Mlioko Tanzania tutupieni jamvini picha za sayari ya Jupiter na Saturn

Watu wanaumizwa Sana na moyo na Mara nyingi maamuzi ya moyo Hua sio sehem ya ubongo ndiomana hata mtu awe Ana akil vip na msimamo mikal moyo ukiamua kumfanya awe mjinga atakua tu
 
Kwani saivi nimechelewa nikipanda mlimani si naweza kuona ?
 
Tokea Jana nimeziona nyota zimekaa kiajabu ajabu nikajiuliza kweli kwanini vile nikakosa jibu. Na kwa vile nilikua nikechoka kwa kazi sikuzingatia Sana, kadhalika na leo pia zimeonekana Kama jana , kesho nikiziona hakika nitapiga picha.
 
Mi nasubiria picha za satelite tu zitakua kali kinyama yani...
 
Hujathibitisha Mungu yupo.

Rudia kusoma kwa makini ulichoandika.

Halafu.

Thibitisha Mungu yupo.
Ngoja nimsaidie,

Mimi nathibitisha hilo..

1..kupitia alama zake na viumbe vyake..

@ Alama zake:-
Kupishana kwa usiku na mchana...hakuna yyte afanyae hivi Ila yeye Muumba wa mbingu na ardhi...
Na akuna ata mzungu mmoja aliethubutu kusema kwamba usiku na mchana ni kutokana na nguvu fulani isipokuwa ni Mungu.

@ Katika viumbe vyake:-
Jua na mwezi (na sayari zote)...embu angalia jua na mwezi zilivyo pangiliwa na sayari zake,tangu ziumbwe hazijawai kukosea njia na kugongana..

NASA walikuja na utabiri wao feki wa kugongana sayari lakini wapi...

Mungu tu mkamilifu hakosei ktk uumbaji wake abadani.
 
Kwa hivyo, kuwepo kwa usiku na mchana, na sayari kutogongana, kwa mujibu wako, ni ushahidi na uthibitisho kwamba Mungu yupo?
 
Thibitisha Mungu yupo.
Nathibitisha kwamba Mungu yupo, kwa ushahidi wa kuumba ulimwengi usioonekana kwa macho (malaika n.k) na ulimwengu huu unaoonekana kwa macho(ambao viumbe vyoye tunaishi yaan binadamu wanyama, Mimea ardhini, ndege na viumbe vya baharini. Pia vitu alivyoviumba kwenye anga kama nyota, jua, sayari na vimbondo mbalimbali)
 
Vunga tu man hayo maswali ya yesu na Muhammad usimletee Kiranga utashusha mistari yako ya Bible na sijui kuruani ila utajikuta pointless!

Jipange ukitaka mchallenge
 
Hila mbona nililiona hili tukio toka Tareh 21 nikadhan nyota zime aligned kweny mstari tena Leo nashangaa mtoa Mada anasema lilitokea jana
 
Kwa hivyo, kuwepo kwa usiku na mchana, na sayari kutogongana, kwa mujibu wako, ni ushahidi na uthibitisho kwamba Mungu yupo?
Naam...hizo ni baadhi tu ya alama za uwepo wake.

Kuna vingi kama umauti na uhai.

Leta ushahidi wako wa kukanusha kutokuwepo Mungu.
 
Vunga tu man hayo maswali ya yesu na Muhammad usimletee Kiranga utashusha mistari yako ya Bible na sijui kuruani ila utajikuta pointless!

Jipange ukitaka mchallenge
Hiyo ni evidence inayoonekana kwa macho. Ninaongea uhalisia. Then umeniqote vibaya sijaleta maswala ya Yesu wala Muhamad.
 
Kwani saivi nimechelewa nikipanda mlimani si naweza kuona ?
Tangu jumamosi zinaonekana kubebana huku nilipo hakukuwa na haja ya kupanda mlima hata jana nimeona. Leo zikiwepo nitajitahidi picha na haka ka tekno kangu hivyo hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…