Mliokaririshwa uongo kuwa mishahara ya walimu ni midogo kuliko watumishi wengine wa serikali, nawaanikia hapa

Mliokaririshwa uongo kuwa mishahara ya walimu ni midogo kuliko watumishi wengine wa serikali, nawaanikia hapa

Walimu wengi ni masikini tena wanadharaulika kwasababu ni wachafu hawajipendi, hawavai nguo Safi kila siku nguo hiyo hiyo kauka nikuvae, wake zao ni Walevi wa pombe za kienyeji... Ndio maana wanawake wengi hukataa kuolewa na mwalimu. Mtu akishajua wewe ni mwalimu basi anakushusha heshima na unadharaulika mpaka na watoto wadogo maana wanajua wewe ni fukara tu Wali maharage.
 
Huu upuuzi sijui tutauacha lini? Kama mtumishi wa umma unayefahamu mfumo wetu wa ajira za serikali utagundua kuwa Mwalimu anatofautiana kidogo sana na watumishi wa kada zingine .

Hizi ni tofauti chache sana.

1. Posho. Mwalimu hana posho ila kada zingine wanazo

2.Mianya ya rushwa. Hakika mashuleni rushwa ni ngumu sana kupatikana labda kwa mkuu wa shule.

Hizi tofauti mbili ndizo zinazomfanya Mwalimu aonekane ana njaa sana hasa tarehe za katikati.

OMBI KWA WALIMU

Wawekeze zaidi katika professionalism na hii sababu ndiyo inayowaumiza sana. Walimu wengi ni Incompentent , unskilled not well developed. Hawawezi hata kujibu hoja tu za kiutumishi . Mfano ukiomba barua zilizoandikwa na walimu kwa mikono yao[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Aisee utacheka . Kujielezea ni sifurii.
Ndomana nilishauligi kuwa walimu waanze kupigwa oral na written interview, shida tunawadekeza sana hawa inabidi tukutane nao ajira portal waone hiyo compitition ilivyo. Unakuta mwalimu yupo yupo tu kama waokota makopo. Nikiendaga shuleni kumsalimia dogo wangu unakuta naongea na mwalimu hajiamini anatetemeka tu nguo hawapigi pasi wala hawapo smart kama majaa yaliyopo TRA, TCRA, TPDC, BANK au NSSF
 
Jamii ya watanzania wanavyoelewa ni kwamba kazi ya ualimu ndiyo yenye mshahara mdogo kuliko kazi zingine zote. Hivyo hii imepelekea hadhi ya mwalimu kwenye jamii kushuka sana na mwalimu kuhesabika kuwa ni duni katika jamii. Lakini hii si kweli hata kidogo. Msichana akitaka kuchumbiwa na mwalimu anajisikia mnyonge, na mara nyingi hukataa labda akihisi kuwa umri unamtupa mkono au akiona hajapata chaguo la moyo wake.

Ukweli ni kwamba watumishi wote wa serikali (walimu na kada zingine) mishahara yao iko chini sana! Lakini ukiilinganisha hiyo mishahara yao midogo, mshahara wa mwalimu unakuwa juu kidogo kuliko kada zingine isipokuwa kwa kada ambazo wanasoma miaka mingi zaidi kama madaktari, wafamasia na wahandisi.

Ngoja niwaanikie hapa:

Mishahara ya walimu wanaoanza wenye digrii ya kwanza:
Hadi Juni 2022 walikuwa kwenye TGTS D1 = 716,000/=
Kuanzia Julai 2022 wanakuwa kwenye TGTS D1 = 771,000/=

Mishahara ya kada zingine wasio walimu wenye digrii ya kwanza:
Hadi June 2022 walikuwa kwenye TGS D1 = 710,000/=
Kuanzia Julai 2022 wanakuwa kwenye TGS D1 = 765,000/=

Kwa hiyo hadi Juni 2022 mshahara wa mwalimu ulikuwa unazidi mshahara wa kada nyingine kwa sh 6,000/=.
Kuanzia Julai 2022 mshahara waq mwalimu unazidi mshahara wa kada zingine kwa sh 6,000/= pia.

Kwa wastani mishahara ni midogo kwa wote japo jamii inaamini kuwa mwalimu ndiye mwenye mshahara mdogo wakati siyo kweli. Wahanga wa uongo huu wamekuwa ni wasichana kukataa kuolewa na walimu na kushobokea kada zingine kwa kigezo cha mshahara.

