Mliokuwa mnauliza kazi ya Rostam Aziz kwenye ziara ya Rais Samia ya Marekani, hili ndio jibu lenu!

Mliokuwa mnauliza kazi ya Rostam Aziz kwenye ziara ya Rais Samia ya Marekani, hili ndio jibu lenu!

Kuwa na matajiri wengi kunachochea sana R&D na kuharakisha industrialization process.... vyuo vyetu vikuu vimechoka na think tanks zenyewe wanakimbilia reseach zinazowaridhisha wafadhili...

Tunatakiwa na Akina Elon Musk, Bill Gates, Mark Zuckerberg wa kwetu ili kuharakisha maendeleo...
Kweli kabisa! Lazima tuwe na matajiri wengi watakaohamasisha uwekezaji, kutengeneza ajira na kuiuza uchumi
 
Rostam Aziz ndiye aliyekuwa Archtect wa wizi wa fedha kule BoT enzi ya Mkapa wakati huo marehemu Daudi Balali akiwa Gavana. Alifanikisha mpango wake kwa kumuingia Rais Mkapa nakuwa karibu nae kwa kumtumia aliyekuwa Balozi Ruhinda . Amefanikiwa kumuingia Samia kwa kupitia Kikwete hivyo tutegemee ufisadi mkubwa!
Hela yote ya uchaguzi mkuu 2025 itaibwa Kutoka serikalini na kumpelekea ccm kupitia makamu ni ya Rostam.
a
Endelea kuishi kwa nadharia! Hizo stori za kutunga umepata kwenye kijiwe gani cha kahawa?
 
Sas
Intelejensia ya Dunia katika karne ya 21 imebadilika sana! Nchi nyingi duniani sasa zinafanya kazi kutengeneza nguvu na ushawishi kwenye uchumi!

Kupata nguvu na ushawishi kwenye Uchumi kunahusisha kutengeneza matajiri wakubwa wenye pesa wanaoweza kuwekeza, kushawishi uwekezaji, kuongeza ajira na mapato ya nchi kupitia ushawishi kwenye uwekezaji

Ukienda Misri kuna Nasser Sawaris anaemiliki viwanda vingi vya cement na shareholder wa kampuni kubwa zaidi ya vifaa vya michezo ulaya Adidas

Ukienda Afrika kusini Kuna Patrice Motsepe
anaemiliki shares nyingi kwenye makampuni mbalimbali ya madini

Ukienda Nigeria kuna Aliko Dangote mwekezaji mkubwa kwenye uzalishaji wa cement , Sukari na mafuta na sasa anatengeneza refinery ya kwanza ya mafuta katika Bara la Africa

Tanzania tunae Rostam Aziz mmiliki wa kampuni ya Caspian, Taifa Gas, Tigo na Zantel! Huyu kuaminika kwake kunafanya kuwa mtu ambae Tanzania tunamtegemea sana kwenye kishawishi uwekezaji mkubwa unaotengeneza fursa za ajira na kukuza mapato na Uchumi wa nchi yetu

Urusi wanao wengi akiwemo Roman Abramovich aliyekuwa mmiliki wa club ya Chelsea

Marekani ndo usiseme wanao wengi na wanazidi kuzalisha wengi kila siku kama Jeff bezoz, Bill Gates, Warren Buffet, Elon Musk na wengineo wengi

Mfano wa kazi nzuri za Rostam Aziz kwa Tanzania ni huu! Katika ziara aliyoambatana na Rais Samia Marekani, ameweza kushawishi uwekezaji mkubwa katika kilimo hapa Tanzania kupitia Benki ya maendeleo Afrika.

Hongera Rais Samia, naiona akili kubwa sana kwako inayoenda kuiba dili haraka sana Tanzania kiuchumi


View attachment 2207616
Sasa uwekezaji ni kupitia Bank ya Maendeleo Afrika unataka kuniambia hii bank inaoperate Marekani?
 
