Mliokulia kijijini poleni sana, mnakula vyakula duni sana

Mliokulia kijijini poleni sana, mnakula vyakula duni sana

Ukame huu tango unalipata wapi,yaani kuna mikoa kama morogoro,mbeya na kagera ina nafuu ila kuna mikoa ukame umewatandika wanakula wasife
Mungu awape rehema na kudra njema wote wanaokumbwa na ukame, Kagera kuna mvua za kutosha sasa hivi, maharage mabichi tayari yameanza kuliwa.... Wilaya za Bukoba, Missenyi Ngara,Karagwe, Kyerwa na Muleba ni mvua za kutosha na mashamba yamenawili sana
 
Ukienda Tukuyu ulie mjini utatamani uishi kule maana chakula kwao sio big deal na wanakula aina zote za vyakula kwanza hayo maziwa ya Mtindi nadhani kwa tafiti ndogo huko ndio wanatengeneza maziwa bora sana sana kila nikitoka SA nikipitia kasumulu nabeba madumu yangu ya lita 5 matatu yale wanayouza pale msikitini wanauza 15,000 ukija huku Katumba lita tano 25,000 maziwa kweli ila sasa muda mwingi anakuwa hana anatengeneza machache...Tukuyu ,Rungwe wale jamaa wapo vizuri sana kuhusu lishe..kwa Arusha bado hawajafikia kiwango cha mtindi wa Rungwe wapo kisongo ila wanajitahidi kwa sisi wapenzi wa maziwa...
 
hao waliokulia vijijini ndio wengi wao wametoboa kimaisha na ndio walimu wako maprofesa etc etc, kikubwa zaidi vyakula vya asili ndio vimewafanya wana afya ya uzazi hadi leo vibabu vinakula raha vinanyandua vibinti vibichiiiii , nyie mabishoo mnahangaika na mikongo na vumbi , mara vicks , kimsingi watu wa kijijini wako safi sana even upstairs.Kibaya zaidi watoto wa mjini wengi sasa ni machoko hii yooote ni kujifanya wakisasa zaidi
 
Nilienda Machame sehemu inayoitwa Makoa darajani njia panda ya kwenda Kyalia na Kimbushi hapo wanafyatua matofali ya jamaa aitwaye Willy hapo hapo kuna mgahawa nilikula pilau tamu kinoma nikastaajabu sana ni zaidi ya mjini, kuna baadhi ya vijiji ukifika vyakula ni zaidi mjini.
Machame ni kijijini ila maisha wanayoishi kule wamewazidi watu wengi tu wa mjini.
 
Nilikaa upareni aisee sijawai kuona vyakula vya ajabu kama huko kwanza kande hazina sukari na ni magumu Yale mahindi ambayo yamekomaa wala hawaja koboa ,unatafuna kama karanga Yani Yale maji yaliyopikiwa izo kande bado nice meupe ...

Tunakaa pamepikwa wali eti mboga ni maziwa ya mgando yaani wavivu kupikia hata mchuzi ..siku moja walipika mchzi wa kambare yaani wamechemsha tu kama supu then wanaweka juu ya wali ,ukiangalia kama wali umemwagiwa maji vile.😂😂😂😂

Asubuhi safi maandazi ,uzuri nilienda na sister kama wiki mbili akaanza kupika yeye Yale mambo ya kipwani aisee walikuwa wanaenjoy kinoma, alipika vibibi basi bibi akavigawa kwa watu kibao waonje kesho nikawaona wanakuja pale wanataka sister awafundishe kupika na kule Nazi ilikuwa ni begi ghali sana ilikuwa ni mkomazi.
Kande na sukari? Duh..... ila ubwabwa kwa mtindi hiyo ni balaa.
 
Uzuri wa kijijin vile vyakula ni nadra sana kusababisha kisukari au ugonjwa wa moyo

Nashukuru kuzaliwa kijijin,naamin hayo magonjwa nitayaepuka
 
Nilikaa upareni aisee sijawai kuona vyakula vya ajabu kama huko kwanza kande hazina sukari na ni magumu Yale mahindi ambayo yamekomaa wala hawaja koboa ,unatafuna kama karanga Yani Yale maji yaliyopikiwa izo kande bado nice meupe ...