Mtumishi wa serikali akilalamika kuwa mshahara ni mdogo watu wanakimbilia kusema kuwa huyo lazima atakuwa ni mwalimu.

Nashauri tuwaheshimu sana walimu wetu, tusiwabeze bali tuwatie moyo maana kazi yao ni ngumu na ni muhimu sana. Kinachoendelea kwenye mitandao ya kijamii kwa sasa ni kukejeli walimu eti ndio wanaolalamikia nyongeza kiduchu ya mshahara mwaka huu kinyume na matarajio yao.
Kwanza mwaka juzi Mkurugenzi wa Idara ya Elimu Wizarani alisema Waalimu ni miongoni mwa kada ya watumishi wenye mishahara mikubwa serikalini..

Sijawahi watetea Waalimu Wala hawajawahi kuwa wanyonge.
 
Walimu wengi ni masikini tena wanadharaulika kwasababu ni wachafu hawajipendi, hawavai nguo Safi kila siku nguo hiyo hiyo kauka nikuvae, wake zao ni Walevi wa pombe za kienyeji... Ndio maana wanawake wengi hukataa kuolewa na mwalimu. Mtu akishajua wewe ni mwalimu basi anakushusha heshima na unadharaulika mpaka na watoto wadogo maana wanajua wewe ni fukara tu Wali maharage.
Syo kweli! wewe ni mhanga wa taarifa potofu kuhusu walimu! Usichukue extreme case ya mwalimu mmoja ambaye hayuko vizuri halafu ukafanya ndivyo walimu wote walivyo. Mwalimu siyo fukara maana haidiwi mshahara na watumishi wengine walio wengi. Hata kada zingine walevi wapo tu. ulevi ni tabia ya mtu bila kujali taaluma au kada yake!! Soma post yangu #1.
Mimi binafsi sijawahi kutoka shule ya msingi hadi masters sijawahi kufundishwa na mwalimu mchafu na mlevi kama unaowasimulia wewe! Sisemi kama hawapo wa hivyo lakini hiyo haihusiani na ualimu wao, ni tabia yao tu hao uliowaona wewe. Hao unaowasema wewe hata kama wangekuwa na kazi zingine wangekuwa walevi tu kwa tabia yao.
 
Walimu Hawana dili Wala marupurupu ya ziada Kama kada nyingine, hiki Ndo kinawafanya kua maskini Sana

1. Dreva wa halmashaur ana mshahara mdg kuliko mwalimu ila atapiga dili za vifusi,mchanga,kokoto n.k night za misafara n.k

2. Afisa biashara au ardhi wa halmashaur ana mshahara mdg kuliko mwalimu,
Ila atapiga rushwa za leseni za kufa mtu.

3. Afisa mifugo au kilimo atapiga elfu tano tano za sindano mifugo ya watu au atalima mashamba yake uko uchochoroni kwa kutumia dawa au pembejeo za ruzuku za serikali.

4. Mfamasia atakula laki tano tano kila mwezi for free za cheti chake tu kutumika kwny maduka ya dawa ya watu uko mitaani uku katulia tu..

5. Daktar au nesi wa halmashaur,
Hawa dili za semina,mafunzo n.k Ni nyingi mno(covid 19, chanjo, ukoma, malelia n.k). Hapo bado hawajaiba vifaa Tiba na kuviingiza mtaani kwenye hospital binafs.
[emoji117] Kuna na mabwana afya kaam matrafiki TU, wanatupiga Sana elfu hamsin hamsi Za faini uku mitaani

6. Wahasibu na maafisa manunuzi wa halmashaur wanapiga Sana dili za kimahesabu na 10% wakishirikiana na maboss wao (wakurugenz) ili Kupiga Cha juu kwenye tenda na matumiz mbalimbali ya fedha kwny halmashaur.

7. Maengineer wa halmashaur Ndo kabsaa wezi wakubwa, wao kila mradi wa serikali wakipewa kusimamia Lazima umalizike na yeye tayar ana kijumba keshakijenga kwa material zile zile za mradi.

8. Maafisa masjala wao Ni Kama matrafiki au madalali wa viunga vya halmashaur, una faili lako pale kwa mkurugenz au mkuu wa wilaya,ili likimbie chap chap Lazima utamwachia elfu 2 au elfu 5 ya maji.