JPM alijikita kutengeneza masikini wengi ili baadae wampe kura
Kwa mara ya kwanza umesema ukweli.

Magufuli alisema kwamba yeye ni Rais wa Maskini. Ili aendelee kuwa Rais na kuungwa mkono na watu wengi, alijitahidi sana kitengeneza maskini wengi kadiri alivyoweza.

Kuna jambo moja kubwa alikuwa halisemi. Yeye alikuwa ni Rais wa maskini wa kichwani, na alifanikiwa kwa kiasi fulani, ndiyo maana, pamoja na Magufuli kufanya uovu mwingi, bado mpaka sasa watu aliowatengeneza kwenye kundi lile la maskini wa akili, wanaendelea kumsifia.
 
Ni leo unatambua hizi nchi ni kwa ajili ya matajiri na ni mali ya matajiri?its up to you to make your way up to the top and dine with the best,

Hizi nchi tunaziona zilikuwa na utawala wake wa mtu mmoja (Monarchies) na hata USA kuna states zaidi ya 50 ambazo zilijiunga kuifanya marekani ya sasa, baada ya kukuwa na matajiri na watu wenye influence katika hizo jamii zao wakaamua waanze ku share cake, ndipo ikaja democracy. Pick a country ambayo imeendelea uangalie chimbuko lake, utashangaa ni damu zimemwagika

We need akina rostam azizi milioni moja hapa Tanzania kukaa mezani na wakubwa huko nje, trust me hatutaweza kuwapata kwa kufuata njia halali itabidi tutapeliwe, tuibiwe na tusipige kelele. Kitu ambacho hakiwezekani.
 
Kweli kabisa! Lazima tuwe na matajiri wengi watakaohamasisha uwekezaji, kutengeneza ajira na kuiuza uchumi
Exactly!!! Haya mambo ya kujifakharisha umasikini na kumwona mwizi kila mwenye nazo ni ufukara wa akili ambao ni mbaya kuliko kuliko hata umasikini wa kukosa hela!!!!

Wakati wa RAIS wangu mpendwa Dr. Magufuli alimteua mwenyekiti wa board flani siikumbuki na kukupongeza kwa kujenga kiwanda cha ngozi Morogoro.... meaning he was In the clean sheet as per President Standards, wewe unayemwita mwizi itabidi ujifikirie mara mbili..
 
Shida kubwa ni kwamba umepewa akili ya kimaskini!

Tupe ushahidi wa nchi kuuzwa? Imeuzwa kwa Nani kwa mkataba upi na shs ngapi?
Ipi bora akili ya kimasikini kwa kufanywa masikini na maharamia na kubakia na utu wako au kutumika hadi kushikishwa ukuta na maharamia.
 
Vipi kuhusu Mo yeye hayupo kwenye list ya mama?

Au kaachwa kwanza ambapanie ubingwa wa npl??
 
Ukitaka kujua historia ya Rostam tafta wastaafu wa enzi zile jamaa bado kijana anafanya biashara ya Ngozi na Kiwanda cha Ngozi Mwanza(Tanaries).

Jamaa kaanza ufisadi enzi za Mwinyi now anafanya kumalizia tu.

He has been corrupted for a long time.
 
Endelea kuishi kwa nadharia! Hizo stori za kutunga umepata kwenye kijiwe gani cha kahawa?
Pengine ulikuwa hujazaliwa lakini nyie msio kuwa na akili mnadhani anawasaidia kumbe he is capitalizing on your dumbness.
Rostam is a crook. Nendeni U-Tube mkamsikilize marehemu Mengi alivyowaumbua Hawa wezi.
Halafu mnaIona connection ya Rostam, waziri wa kilimo Bashe na hizo fedha Hangaya alizomdhamini Rostam zinazokwenda kilimo kusimamiwa na mtoto wa Rostam ; Hussein Bashe?
AMKENI SIO SHWARI TENA.
 
