Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
- Thread starter
-
- #21
Kweli kabisa! Lazima tuwe na matajiri wengi watakaohamasisha uwekezaji, kutengeneza ajira na kuiuza uchumiKuwa na matajiri wengi kunachochea sana R&D na kuharakisha industrialization process.... vyuo vyetu vikuu vimechoka na think tanks zenyewe wanakimbilia reseach zinazowaridhisha wafadhili...
Tunatakiwa na Akina Elon Musk, Bill Gates, Mark Zuckerberg wa kwetu ili kuharakisha maendeleo...
Endelea kuishi kwa nadharia! Hizo stori za kutunga umepata kwenye kijiwe gani cha kahawa?Rostam Aziz ndiye aliyekuwa Archtect wa wizi wa fedha kule BoT enzi ya Mkapa wakati huo marehemu Daudi Balali akiwa Gavana. Alifanikisha mpango wake kwa kumuingia Rais Mkapa nakuwa karibu nae kwa kumtumia aliyekuwa Balozi Ruhinda . Amefanikiwa kumuingia Samia kwa kupitia Kikwete hivyo tutegemee ufisadi mkubwa!
Hela yote ya uchaguzi mkuu 2025 itaibwa Kutoka serikalini na kumpelekea ccm kupitia makamu ni ya Rostam.
a
Sasa uwekezaji ni kupitia Bank ya Maendeleo Afrika unataka kuniambia hii bank inaoperate Marekani?Intelejensia ya Dunia katika karne ya 21 imebadilika sana! Nchi nyingi duniani sasa zinafanya kazi kutengeneza nguvu na ushawishi kwenye uchumi!
Kupata nguvu na ushawishi kwenye Uchumi kunahusisha kutengeneza matajiri wakubwa wenye pesa wanaoweza kuwekeza, kushawishi uwekezaji, kuongeza ajira na mapato ya nchi kupitia ushawishi kwenye uwekezaji
Ukienda Misri kuna Nasser Sawaris anaemiliki viwanda vingi vya cement na shareholder wa kampuni kubwa zaidi ya vifaa vya michezo ulaya Adidas
Ukienda Afrika kusini Kuna Patrice Motsepe
anaemiliki shares nyingi kwenye makampuni mbalimbali ya madini
Ukienda Nigeria kuna Aliko Dangote mwekezaji mkubwa kwenye uzalishaji wa cement , Sukari na mafuta na sasa anatengeneza refinery ya kwanza ya mafuta katika Bara la Africa
Tanzania tunae Rostam Aziz mmiliki wa kampuni ya Caspian, Taifa Gas, Tigo na Zantel! Huyu kuaminika kwake kunafanya kuwa mtu ambae Tanzania tunamtegemea sana kwenye kishawishi uwekezaji mkubwa unaotengeneza fursa za ajira na kukuza mapato na Uchumi wa nchi yetu
Urusi wanao wengi akiwemo Roman Abramovich aliyekuwa mmiliki wa club ya Chelsea
Marekani ndo usiseme wanao wengi na wanazidi kuzalisha wengi kila siku kama Jeff bezoz, Bill Gates, Warren Buffet, Elon Musk na wengineo wengi
Mfano wa kazi nzuri za Rostam Aziz kwa Tanzania ni huu! Katika ziara aliyoambatana na Rais Samia Marekani, ameweza kushawishi uwekezaji mkubwa katika kilimo hapa Tanzania kupitia Benki ya maendeleo Afrika.
Hongera Rais Samia, naiona akili kubwa sana kwako inayoenda kuiba dili haraka sana Tanzania kiuchumi
View attachment 2207616
Kwa mara ya kwanza umesema ukweli.JPM alijikita kutengeneza masikini wengi ili baadae wampe kura
Exactly!!! Haya mambo ya kujifakharisha umasikini na kumwona mwizi kila mwenye nazo ni ufukara wa akili ambao ni mbaya kuliko kuliko hata umasikini wa kukosa hela!!!!Kweli kabisa! Lazima tuwe na matajiri wengi watakaohamasisha uwekezaji, kutengeneza ajira na kuiuza uchumi
Ipi bora akili ya kimasikini kwa kufanywa masikini na maharamia na kubakia na utu wako au kutumika hadi kushikishwa ukuta na maharamia.Shida kubwa ni kwamba umepewa akili ya kimaskini!
Tupe ushahidi wa nchi kuuzwa? Imeuzwa kwa Nani kwa mkataba upi na shs ngapi?
Hivi zile bilioni alizotushinda kwenye kesi DOWANS tulishamlipa?Kaiba nini na wapi?