9. Afisa maliasili wa halmashaur Hawa Ni wazee wa madili na rushwa za misitu,mikaa,mbao na magendo mbalimbali ya serikali.

10. Afisa utumiishi Hawa ndio wazee wa madili ya watumishi hewa.
[emoji117]Mtu anafariki, ripoti haiendi hazina kusitisha mshahara. Inatolewa ripoti ya mwajiriwa kubadili account yake, mshahara wa marahemu wanaula hata miaka 10 mfulurizo bila yeyote kujua.
[emoji117]mtu anamakosa ya kinidhamu,kasimamishiwa mshahara. Ripoti haiendi hazina, inabadilishwa tu account. Wanaupiga kimya kimya. Ukisamehewa ukarudishiwa mshahara, ule wa nyuma hata uulizii.
[emoji117]mtu anaripoti Ila haendi kituo Cha KAZI, au anaacha kazi anaenda zake private kwa muda.
wanakula dili na afisa utumishi, wanaugawana nusu nusu huku yeye Yuko zake private sector anapiga Ela nyingine.

Kama Kuna mtumish mwngne wa halmashaur nmemsahau nikumbushe.

Ila kiuhaisia mwalimu nje ya mshahara sijui atapiga dili gani atoboe,

ukiachilia mbali suala la twisheni ambalo bado kipato chenyewe Ni kidg mno na jasho linalomtoka Ni jingi mno

Sijui atapiga dili gan jingine maana vitabu vyote vya serikali vimeandikwa "HAKIUZWI", boksi lenyewe la chaki Mtaani halizidi hata elfu 2.

Trafiki?
 
Ndomana nilishauligi kuwa walimu waanze kupigwa oral na written interview, shida tunawadekeza sana hawa inabidi tukutane nao ajira portal waone hiyo compitition ilivyo. Unakuta mwalimu yupo yupo tu kama waokota makopo. Nikiendaga shuleni kumsalimia dogo wangu unakuta naongea na mwalimu hajiamini anatetemeka tu nguo hawapigi pasi wala hawapo smart kama majaa yaliyopo TRA, TCRA, TPDC, BANK au NSSF
🤣🤣🤣🤣
 
Kada ya afya sijaiweka kwenye mlinganisho! UJue wanapiga kitabu miaka 4 hao wauguzi kwa diploma na wanaitwa STAFF NURSE. Hata hivyo hiyo data yako sijui kama ndiyo mshahara wa kuanzia!!
ni miaka mitatu tena alietokea kidato cha nne mwenye D nne masomo ya sayansi
 
Walimu Hawana dili Wala marupurupu ya ziada Kama kada nyingine, hiki Ndo kinawafanya kua maskini Sana

1. Dreva wa halmashaur ana mshahara mdg kuliko mwalimu ila atapiga dili za vifusi,mchanga,kokoto n.k night za misafara n.k

2. Afisa biashara au ardhi wa halmashaur ana mshahara mdg kuliko mwalimu,
Ila atapiga rushwa za leseni za kufa mtu.

3. Afisa mifugo au kilimo atapiga elfu tano tano za sindano mifugo ya watu au atalima mashamba yake uko uchochoroni kwa kutumia dawa au pembejeo za ruzuku za serikali.

4. Mfamasia atakula laki tano tano kila mwezi for free za cheti chake tu kutumika kwny maduka ya dawa ya watu uko mitaani uku katulia tu..

5. Daktar au nesi wa halmashaur,
Hawa dili za semina,mafunzo n.k Ni nyingi mno(covid 19, chanjo, ukoma, malelia n.k). Hapo bado hawajaiba vifaa Tiba na kuviingiza mtaani kwenye hospital binafs.
[emoji117] Kuna na mabwana afya kaam matrafiki TU, wanatupiga Sana elfu hamsin hamsi Za faini uku mitaani

6. Wahasibu na maafisa manunuzi wa halmashaur wanapiga Sana dili za kimahesabu na 10% wakishirikiana na maboss wao (wakurugenz) ili Kupiga Cha juu kwenye tenda na matumiz mbalimbali ya fedha kwny halmashaur.

7. Maengineer wa halmashaur Ndo kabsaa wezi wakubwa, wao kila mradi wa serikali wakipewa kusimamia Lazima umalizike na yeye tayar ana kijumba keshakijenga kwa material zile zile za mradi.

