Mliokuwa mnauliza kazi ya Rostam Aziz kwenye ziara ya Rais Samia ya Marekani, hili ndio jibu lenu!

U

Utabaki na umaskini wako kwa kudhani umelogwa kumbe akili yako ndo finyu kwa kudhani umaskini ni sifa Kama alivyowahubiria shetani wa chato
Aliyekwambia Umaskini ni dhambi nani? Tunaambiwa Nchi yetu pendwa Tanzania ni one of the Poorest Countries in the World. Mbona hujajinyonga sasa??
 
Aliyekwambia Umaskini ni dhambi nani? Tunaambiwa Nchi yetu pendwa Tanzania ni one of the Poorest Countries in the World. Mbona hujajinyonga sasa??
Hata yesu alilaani maskini na umaskini wao maana hawana contribution yoyote Kama tithe zaidi ya kuendeleza uchawi
 
Aliyekwambia Umaskini ni dhambi nani? Tunaambiwa Nchi yetu pendwa Tanzania ni one of the Poorest Countries in the World. Mbona hujajinyonga sasa??
Mbona jpm aliwahubilia uongo na nyinyi mkakubali kwamba Tanzania is one of the richest countries in the world. Leo unamkana
 
Duh !
 
Hakuna shida ila kwa nn ccm haiwezi kutengeneza wazawa weusi kuwa mabilionea? Kwa sasa matajiri 10 wa mwanzo tz wote watakuwa wahindi au waarabu.

Rest in peace Idd Simba au Mtikila
 
Ni wivu tu. Siyo Rostam Aziz aliyefanya wewe uwe maskini. Halafu kumbuka tukiwa maskini wote (Au Wanyonge kwa lugha ya Magufuli), ni nani atatupa ajira?

Rostam kanunua Tigo, ana toa ajira kwa watanzania wengine na kulipa kodi. Sasa anamshawishi mkulima mkubwa aje a mechanise kilimo chetu. Matokeo yake tutapata mazao, tutatengeneza ajira nyingi, atalipa kodi, ata export mazao hayo hadi Ulaya na America.

Nchi yetu Ina ardhi yenye rutuba ambayo mazao ya aina zote yanastawi. Wewe Lutifya umeifanyia nini hii ardhi zaidi ya kuikojolea na kuinyea tu?

Acheni mizaha kwenye uwekezaji
 
Mimi nabisha. Tanzania Ina assets tu na siyo minerals.
Ni kweli madini yote yaliyokuwa yakichimbwa yalikuwa yakichukuliwa yote na kuachiwa asilimia tatu pekee kwa Nchi kutokana na mikataba mibovu iliyofanywa na wakubwa kabla ya JPM !!
 
Ungependelea kuiona Tanzania yenye RAIA wa tabaka mbili za Mabwana na Watwana !! Au siyo ???!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…