Tunakaa pamepikwa wali eti mboga ni maziwa ya mgando yaani wavivu kupikia hata mchuzi ..siku moja walipika mchzi wa kambare yaani wamechemsha tu kama supu then wanaweka juu ya wali ,ukiangalia kama wali umemwagiwa maji vile.😂😂😂😂

Asubuhi safi maandazi ,uzuri nilienda na sister kama wiki mbili akaanza kupika yeye Yale mambo ya kipwani aisee walikuwa wanaenjoy kinoma, alipika vibibi basi bibi akavigawa kwa watu kibao waonje kesho nikawaona wanakuja pale wanataka sister awafundishe kupika na kule Nazi ilikuwa ni begi ghali sana ilikuwa ni mkomazi.
Wanaume wa dar bana Kwamba Kande inabidi liwe na sukari sio?😄😄 No wonder Dar mahindi ya kuchoma ukiyanunua eti unapewa na chumvi+limao 😄😄

Wanaume wa mkoani tunasikitika Sana.
 
Wanaume wa dar bana Kwamba Kande inabidi liwe na sukari sio?😄😄 No wonder Dar mahindi ya kuchoma ukiyanunua eti unapewa na chumvi+limao 😄😄

Wanaume wa mkoani tunasikitika Sana.
😂😂😂Wangeweka hata Nazi aisee na chumvi
 
Inategemea kuna wanaoishi vijijini lakini wanakula vizuri kuliko walioko mjini.
 
Nilienda Machame sehemu inayoitwa Makoa darajani njia panda ya kwenda Kyalia na Kimbushi hapo wanafyatua matofali ya jamaa aitwaye Willy hapo hapo kuna mgahawa nilikula pilau tamu kinoma nikastaajabu sana ni zaidi ya mjini, kuna baadhi ya vijiji ukifika vyakula ni zaidi mjini.
Kimbushi kijijini kwa kina R. Mengi huko,aisee huko Kuna maghorofa mengi kuliko yaliyopo kwny baadhi ya miji/manispaa.
 
Machame ni kijijini ila maisha wanayoishi kule wamewazidi watu wengi tu wa mjini.
Jamaa vijiji vyao Ni Bora Sana,na ndio maana ikifika usiku Moshi mjini Ni kweupe,watu wanapiga kazi Moshi mjini jioni wanarudi kulala zao vijijini kwao huko.
 
Ni kudra za mwenyezi Mungu tu kuwa bado mnaishi. Niko kijiji fulani sitataja mkoa. Niko na wenyeji wangu.

Asubuhi uji hauna sukari, mchana tumekula michembe. Usiku udaga na dagaa kama saba hivi kwenye bakuli.

Maisha haya magumu sana kijijini. Tuwaombee
Tafuta wagonjwa wa kisukari,presha, figo kama utawakuta huko!!?
 
Nilikaa upareni aisee sijawai kuona vyakula vya ajabu kama huko kwanza kande hazina sukari na ni magumu yale mahindi ambayo yamekomaa wala hawaja koboa, unatafuna kama karanga Yani Yale maji yaliyopikiwa izo kande bado nice meupe.

Tunakaa pamepikwa wali eti mboga ni maziwa ya mgando yaani wavivu kupikia hata mchuzi. Siku moja walipika mchzi wa kambare yaani wamechemsha tu kama supu then wanaweka juu ya wali, ukiangalia kama wali umemwagiwa maji vile.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Asubuhi safi maandazi, uzuri nilienda na sister kama wiki mbili akaanza kupika yeye Yale mambo ya kipwani aisee walikuwa wanaenjoy kinoma, alipika vibibi basi bibi akavigawa kwa watu kibao waonje kesho nikawaona wanakuja pale wanataka sister awafundishe kupika na kule Nazi ilikuwa ni bei ghali sana ilikuwa ni mkomazi.
Hakuna chakula cha ajabu hata kimoja hapo,tatizo ni kwamba wewe unataka vyakula vizuri kwa muonekano

1.Makande hayo ndio yana virutubisho kwa sababu hayo mahindi unayosema magumu hayajakobolewa yana kile kiini

2.Wali na samaki ambaye hajaungwa ni kwamba hapo hupati cholesterol inayotokana na mafuta ya kuungia

3.Maziwa mgando yana nutrients kibao

Nashagaa unataka makande ya mahindi yaliyokobolewa halafu yawekwe sukari,hivi utaacha kuugua kisukari na presha kweli

Jifunze kuhusu vyakula aisee,hayo maandazi unayoyasifia yamepikiwa ngano iliyokobolewa na yakawekwa sukari yakapitishwa kwenye mafuta ni sumu tu,faida yake mwilini ni ndogo mno
 
Back
Top Bottom