8. Maafisa masjala wao Ni Kama matrafiki au madalali wa viunga vya halmashaur, una faili lako pale kwa mkurugenz au mkuu wa wilaya,ili likimbie chap chap Lazima utamwachia elfu 2 au elfu 5 ya maji.

9. Afisa maliasili wa halmashaur Hawa Ni wazee wa madili na rushwa za misitu,mikaa,mbao na magendo mbalimbali ya serikali.

10. Afisa utumiishi Hawa ndio wazee wa madili ya watumishi hewa.
[emoji117]Mtu anafariki, ripoti haiendi hazina kusitisha mshahara. Inatolewa ripoti ya mwajiriwa kubadili account yake, mshahara wa marahemu wanaula hata miaka 10 mfulurizo bila yeyote kujua.
[emoji117]mtu anamakosa ya kinidhamu,kasimamishiwa mshahara. Ripoti haiendi hazina, inabadilishwa tu account. Wanaupiga kimya kimya. Ukisamehewa ukarudishiwa mshahara, ule wa nyuma hata uulizii.
[emoji117]mtu anaripoti Ila haendi kituo Cha KAZI, au anaacha kazi anaenda zake private kwa muda.
wanakula dili na afisa utumishi, wanaugawana nusu nusu huku yeye Yuko zake private sector anapiga Ela nyingine.

Kama Kuna mtumish mwngne wa halmashaur nmemsahau nikumbushe.

Ila kiuhaisia mwalimu nje ya mshahara sijui atapiga dili gani atoboe,

ukiachilia mbali suala la twisheni ambalo bado kipato chenyewe Ni kidg mno na jasho linalomtoka Ni jingi mno

Sijui atapiga dili gan jingine maana vitabu vyote vya serikali vimeandikwa "HAKIUZWI", boksi lenyewe la chaki Mtaani halizidi hata elfu 2.
Kwa maelezo haya ni wazi mkuu una kitengo nyeti kwenye nchi hii nimekutumia CV zangu DM unipe japo kaconnection na Mimi.
 
Walimu Hawana dili Wala marupurupu ya ziada Kama kada nyingine, hiki Ndo kinawafanya kua maskini Sana

1. Dreva wa halmashaur ana mshahara mdg kuliko mwalimu ila atapiga dili za vifusi,mchanga,kokoto n.k night za misafara n.k

2. Afisa biashara au ardhi wa halmashaur ana mshahara mdg kuliko mwalimu,
Ila atapiga rushwa za leseni za kufa mtu.

3. Afisa mifugo au kilimo atapiga elfu tano tano za sindano mifugo ya watu au atalima mashamba yake uko uchochoroni kwa kutumia dawa au pembejeo za ruzuku za serikali.

4. Mfamasia atakula laki tano tano kila mwezi for free za cheti chake tu kutumika kwny maduka ya dawa ya watu uko mitaani uku katulia tu..

5. Daktar au nesi wa halmashaur,
Hawa dili za semina,mafunzo n.k Ni nyingi mno(covid 19, chanjo, ukoma, malelia n.k). Hapo bado hawajaiba vifaa Tiba na kuviingiza mtaani kwenye hospital binafs.
[emoji117] Kuna na mabwana afya kaam matrafiki TU, wanatupiga Sana elfu hamsin hamsi Za faini uku mitaani

6. Wahasibu na maafisa manunuzi wa halmashaur wanapiga Sana dili za kimahesabu na 10% wakishirikiana na maboss wao (wakurugenz) ili Kupiga Cha juu kwenye tenda na matumiz mbalimbali ya fedha kwny halmashaur.

7. Maengineer wa halmashaur Ndo kabsaa wezi wakubwa, wao kila mradi wa serikali wakipewa kusimamia Lazima umalizike na yeye tayar ana kijumba keshakijenga kwa material zile zile za mradi.

8. Maafisa masjala wao Ni Kama matrafiki au madalali wa viunga vya halmashaur, una faili lako pale kwa mkurugenz au mkuu wa wilaya,ili likimbie chap chap Lazima utamwachia elfu 2 au elfu 5 ya maji.

9. Afisa maliasili wa halmashaur Hawa Ni wazee wa madili na rushwa za misitu,mikaa,mbao na magendo mbalimbali ya serikali.

