Mliokaririshwa uongo kuwa mishahara ya walimu ni midogo kuliko watumishi wengine wa serikali, nawaanikia hapa

Kama ni kweli haya uliyosema, basi ni rahisi kwa ngamia kupenya tundu la sindano kuliko mtu kuingia ufalme wa mbiniguni!
 
sijaona hapa sababu ya yeye(mwalimu) asipiganie fursa ya kumuongezea kipato kisa Ana mshahara mzuri na Hali ya kuwa hakuna wafanyaji wa hyo kazi..Tajiri haidharau shilingi hamsini!!
 
Mwalimu mwenye degree Basic yake ni 771,000/=..? Kwan Askar Jesh au Polisi mwenye degree nae analipwa sh ngap nliwahi sikia wao wana mishahara miwili na katikat ya mwez wanalipwa
Hahaaa akili za wabongo eti wana mishahara miwili, wale wana allowance laki 3
 
Swala la kujieleza halina uhusiano na ualimu ni suala la mtu binafsi, kuna mainjinia madokta, nesi, afsa ugani wana tatizo hilo
 
Hivi wauza karanga,wauza maji, madobi, wafagia barabara, mafundi nguo, mafundi baiskeli, machinga wanamaisha mazuri kuliko walimu
 
Hahaaaa uko kijiji gani eti dunia nzima kada ya ualimu inadharaulika, nchi nyingi zilizoendelea ualimu ni miongoni mwa kada zinazolipa zaidi
 
Weye unayelala sebuleni kwa dada yako,unathubutu kumkandia Mwalimu aliyekufundisha kuandika na kuhesabu!
 
Hamna gepu lolote unalipwa kwa cheo kama ni koplo au constable hana elimu yeyote hapo sawa umemzidi kwanzia tu ukiwa sajenti hata hauna nyota bado mshara ni mzuri unakula kilo saba bado posho zao zile lakitatu na ukiwa na elimu unalipwa ujuzi wako

Unataka useme mwalimu analingana na sp au ssp utachekwa[emoji3]

Wanachozingua hawa watu ni wanawake na pombe tu ndio maana wanakuwa hawana hela
 
Waliokuwa na akili kama zako saa hii wanasota!! Mfano wa karibu ni Sabaya!
Hili na Sabaya nalo ni mada nyingine mkuu.

Ninamsifu kuwa ana uwezo mkubwa sana wa kuhimili vishindo, ingawa kakonda kaisha.

Kila nimuonapo akishushwa kwenye karandinga bado ana ari na nguvu ya kuweza kuwapungia mikono ya heri hadhira pamoja na wapenzi wake.

Kwa mwimgine hapo, angelikuwa keshapoteza uelekeo tayari.
 
Hiyo ndiyo sababu ya sekta yao kukosa posho kama sekta nyingine?
 
Hela ndogo sana hyo.bado makato ya Kodi na nssf.
 

Watu wasichotaka kukubali ni kwamba nje ya salary mwalimu hana issue.
Kada zingine kuna madokezo, overtime, vikao, semina n.k

Mwalimu hana yote hayo hata akipata safari ya nje ya wilaya wanamuonea sana anaweza kulipwa 30K wakati rate ya DSA yake inaweza kuwa 100K.

Kuna mambo ya hovyo sana walimu wanaonewa na maskini ya Mungu walimu wamekuwa ni kundi linaloonewa sana na Serikali, kukiwa na mwenge lazima wachange lazima waende kukesha pia
 
Umeuwa, harudi tena huyo mwalimu
 
Ualimu sio kazi ngumu ya kumlipa hela nyingi, wanakula bata sana hawa...
Diploma kwetu wanalipa 1,000,000 dgree 1,355,000 hiyo ni basics...
Sasa degree ya mwl.ni 710,000/= take home bei gani kama hiyo ni basics..
Hawana kazi ngumu, kufundisha tu watoto na hawana side effects za kazi afu unataka hela nyingi
 
kwa hiyo huyo SP ndio umeona ana salary kubwa? hivi unajua Fresh CPA anayeanza kazi eGA anaweza kuwalipa hao SP hata mara 3 au nne,
-vitengo vyenye salary kubwa ni eGA,TCRA,TANAPA,LATRA,ⓣⓡⓐ
 
kwa hiyo huyo SP ndio umeona ana salary kubwa? hivi unajua Fresh CPA anayeanza kazi eGA anaweza kuwalipa hao SP hata mara 3 au nne,
-vitengo vyenye salary kubwa ni eGA,TCRA,TANAPA,LATRA,ⓣⓡⓐ
Hapa tunazungumzia walimu mbona unajichanganya unaenda o.p soma juu huyo niliye mquote reply yake utaelewa jibu langu
 
Hapa umenena.Lakini kimbuka wao hawana side effect(s) ila ikitokea ktk utendaji wao wa kazi wakafanya chini ya kiwango basi madhala yake ni makubwa.Kwa maoni yangu hizi posho zitolewe bila ubaguzi kwa kada zote!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…