NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 9,863
- 20,806
Kipindi hicho nilikua young, mpole naogopa wadada mno sikuwa najua chochote.Kumbe ulikuwa bado young, na mapenzi unafahamu...?? 😊😁😃 Wewe ni hatari....
Maza chenga huyu kashamharibu kijana wake.Inabidi afanye hivyo ampe first born mbususu🤣🤣🤣🤣
Tena wewe ninatamani mkeo nimjue nikamchambue Kama karanga... 😃😃😁😁Leo naona ni mwendo wa wanaume kupigwa matukio tuu.
Aisee hizi mbususu za wake zetu kwa kweli ni mwendo wakushare tuu. Hatari!
Ah mzeya unataka kumtomber mke wangu🤣🤣🤣🤣 una mabalaa wewe.Tena wewe ninatamani mkeo nimjue nikamchambue Kama karanga... 😃😃😁😁
Huyo dogo anafanya practice baada ya kusoma reproduction system..... 😃😃😁😁hahahahahaha
Hell NO!!Hapo cha kufanya tafuta watu wenye hekima au wa kanisani, mwaga ukweli kama ulivyomwaga hapo, wakae waongee na mumeo naye ajue. Usubirie kitakachotokea, mume akikubali kukusamehe basi mtamjumuisha na mtoto kwenye mapatano hayo, nadhani hii itasaidia kuliko kukaa nayo moyoni, huenda ukaibua makubwa zaidi
Hapo mtoto pia umeshamuatjiri kisaikolojia.
Aisee kwani mzee hakuwa anawafahamu shemeji zake tangu mwanzo?Familia zina siri sana mkuu. Tuliambiwa ni anko but me nipo smart sana kung'amua vitu, mzee mpaka leo anajua mwamba ni shemeji ake.
Sipangi na wewe, nipe namba za mkeo nimwelekeze location Safi ya kuliwa... 😃😃😁😁Ah mzeya unataka kumtomber mke wangu🤣🤣🤣🤣 una mabalaa wewe.
So lini tupange tukualike nione unavyomgegeda mke wangu?
Mkuu una wivu sanaWewe maza ni boflo kabisa yani unajivunia kabisa eti ni kawaida yako kumcheat mumeo, fvvvvvvvck
Unadhani hajui kuwa wewe ni mama yake adi umkumbushie Hilo Kila mara? Ulishakosea lakini vitu unavyozidi kuvifanya ndio unakosea zaidi(huko kumnunua kwa kumpa hela na gari). Kwa uthubutu huo si ajabu ukiambiwa ulale na mwanao ili yaishe ushindwi.
Mimi nikiwa form | kama sikosei nilishuhudia sister angu niliemuamini Sana akipigwa deep kiss na mhuni Fulani hivi, nilijiskia vibaya mno nkawa sitaki hata kupishana nae koridoni. Sipati picha hayo maumivu ya huyo kijana wako kwa mama yake mzazi.
Huyo kijana atakuwa anaumia kuliko wewe...Nawaza sana sijui ananionaje mimi mama yake
Njoo nikupe namba pm kazi kwako na uumpe style mupya mupya sio kifo cha mendeSipangi na wewe, nipe namba za mkeo nimwelekeze location Safi ya kuliwa... 😃😃😁😁
Kwer bro hii inshu itazame kwa jicho la tatu utajua tuHell NO!!
Hizi hufunguliwa na wanaume wakijifanya wanawake.Hizi thread za kuwacheat waume zenu mkikamatwa mnakuja kulia lia humu mbona nyingi sana siku hizi? Ni kama mko proud na mnachokifanya sio?
Kiukweli pambaneni na hali zenu, binafsi sinaga ushauri kwenye mambo kama haya.
Ukoo wa kibongo mkubwa Sana, hata wewe ndugu zako huwajui...Aisee kwani mzee hakuwa anawafahamu shemeji zake tangu mwanzo?