Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha tabia za kichawi. Mnaendekeza ufukara Sana, tunahitaji Taifa lizalishe maelon musk wengi na sio matonya wengiDalali mwenye asili ya Iran wakala wa CIA. Mmoja wa miliki wa CCM anaeiuza nchi yetu bila huruma kwa sisi wananchi.
Warudi huko vijijini wakaendeleze kazi, enzi za mwendazake vijana walikimbilia mijini wakajenga mavibanda machafu penbezoni mwa barabara na juu ya mitaro ya maji machafu humohumo ndo wanalala, nguvu kazi vijijini ikapungua, wameacha wazee vijijini nani alone azalishe vyakula Sasa. Waache uvivu warudi vijijini wakachape kazi. Na hiyo ndo namna nzuri ya kumuenzi mpendwa wao. Wakachape kazi kweli kweliNa ndio maana mlishaambiwa kwamba nendeni kwa Ground mkajionee jinsi watu walivyommiss mwendazake !! Acheni kubwabwaja nyuma ya keyboards zenu ! !!
Unafikiri utajiri wa Motsepe ni wa tender kama wa kina Mayanga. Au unafikiri amekuwa millionaire baada ya CR kuwa Rais....!!Hivi unajua huyu jamaa Motsepe ni shemeji yake Ramaphosa..........Shemeji utaninyima Tender?
Wewe ndiye Matonya halisiAcha tabia za kichawi. Mnaendekeza ufukara Sana, tunahitaji Taifa lizalishe maelon musk wengi na sio matonya wengi
Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
Sina hizo connectionNi connect mimi niipate kama wewe huna shida nayo.
Umasikini ni shida sana! Umecorrupt hadi akili yake imekuwa ya kimaskiniAcha tabia za kichawi. Mnaendekeza ufukara Sana, tunahitaji Taifa lizalishe maelon musk wengi na sio matonya wengi
Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
Mkuu upo? Sijakusikia kitambo sanaHivi unajua huyu jamaa Motsepe ni shemeji yake Ramaphosa..........Shemeji utaninyima Tender?
Mkuu wewe huoni hapo?Acheni woga, kuna kitu alikua anamuelekeza hapo. Kama ni kusaini mkataba tungeambiwa kabla. Tanzania ni Nchi yenye uwazi sana. Mama yetu hana mambo ya kufichaficha
Hiyo ni picha ya zamani wakati akiwa Makamu wa Rais,....kuna jambo alikua anaelekezwa.Mkuu wewe huoni hapo?
Sote tunaona na tukaambiwa alikuwa anasaini mkataba wa kibiashara ambao hatukuelezwa unahusu nini?
Kwa akili yako unaona mama anashuhudia au anaelekezwa? Hukusoma facial expression weweAcheni woga, kuna kitu alikua anamuelekeza hapo. Kama ni kusaini mkataba tungeambiwa kabla. Tanzania ni Nchi yenye uwazi sana. Mama yetu hana mambo ya kufichaficha
Vizungu vya nini bro...tumesoma wote. ACHA ubishi!Kwa akili yako unaona mama anashuhudia au anaelekezwa? Hukusoma facial expression wewe