10. Afisa utumiishi Hawa ndio wazee wa madili ya watumishi hewa.
[emoji117]Mtu anafariki, ripoti haiendi hazina kusitisha mshahara. Inatolewa ripoti ya mwajiriwa kubadili account yake, mshahara wa marahemu wanaula hata miaka 10 mfulurizo bila yeyote kujua.
[emoji117]mtu anamakosa ya kinidhamu,kasimamishiwa mshahara. Ripoti haiendi hazina, inabadilishwa tu account. Wanaupiga kimya kimya. Ukisamehewa ukarudishiwa mshahara, ule wa nyuma hata uulizii.
[emoji117]mtu anaripoti Ila haendi kituo Cha KAZI, au anaacha kazi anaenda zake private kwa muda.
wanakula dili na afisa utumishi, wanaugawana nusu nusu huku yeye Yuko zake private sector anapiga Ela nyingine.

Kama Kuna mtumish mwngne wa halmashaur nmemsahau nikumbushe.

Ila kiuhaisia mwalimu nje ya mshahara sijui atapiga dili gani atoboe,

ukiachilia mbali suala la twisheni ambalo bado kipato chenyewe Ni kidg mno na jasho linalomtoka Ni jingi mno

Sijui atapiga dili gan jingine maana vitabu vyote vya serikali vimeandikwa "HAKIUZWI", boksi lenyewe la chaki Mtaani halizidi hata elfu 2.
Dah umetisha,,,nilizoea kukuona kuleeee mkiparurana na mk254 na Annunaki[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mambo ya mishahara hayana uhusiano na kudharaulika kwa kazi ya ualimu. Dunia nzima kazi ya ualimu inadharaulika licha ya kwamba ni miongoni mwa proffesional nne kongwe zaidi duniani ambazo ni Elimu, Tiba, Sheria na uhandisi. Kuna tafiti zimefanyika juu ya hili na haya ndio yalikuwa ndio baadhi sababu ya kudharaulika kwa hii kada.

1. Idadi

Kada ya elimu ndio kada yenye watumishi wengi kuliko kada zote duniani. Hii ni kawaida kitu kikiwa na watu wengi kinaonekana cha kawaida hakina upekee.

2. Aina ya client inayodeal nao

Kada ya ualimu kwa kiasi kikubwa inadeal na watoto na vijana wadogo ambao hawajapevuka kiakili. Hii mambo imepelekea jamii kuona kama ni kazi ya kitoto-toto. Haigusi moja kwa moja shida na maslahi ya watu wazima ukilinganisha na kada zingine.

3. Mazingira ya kufanyia kazi

Kazi ya ualimu ina mazingira magumu ya kufanyia kazi ukilinganisha na kada zingine dunia nzima. Kada zingine mtu anaweza kulipwa mshahara mdogo lakini yuko kwenye ofisi nzuri na usafiri wa heshima kutoka ofisi husika. Hii inapandisha hadhi ya mtu automatically.

Lakini yote kwa yote hii ni kada mama Kati ya nada zote. Ni ngumu kada hii kupata heshima lakini mchango wake ni mkubwa pengine kuliko kada zote.
 
Watumishi wengine wanalipwa overtime kwa siku 15 kwa mwezi ambazo hazikatwi kodi , kwa rate ya sasa 60,000 × 15 = 900,000
Analipwa posho ys vikao na kazi, kupitia madokezo,
Mealimu ukitoa mshahara hana chochote kingine anachotegemea,akiukopea mshahara ndo kabisaaaaa utamuonea huruma!
Mkuu research unayo lakini ? Sinjui Kama unachosema hapa kina uhalisia even 16% ? Hizo posho na overtime za 900000 kwa mwezi Sijui ni kwa fani ngapi. Amini wengi wanaolalama huku sio walimu tu zipo na fani nyingine nyingi zinazolalama hasa wale wasio ngazi za halmashari Kama vile katani, na vijijini, Sema tu kwenye utumishi wa serikali mwalimu ndio rahisi kumwongelea zaidi.

Sent from my itel S33 using JamiiForums mobile app
 
Mambo ya mishahara hayana uhusiano na kudharaulika kwa kazi ya ualimu. Dunia nzima kazi ya ualimu inadharaulika licha ya kwamba ni miongoni mwa proffesional nne kongwe zaidi duniani ambazo ni Elimu, Tiba, Sheria na uhandisi. Kuna tafiti zimefanyika juu ya hili na haya ndio yalikuwa ndio baadhi sababu ya kudharaulika kwa hii kada.

