Mliofiwa na wazazi (mama), mliwezaje kuvuka kipindi hiki?

Pole na wewe pia. Kifo hakizoeleki.
Ansante

[emoji1545],tarehe ya leo tareh 25.... ni kumbukumbu ya kifo cha baba yangu[emoji24][emoji24][emoji24],

Naona kama vile bado yupo ndani ya nyumba[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

Yaani kuna wakati napatwa na mitihani,najisemeaga tu angekuwepo baba[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]




Allah amrehemu
 
Dah nimekuwa speechless 😢😢
 
Kwanza pole kabisa Mkuu! Mungu Yuko pamoja na wewe.
Utazoea tu! Sisi tulishazoea.
 
Ni kweli mimi kila ikifika au ikikaribia tarehe 07.02 huwa najisikia vibaya nakosa amani naanza kujichunguza ni kitu gani hakipo sawa bàadaye nakumbuka ni siku ambayo mama yangu alifariki. Huwa nakumbuka matukio yote inauma kwa kweli.

Halafu ukute kuna watu walikunyanyasa, kukutenga, kukudhulum mali za mzazi/wazazi wako baada ya kufariki unatamani uende kwa Mungu na kumshtakia awarudishe wazazi wasolve hilo tatizo, lakini ndio hivyo tena haiwezekani.
 
Nilikuwa masomoni, nikapanga likizo ya December 2020 nikafanyie sapraizi.
Tarehe 22 Okt 2022 nikadanganywa kesho uende nyumbani mama mgomjwa.
Nikajiandaa zangu mmajira ya saa 5 usiku nakuta SMS.

“Pole sana kwa kuwa na kipindi hiki kigumu cha kuondokewa na mama. Mungu akutie nguvu mdogo wangu.”

Nililia kama mtoto, nilishindwa kulala usiku. Yaani ile nafika nyumbani kila nikiangalia picha za mama pale ukitani akiwa anatabasamu naishia kulia tu[emoji24]
 
Pole sana.mkuu.Hata mimi nikimkumbuka mama yangu huwa namuona akitabasamu siku zote. Baba naye alishatangulia mbele ya haki tena 2012 lakini picha yake haiji kama ya mama .
 
Kama ww n mwanaume n kukaza roho mkuu ...huwez badili kitu..mm nmefiwa na mama angu mwezi wa 6 mwaka huu nilipata taarifa asubuh nikiwa tayari naenda kazin tena n mbali na hakuna dereva n ww mwenyew ...IMAGINE NLIPGA KAZ HADI JION NKARUD ZEN NIKAWAAMBIWA WAFANYAKAZI WENZANGU kwamba maza gone!!! Ukizaliwa mwanaume tambua hutakiwi kutia huruma n kukubaliana na tukio lolote. .na katika maisha jiandae kuskia habar yoyote mbaya au zur...OVER
 
Reactions: Ok9
Pole sana mkuu!!!

Inasikitisha hasa hapo ambapo hata karne hajaigawa,jamani wenye wazazi wapendeni sana wazazi wenu tujue hawataishi mara mbili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…