Mliokuwa mnauliza kazi ya Rostam Aziz kwenye ziara ya Rais Samia ya Marekani, hili ndio jibu lenu!

Mliokuwa mnauliza kazi ya Rostam Aziz kwenye ziara ya Rais Samia ya Marekani, hili ndio jibu lenu!

Hapo ndipo unapoonesha upopoma wako!! Yaani wewe unakubali nchi iibiwe ili mradi Watu wanafanyishwa kazi kwa mshahara kiduchu na unaridhika? Wafanyakazi wa MO Dewji kila leo wanalalamika jinsi anavyowanyonya!!! Hawa sio wawekezajikama Bakhresa ni wezi wanaficha akiba zao DUBAI!!!
Mambo ya mishahara ni mahusiano ya mfanyakazi na boss wake! Hata wafanyakazi wa Serikali wanalalamika mishahara midogo Ila hawaachi Kazi na wanaendelea kufanya kazi
 
Mambo ya mishahara ni mahusiano ya mfanyakazi na boss wake! Hata wafanyakazi wa Serikali wanalalamika mishahara midogo Ila hawaachi Kazi na wanaendelea kufanya kazi

Sio pale unapowanyonya wafanyakazi kwa kuwalipa mshahara usiokidhi mahitaji muhimu!! I t is illegal!
 
Soon tutegemee ESCROW,DOWANS na EPA ya aina nyingine. Hajawahi kuwaza biashara zilizonyooka. Ni jasusi mbobezi kwenye maswala ya uchumi
 
Sio pale unapowanyonya wafanyakazi kwa kuwalipa mshahara usiokidhi mahitaji muhimu!! I t is illegal!
Tafsiri ya unyonywaji ikoje? Anayenyonywa ameacha kazi? Mnyonyaji ameshtakiwa?
 
Uhibitisho gani wewe bwabwa? Viwanda vya ngozi vinafanya kazi? Jibu swali.
Au unabisha kuwa yeye ndio aliuziwa viwanda vya ngozi?
Nipe uthibitisho wa yeye kupewa na kuvihujumu ivyo viwanda
 
Wewe bwabwa kama hujui kaa kimya; usipoteze wakati wa Watu kujibu mambo usiyoyajuwa.
Matusi ya nini ndugu? Kwani kuleta uthibitisho ni kunyanyua vyuma siku hizi? Mbona ugomvi tena?
 
Mleta mada kwa jinsi alivyo tabularasa kwa kudhani anamtetea mhusika kumbe ndio anamharibia kabisa.

Haya ndio matatizo ya kurukia rukia mambo.
 
Mleta mada kwa jinsi alivyo tabularasa kwa kudhani anamtetea mhusika kumbe ndio anamharibia kabisa.

Haya ndio matatizo ya kurukia rukia mambo.
Shida sio wewe! Shida ni upeo wako mdogo

Au kiingereza kinakusumbua Kama ndugu yenu yule wa chato?
 
Matusi ya nini ndugu? Kwani kuleta uthibitisho ni kunyanyua vyuma siku hizi? Mbona ugomvi tena?
Don't ask stupid questions. Nani alikuletea uthibitisho kuwa Bakhresa alinunua National Milling?
 
Don't ask stupid questions. Nani alikuletea uthibitisho kuwa Bakhresa alinunua National Milling?
Kwani nimesema kama jambo linalosemwa tu au allegations zangu dhidi ya bakhresa?

Kama ningesema Kama allegations zangu lazima ningetakiwa kuweka uthibitisho
 
Once Bitten, Twice Shy...., watu wana-memory fupi sana...

Anyway hivi nani alituletea Dowans ?
 
Kwa mara ya kwanza umesema ukweli.

Magufuli alisema kwamba yeye ni Rais wa Maskini. Ili aendelee kuwa Rais na kuungwa mkono na watu wengi, alijitahidi sana kitengeneza maskini wengi kadiri alivyoweza.

Kuna jambo moja kubwa alikuwa halisemi. Yeye alikuwa ni Rais wa maskini wa kichwani, na alifanikiwa kwa kiasi fulani, ndiyo maana, pamoja na Magufuli kufanya uovu mwingi, bado mpaka sasa watu aliowatengeneza kwenye kundi lile la maskini wa akili, wanaendelea kumsifia.
Hivi sasa baadhi wanaanza kugeuka 'Panya road' , kama kundi litakuwa kubwa inabidi hatua za tahadhari zichukuliwe.
 
Intelejensia ya Dunia katika karne ya 21 imebadilika sana! Nchi nyingi duniani sasa zinafanya kazi kutengeneza nguvu na ushawishi kwenye uchumi!

Kupata nguvu na ushawishi kwenye Uchumi kunahusisha kutengeneza matajiri wakubwa wenye pesa wanaoweza kuwekeza, kushawishi uwekezaji, kuongeza ajira na mapato ya nchi kupitia ushawishi kwenye uwekezaji

Ukienda Misri kuna Nasser Sawaris anaemiliki viwanda vingi vya cement na shareholder wa kampuni kubwa zaidi ya vifaa vya michezo ulaya Adidas

Ukienda Afrika kusini Kuna Patrice Motsepe
anaemiliki shares nyingi kwenye makampuni mbalimbali ya madini

Ukienda Nigeria kuna Aliko Dangote mwekezaji mkubwa kwenye uzalishaji wa cement , Sukari na mafuta na sasa anatengeneza refinery ya kwanza ya mafuta katika Bara la Africa

Tanzania tunae Rostam Aziz mmiliki wa kampuni ya Caspian, Taifa Gas, Tigo na Zantel! Huyu kuaminika kwake kunafanya kuwa mtu ambae Tanzania tunamtegemea sana kwenye kishawishi uwekezaji mkubwa unaotengeneza fursa za ajira na kukuza mapato na Uchumi wa nchi yetu

Urusi wanao wengi akiwemo Roman Abramovich aliyekuwa mmiliki wa club ya Chelsea

Marekani ndo usiseme wanao wengi na wanazidi kuzalisha wengi kila siku kama Jeff bezoz, Bill Gates, Warren Buffet, Elon Musk na wengineo wengi

Mfano wa kazi nzuri za Rostam Aziz kwa Tanzania ni huu! Katika ziara aliyoambatana na Rais Samia Marekani, ameweza kushawishi uwekezaji mkubwa katika kilimo hapa Tanzania kupitia Benki ya maendeleo Afrika.

Hongera Rais Samia, naiona akili kubwa sana kwako inayoenda kuiba dili haraka sana Tanzania kiuchumi


View attachment 2207616
Rostam Aziz hajawahi iacha serikali salama!

Mark my words!
 
Back
Top Bottom