1. Idadi

Kada ya elimu ndio kada yenye watumishi wengi kuliko kada zote duniani. Hii ni kawaida kitu kikiwa na watu wengi kinaonekana cha kawaida hakina upekee.

2. Aina ya client inayodeal nao

Kada ya ualimu kwa kiasi kikubwa inadeal na watoto na vijana wadogo ambao hawajapevuka kiakili. Hii mambo imepelekea jamii kuona kama ni kazi ya kitoto-toto. Haigusi moja kwa moja shida na maslahi ya watu wazima ukilinganisha na kada zingine.

3. Mazingira ya kufanyia kazi

Kazi ya ualimu ina mazingira magumu ya kufanyia kazi ukilinganisha na kada zingine dunia nzima. Kada zingine mtu anaweza kulipwa mshahara mdogo lakini yuko kwenye ofisi nzuri na usafiri wa heshima kutoka ofisi husika. Hii inapandisha hadhi ya mtu automatically.

Lakini yote kwa yote hii ni kada mama Kati ya nada zote. Ni ngumu kada hii kupata heshima lakini mchango wake ni mkubwa pengine kuliko kada zote.
kingine wanagombania kazi za sensa na wanafunzi wao
 
Walimu Hawana dili Wala marupurupu ya ziada Kama kada nyingine, hiki Ndo kinawafanya kua maskini Sana

1. Dreva wa halmashaur ana mshahara mdg kuliko mwalimu ila atapiga dili za vifusi,mchanga,kokoto n.k night za misafara n.k

2. Afisa biashara au ardhi wa halmashaur ana mshahara mdg kuliko mwalimu,
Ila atapiga rushwa za leseni za kufa mtu.

3. Afisa mifugo au kilimo atapiga elfu tano tano za sindano mifugo ya watu au atalima mashamba yake uko uchochoroni kwa kutumia dawa au pembejeo za ruzuku za serikali.

4. Mfamasia atakula laki tano tano kila mwezi for free za cheti chake tu kutumika kwny maduka ya dawa ya watu uko mitaani uku katulia tu..

5. Daktar au nesi wa halmashaur,
Hawa dili za semina,mafunzo n.k Ni nyingi mno(covid 19, chanjo, ukoma, malelia n.k). Hapo bado hawajaiba vifaa Tiba na kuviingiza mtaani kwenye hospital binafs.
[emoji117] Kuna na mabwana afya kaam matrafiki TU, wanatupiga Sana elfu hamsin hamsi Za faini uku mitaani

6. Wahasibu na maafisa manunuzi wa halmashaur wanapiga Sana dili za kimahesabu na 10% wakishirikiana na maboss wao (wakurugenz) ili Kupiga Cha juu kwenye tenda na matumiz mbalimbali ya fedha kwny halmashaur.

7. Maengineer wa halmashaur Ndo kabsaa wezi wakubwa, wao kila mradi wa serikali wakipewa kusimamia Lazima umalizike na yeye tayar ana kijumba keshakijenga kwa material zile zile za mradi.

8. Maafisa masjala wao Ni Kama matrafiki au madalali wa viunga vya halmashaur, una faili lako pale kwa mkurugenz au mkuu wa wilaya,ili likimbie chap chap Lazima utamwachia elfu 2 au elfu 5 ya maji.

9. Afisa maliasili wa halmashaur Hawa Ni wazee wa madili na rushwa za misitu,mikaa,mbao na magendo mbalimbali ya serikali.

10. Afisa utumiishi Hawa ndio wazee wa madili ya watumishi hewa.
[emoji117]Mtu anafariki, ripoti haiendi hazina kusitisha mshahara. Inatolewa ripoti ya mwajiriwa kubadili account yake, mshahara wa marahemu wanaula hata miaka 10 mfulurizo bila yeyote kujua.
[emoji117]mtu anamakosa ya kinidhamu,kasimamishiwa mshahara. Ripoti haiendi hazina, inabadilishwa tu account. Wanaupiga kimya kimya. Ukisamehewa ukarudishiwa mshahara, ule wa nyuma hata uulizii.
[emoji117]mtu anaripoti Ila haendi kituo Cha KAZI, au anaacha kazi anaenda zake private kwa muda.
wanakula dili na afisa utumishi, wanaugawana nusu nusu huku yeye Yuko zake private sector anapiga Ela nyingine.

Kama Kuna mtumish mwngne wa halmashaur nmemsahau nikumbushe.