Intelejensia ya Dunia katika karne ya 21 imebadilika sana! Nchi nyingi duniani sasa zinafanya kazi kutengeneza nguvu na ushawishi kwenye uchumi!

Kupata nguvu na ushawishi kwenye Uchumi kunahusisha kutengeneza matajiri wakubwa wenye pesa wanaoweza kuwekeza, kushawishi uwekezaji, kuongeza ajira na mapato ya nchi kupitia ushawishi kwenye uwekezaji

Ukienda Misri kuna Nasser Sawaris anaemiliki viwanda vingi vya cement na shareholder wa kampuni kubwa zaidi ya vifaa vya michezo ulaya Adidas

Ukienda Afrika kusini Kuna Patrice Motsepe
anaemiliki shares nyingi kwenye makampuni mbalimbali ya madini

Ukienda Nigeria kuna Aliko Dangote mwekezaji mkubwa kwenye uzalishaji wa cement , Sukari na mafuta na sasa anatengeneza refinery ya kwanza ya mafuta katika Bara la Africa

Tanzania tunae Rostam Aziz mmiliki wa kampuni ya Caspian, Taifa Gas, Tigo na Zantel! Huyu kuaminika kwake kunafanya kuwa mtu ambae Tanzania tunamtegemea sana kwenye kishawishi uwekezaji mkubwa unaotengeneza fursa za ajira na kukuza mapato na Uchumi wa nchi yetu

Urusi wanao wengi akiwemo Roman Abramovich aliyekuwa mmiliki wa club ya Chelsea

Marekani ndo usiseme wanao wengi na wanazidi kuzalisha wengi kila siku kama Jeff bezoz, Bill Gates, Warren Buffet, Elon Musk na wengineo wengi

Mfano wa kazi nzuri za Rostam Aziz kwa Tanzania ni huu! Katika ziara aliyoambatana na Rais Samia Marekani, ameweza kushawishi uwekezaji mkubwa katika kilimo hapa Tanzania kupitia Benki ya maendeleo Afrika.

Hongera Rais Samia, naiona akili kubwa sana kwako inayoenda kuiba dili haraka sana Tanzania kiuchumi


View attachment 2207616
Dangote ndiye wa kwanza kujenga refinery plant katika Africa?

Anyway niliwahi kusikia Kigamboni ya hapahapa Dsm kuna refinery plant Tanzania Italian Petroleum A...... (TIPER).
 
Ipi bora akili ya kimasikini kwa kufanywa masikini na maharamia na kubakia na utu wako au kutumika hadi kushikishwa ukuta na maharamia.
Mkuu unaweza ukawa sahihi, lakini huna namna huna la kumfanya. Kilichopo ni kuungana nao tu maana huna njia nyingine.
Ukiona wanaiba nawe iba. Mwisho wa siku watoto wetu ndio watalipia.
 
Sas

Sasa uwekezaji ni kupitia Bank ya Maendeleo Afrika unataka kuniambia hii bank inaoperate Marekani?
Hoja yako ni ipi hasa? Icho kikao na Hiyo bank kimefanyika marekani! Au hujui?
 
Pengine ulikuwa hujazaliwa lakini nyie msio kuwa na akili mnadhani anawasaidia kumbe he is capitalizing on your dumbness.
Rostam is a crook. Nendeni U-Tube mkamsikilize marehemu Mengi alivyowaumbua Hawa wezi.
Halafu mnaIona connection ya Rostam, waziri wa kilimo Bashe na hizo fedha Hangaya alizomdhamini Rostam zinazokwenda kilimo kusimamiwa na mtoto wa Rostam ; Hussein Bashe?
AMKENI SIO SHWARI TENA.
Nimezaliwa 1980! Kipi sijakiona? Tupe ushahidi wa huo wizi wa Rostam

Tanzania hatuna shida ya hela na Mali kusimamiwa na nani! Sie tunataka ajira, kodi na Uchumi kukua!
 
Back
Top Bottom