Mliokuwa mnauliza kazi ya Rostam Aziz kwenye ziara ya Rais Samia ya Marekani, hili ndio jibu lenu!

Mliokuwa mnauliza kazi ya Rostam Aziz kwenye ziara ya Rais Samia ya Marekani, hili ndio jibu lenu!

Hizo benki zinaelekeza kwenye kilimo badala ya kuweka focus kwenye viwanda pia. Tukikazana kwenye kilimo tutaendelea kuwanufaisha wazungu kwa kuwatayarishia malighafi kwa viwanda vyao.
Amefungua kiwanda cha ngozi Morogoro 2021. Ana viwanda vingi pia
 
Rostam ni kibaka kama familia ya kikwete FULLSTOP
Dunia ya wenye akili unaongea na kuweka uthibitisho! Zaidi hizo ni ngonjera tu zinazoongozwa na roho za kimaskini, husda na chuki
 
Aliwai kukupa uthibitisho? Kwani mengi ndo uthibitisho?
Hata CCM wenyewe wanamjua,unajua kwanini alijiuzuru ubunge na nyadhifa zote ndani ya CCM enzi za jk?hawa ndio walivuliwa magamba kwasababu ya ufisadi, kamulize Nape na Kinana ndio walikuwa wanatutangazia kuhusu ufisadi wa Lostam, Lowassa na Chenge,wewe naona ni mtoto wa juzi
 
Unataka ushahidi gani wewe bwabwa? Huyu amehujumu viwanda vyetu vya ngozi halafu unataka ushahidi? Hata sijui kama alimazia deni la kununua vile viwanda PSRC?
Kwani kuna shida ukiweka uthibitisho hapa!

Acha maneno weka uthibitisho tu alivyo hujumu Pia tueleze alishtakiwa na kufungwa na mahakama ipi
 
Matajiri wa mchongo. Matajiri wa Marekani hawatengezwi na state. Wanatumia fursa za kiuchumi zilizopo kupata utajiri. Hivyo utajiri wao unakuwa HURU usio na mafungamano yoyote na tawala/siasa za serikali husika.

Matajiri wa Russia ni matajiri wa state (mchongo) wakihusishwa na Putin. Hii inaleta chuki Kwa wapinzani wa kisiasa wa Putin na kuwafanya waishi kwa wasiwasi mf. Roman hivi sasa

So Rostam anakuwa bilionea ambae ni zao la watawala Iko siku atakosa Raha huko mbele kama Roman.

Ni vema serikali itengeneze fursa sawa na huru matajiri watajizalisha wenyewe Kwa jinsi Kila mmoja ataweza ku penetrate sokoni. Hawa wa mchongo Huwa hawavutii kuitwa mabilionea.
 
Hata CCM wenyewe wanamjua,unajua kwanini alijiuzuru ubunge na nyadhifa zote ndani ya CCM enzi za jk?hawa ndio walivuliwa magamba kwasababu ya ufisadi, kamulize Nape na Kinana ndio walikuwa wanatutangazia kuhusu ufisadi wa Lostam, Lowassa na Chenge,wewe naona ni mtoto wa juzi
Alivyojiuzuru alisema sababu ni ufisadi?
 
Matajiri wa mchongo. Matajiri wa Marekani hawatengezwi na state. Wanatumia fursa za kiuchumi zilizopo kupata utajiri. Hivyo utajiri wao unakuwa HURU usio na mafungamano yoyote na tawala/siasa za serikali husika.

Matajiri wa Russia ni matajiri wa state (mchongo) wakihusishwa na Putin. Hii inaleta chuki Kwa wapinzani wa kisiasa wa Putin na kuwafanya waishi kwa wasiwasi mf. Roman hivi sasa

So Rostam anakuwa bilionea ambae ni zao la watawala Iko siku atakosa Raha huko mbele kama Roman.

Ni vema serikali itengeneze fursa sawa na huru matajiri watajizalisha wenyewe Kwa jinsi Kila mmoja ataweza ku penetrate sokoni. Hawa wa mchongo Huwa hawavutii kuitwa mabilionea.
Kwani wewe Serikali imekuzuia kuwa tajiri?

Nani kakwambia Rostam ni tajiri wa mchongo?
 
Dunia ya wenye akili unaongea na kuweka uthibitisho! Zaidi hizo ni ngonjera tu zinazoongozwa na roho za kimaskini, husda na chuki
Udhibitisho hupi unauitaji wakati akina Nape na Kinana waliiwahi kumvua gamba kwasababu ya ufisadi papa,aliacha ubunge na nyadhifa zote ndani ya CCM,wala hakukana kuwa hajawai kuwa fisadi Papa
 
Matajiri wa mchongo. Matajiri wa Marekani hawatengezwi na state. Wanatumia fursa za kiuchumi zilizopo kupata utajiri. Hivyo utajiri wao unakuwa HURU usio na mafungamano yoyote na tawala/siasa za serikali husika.

Matajiri wa Russia ni matajiri wa state (mchongo) wakihusishwa na Putin. Hii inaleta chuki Kwa wapinzani wa kisiasa wa Putin na kuwafanya waishi kwa wasiwasi mf. Roman hivi sasa

So Rostam anakuwa bilionea ambae ni zao la watawala Iko siku atakosa Raha huko mbele kama Roman.

Ni vema serikali itengeneze fursa sawa na huru matajiri watajizalisha wenyewe Kwa jinsi Kila mmoja ataweza ku penetrate sokoni. Hawa wa mchongo Huwa hawavutii kuitwa mabilionea.
Unaelewa ulichoandika. Hongera zako.
 
Udhibitisho hupi unauitaji wakati akina Nape na Kinana waliiwahi kumvua gamba kwasababu ya ufisadi papa,aliacha ubunge na nyadhifa zote ndani ya CCM,wala hakukana kuwa hajawai kuwa fisadi Papa
Walimvuaje gamba?
 
Hivi unajua huyu jamaa Motsepe ni shemeji yake Ramaphosa..........Shemeji utaninyima Tender?
Motsepe amekuwa tycoon mwenye connections nyingi kabla Ramaphosa hajarejea kwenye siasa.
 
Alivyojiuzuru alisema sababu ni ufisadi?
Sasa wewe uliona anapinga kuwa nasingiziwa sio fisadi? Lostam alitajwa na Mengi akukana katajwa na Slaa kwenye list ya mafisadi Papa nchini tena adharani wala hakukana, akina Nape na Kinana waliiwahi kumtaja, mpaka akatema ubunge na nyadhifa zote ndani ya CCM,wala hakukana,sasa unataka ushaidi hupi zaidi ya huo,?
 
Sasa wewe uliona anapinga kuwa nasingiziwa sio fisadi? Lostam alitajwa na Mengi akukana katajwa na Slaa kwenye list ya mafisadi Papa nchini tena adharani wala hakukana, akina Nape na Kinana waliiwahi kumtaja, mpaka akatema ubunge na nyadhifa zote ndani ya CCM,wala hakukana,sasa unataka ushaidi hupi zaidi ya huo,?
Kutajwa ndo uthibitisho?

Kwani ni lazima kujibu? We unaweza kujibu upuuzi unaoletwa kwako kwa chuki na husda tu?
 
Back
Top Bottom