama peke yake mbali na mtoza ushuru. Farisayo aliomba akisema, ‘Ee Mungu, ninakushukuru kwa kuwa mimi si mwovu kama watu wengine. Mimi siyo kama wezi, waongo au wazinzi. Ninakushukuru kwa kuwa mimi ni bora kuliko huyu mtoza ushuru. 12 Ninafunga mara mbili kwa wiki na kutoa sehemu ya kumi ya vyote ninavyopata!’
Yesu alitoa mfano wa Farisayo na mtoza ushuru yule Farisayo alijigamba maana aliona anafanya yote kwa usahihi na Yesu hakukosoa kufanya hayo bali akosoa kujikweza kwa yule mfarisayo.
Kwa muda wako utasoma Waebrania 7: 1-6 ili ujue kwanini haipaswi kutoa fungu la kumi kwa kila mtu isipo kuwa kwa watumishi wa Mungu au kanisani tu.
Asante na Ubarikiwe sana
Sio kazi yako kuchunguza mkuu.Timiza wajibu wako kwani kila mtu atahukumiwa mwenyeweHivi mchungj anatoa zaka,
Haitoshi kusaidia tu wahtaji mkuu.Sadaka na Zaka ni muhimu piaGood......
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Humu wanaotoa fungu la kumi hata 5 hawafiki
Huo uzito uko hivo hivo hata siku ukifa... Ukifika mawinguni utakutanjia mbili ile nzuri inashawishi ndo utaifata kumbe ni kwa mzee baba [emoji48]Kila nikifikiria kiasi nachotenga kwenye starehe na matanuzi mengine najikuta tu nshachkua bahasha kuweka zaka asee..
Yani matanuzi unaweza kutoa yanazidi hata hiyo 10% ya kipato chako ila unaskia Uzito kutoa kwa Mungu...