Ila kiuhaisia mwalimu nje ya mshahara sijui atapiga dili gani atoboe,

ukiachilia mbali suala la twisheni ambalo bado kipato chenyewe Ni kidg mno na jasho linalomtoka Ni jingi mno

Sijui atapiga dili gan jingine maana vitabu vyote vya serikali vimeandikwa "HAKIUZWI", boksi lenyewe la chaki Mtaani halizidi hata elfu 2.
Uko sahihi kabisa
 
Walimu Hawana dili Wala marupurupu ya ziada Kama kada nyingine, hiki Ndo kinawafanya kua maskini Sana

1. Dreva wa halmashaur ana mshahara mdg kuliko mwalimu ila atapiga dili za vifusi,mchanga,kokoto n.k night za misafara n.k

2. Afisa biashara au ardhi wa halmashaur ana mshahara mdg kuliko mwalimu,
Ila atapiga rushwa za leseni za kufa mtu.

3. Afisa mifugo au kilimo atapiga elfu tano tano za sindano mifugo ya watu au atalima mashamba yake uko uchochoroni kwa kutumia dawa au pembejeo za ruzuku za serikali.

4. Mfamasia atakula laki tano tano kila mwezi for free za cheti chake tu kutumika kwny maduka ya dawa ya watu uko mitaani uku katulia tu..

5. Daktar au nesi wa halmashaur,
Hawa dili za semina,mafunzo n.k Ni nyingi mno(covid 19, chanjo, ukoma, malelia n.k). Hapo bado hawajaiba vifaa Tiba na kuviingiza mtaani kwenye hospital binafs.
[emoji117] Kuna na mabwana afya kaam matrafiki TU, wanatupiga Sana elfu hamsin hamsi Za faini uku mitaani

6. Wahasibu na maafisa manunuzi wa halmashaur wanapiga Sana dili za kimahesabu na 10% wakishirikiana na maboss wao (wakurugenz) ili Kupiga Cha juu kwenye tenda na matumiz mbalimbali ya fedha kwny halmashaur.

7. Maengineer wa halmashaur Ndo kabsaa wezi wakubwa, wao kila mradi wa serikali wakipewa kusimamia Lazima umalizike na yeye tayar ana kijumba keshakijenga kwa material zile zile za mradi.

8. Maafisa masjala wao Ni Kama matrafiki au madalali wa viunga vya halmashaur, una faili lako pale kwa mkurugenz au mkuu wa wilaya,ili likimbie chap chap Lazima utamwachia elfu 2 au elfu 5 ya maji.

9. Afisa maliasili wa halmashaur Hawa Ni wazee wa madili na rushwa za misitu,mikaa,mbao na magendo mbalimbali ya serikali.

10. Afisa utumiishi Hawa ndio wazee wa madili ya watumishi hewa.
[emoji117]Mtu anafariki, ripoti haiendi hazina kusitisha mshahara. Inatolewa ripoti ya mwajiriwa kubadili account yake, mshahara wa marahemu wanaula hata miaka 10 mfulurizo bila yeyote kujua.
[emoji117]mtu anamakosa ya kinidhamu,kasimamishiwa mshahara. Ripoti haiendi hazina, inabadilishwa tu account. Wanaupiga kimya kimya. Ukisamehewa ukarudishiwa mshahara, ule wa nyuma hata uulizii.
[emoji117]mtu anaripoti Ila haendi kituo Cha KAZI, au anaacha kazi anaenda zake private kwa muda.
wanakula dili na afisa utumishi, wanaugawana nusu nusu huku yeye Yuko zake private sector anapiga Ela nyingine.

Kama Kuna mtumish mwngne wa halmashaur nmemsahau nikumbushe.

Ila kiuhaisia mwalimu nje ya mshahara sijui atapiga dili gani atoboe,

ukiachilia mbali suala la twisheni ambalo bado kipato chenyewe Ni kidg mno na jasho linalomtoka Ni jingi mno

Sijui atapiga dili gan jingine maana vitabu vyote vya serikali vimeandikwa "HAKIUZWI", boksi lenyewe la chaki Mtaani halizidi hata elfu 2.

Huu ndo ukweli bila haya makandokando ni ngumu sana mtumishi wa umma kutoboa.! Na serikali isopo boresha masilahi ya watumishi kamwe rushwa haiwezi kuisha
 
Back
Top Bottom