Pengine ulikuwa hujazaliwa lakini nyie msio kuwa na akili mnadhani anawasaidia kumbe he is capitalizing on your dumbness.Endelea kuishi kwa nadharia! Hizo stori za kutunga umepata kwenye kijiwe gani cha kahawa?
Dangote ndiye wa kwanza kujenga refinery plant katika Africa?Intelejensia ya Dunia katika karne ya 21 imebadilika sana! Nchi nyingi duniani sasa zinafanya kazi kutengeneza nguvu na ushawishi kwenye uchumi!
Kupata nguvu na ushawishi kwenye Uchumi kunahusisha kutengeneza matajiri wakubwa wenye pesa wanaoweza kuwekeza, kushawishi uwekezaji, kuongeza ajira na mapato ya nchi kupitia ushawishi kwenye uwekezaji
Ukienda Misri kuna Nasser Sawaris anaemiliki viwanda vingi vya cement na shareholder wa kampuni kubwa zaidi ya vifaa vya michezo ulaya Adidas
Ukienda Afrika kusini Kuna Patrice Motsepe
anaemiliki shares nyingi kwenye makampuni mbalimbali ya madini
Ukienda Nigeria kuna Aliko Dangote mwekezaji mkubwa kwenye uzalishaji wa cement , Sukari na mafuta na sasa anatengeneza refinery ya kwanza ya mafuta katika Bara la Africa
Tanzania tunae Rostam Aziz mmiliki wa kampuni ya Caspian, Taifa Gas, Tigo na Zantel! Huyu kuaminika kwake kunafanya kuwa mtu ambae Tanzania tunamtegemea sana kwenye kishawishi uwekezaji mkubwa unaotengeneza fursa za ajira na kukuza mapato na Uchumi wa nchi yetu
Urusi wanao wengi akiwemo Roman Abramovich aliyekuwa mmiliki wa club ya Chelsea
Marekani ndo usiseme wanao wengi na wanazidi kuzalisha wengi kila siku kama Jeff bezoz, Bill Gates, Warren Buffet, Elon Musk na wengineo wengi
Mfano wa kazi nzuri za Rostam Aziz kwa Tanzania ni huu! Katika ziara aliyoambatana na Rais Samia Marekani, ameweza kushawishi uwekezaji mkubwa katika kilimo hapa Tanzania kupitia Benki ya maendeleo Afrika.
Hongera Rais Samia, naiona akili kubwa sana kwako inayoenda kuiba dili haraka sana Tanzania kiuchumi
View attachment 2207616
Mkuu unaweza ukawa sahihi, lakini huna namna huna la kumfanya. Kilichopo ni kuungana nao tu maana huna njia nyingine.Ipi bora akili ya kimasikini kwa kufanywa masikini na maharamia na kubakia na utu wako au kutumika hadi kushikishwa ukuta na maharamia.
Hoja yako ni ipi hasa? Icho kikao na Hiyo bank kimefanyika marekani! Au hujui?Sas
Sasa uwekezaji ni kupitia Bank ya Maendeleo Afrika unataka kuniambia hii bank inaoperate Marekani?
Izo stori ya vijiwe vyako vya kahawa havina nafasi kwanguMtoto mdogo wewe hujui kitu.
Sikiliza maelezo ya wakubwa pale juu.
Hilo limtu ni wakala wa CIA. Na si ajabu ni wakala wa KUZIMU pia.
Hizo stori za vibanda umiza na vijiwe vya kahawa kwangu sio mahali pake
Punguza roho ya uchawi , wivu na akili za kimaskini! Na wewe utafanikiwa sikuJIZI HILO
Nimezaliwa 1980! Kipi sijakiona? Tupe ushahidi wa huo wizi wa RostamPengine ulikuwa hujazaliwa lakini nyie msio kuwa na akili mnadhani anawasaidia kumbe he is capitalizing on your dumbness.
Rostam is a crook. Nendeni U-Tube mkamsikilize marehemu Mengi alivyowaumbua Hawa wezi.
Halafu mnaIona connection ya Rostam, waziri wa kilimo Bashe na hizo fedha Hangaya alizomdhamini Rostam zinazokwenda kilimo kusimamiwa na mtoto wa Rostam ; Hussein Bashe?
AMKENI SIO SHWARI TENA.
Kumuelezea hata kichaa anaweza kumuelezea! Wivu na chuki ndo maisha ya masikini wengi hasa wa hapa kwetu AfricaMada yako imekufa kifo cha mende kama ilivyotarajiwa.
Msome tena yule nguli pale juu anavyomuelezea Rostam kwa undani wa ushetani wake.
Imeisha hiyo!
Wasalimie hapo BujumburaMchawi nambari moja ni chief Hangaya.
Ahsante kwa kushiriki.