Mlioko Uingereza, msaidieni huyu mama kufahamu wanawe walipo

Uko sahihi mkuu ila lengo la wazazi lilikuwa kuwapatia fursa ya masomo, kilichotokea bahati mbaya.
Tunaomba msaada wako kuwakutanisha watoto na mzazi wao.
 
Ningekuwa sijaelewa nisingesahihisha.

Cheo cha utakatifu kwetu hakuna hicho. Huo utakatifu hata wanaolawitiana wanapewa huko kanisani, unabisha nikuwekee ushahidi?

Tatizo lako ni shule, ulisomea ujinga.
UNAKERA..
 
Hii habari imenikumbusha mbali sana.
Mwaka 2001 kuna mama mmoja mjerumani alitaka kunichukua kwa dhamira ya kunisomesha kutokana na kuona kuwa mama ana mzigo mzito wa kutulea watoto watano, kwa kweli mama alikataa,akamuomba kama ana dhamira ya kunisomesha basi anisomeshe huku huku bongo.

Mungu ampe maisha marefu mama yangu.
 
Ni kweli mie wangu nitakufa nao hata ikibidi kulala njaa si kila anaemchukua mtoto huwa ana nia njema.
 
Bac na.yy alikaa kimyaaaa miaka yote hiyo mmh hata km alikuwa na moyo mgumu manake mumewake hakuchelewa alifariki bac angeanza utaratibu Wa kuuliza kipindi hicho angekwisha wapata kwa jinsi waingereza wanavyojali watoto
Lkn sense ubalozi Wa uingereza na a mini atafanikiwa
 
Well put mkuu
 
hajawatoa kafara kweli? kutoa mtoto wako akaishi kwa mwingine yataka moyo.
 
Pole mamaa.... ila huyo mshomali fal.a sana...ndio maana napenda kuangalia ile movie ya captain Phillips walivyopewa noma mbaya.. I hope nawewe ukiitazama itakufariji
 
M
Maneno mengi utafkiri malenga,sumtime ukimuongelea mzazi wa mtu uwe na adabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…