Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
- Thread starter
-
- #121
Mambo ya mishahara ni mahusiano ya mfanyakazi na boss wake! Hata wafanyakazi wa Serikali wanalalamika mishahara midogo Ila hawaachi Kazi na wanaendelea kufanya kaziHapo ndipo unapoonesha upopoma wako!! Yaani wewe unakubali nchi iibiwe ili mradi Watu wanafanyishwa kazi kwa mshahara kiduchu na unaridhika? Wafanyakazi wa MO Dewji kila leo wanalalamika jinsi anavyowanyonya!!! Hawa sio wawekezajikama Bakhresa ni wezi wanaficha akiba zao DUBAI!!!
Nitajibuje swali bila wewe kuweka uthibitisho?Jibu maswali usioneshe uchawa wako TU!! Hivyo viwanda aliviendeleza kama mkataba ulivyosema?
Mambo ya mishahara ni mahusiano ya mfanyakazi na boss wake! Hata wafanyakazi wa Serikali wanalalamika mishahara midogo Ila hawaachi Kazi na wanaendelea kufanya kazi
Uhibitisho gani wewe bwabwa? Viwanda vya ngozi vinafanya kazi? Jibu swali.Nitajibuje swali bila wewe kuweka uthibitisho?
Tafsiri ya unyonywaji ikoje? Anayenyonywa ameacha kazi? Mnyonyaji ameshtakiwa?Sio pale unapowanyonya wafanyakazi kwa kuwalipa mshahara usiokidhi mahitaji muhimu!! I t is illegal!
Nipe uthibitisho wa yeye kupewa na kuvihujumu ivyo viwandaUhibitisho gani wewe bwabwa? Viwanda vya ngozi vinafanya kazi? Jibu swali.
Au unabisha kuwa yeye ndio aliuziwa viwanda vya ngozi?
Nipe uthibitisho wa yeye kupewa na kuvihujumu ivyo viwanda
Umemrithi lini Sheikh Yahya?Soon tutegemee ESCROW,DOWANS na EPA ya aina nyingine. Hajawahi kuwaza biashara zilizonyooka. Ni jasusi mbobezi kwenye maswala ya uchumi
Matusi ya nini ndugu? Kwani kuleta uthibitisho ni kunyanyua vyuma siku hizi? Mbona ugomvi tena?Wewe bwabwa kama hujui kaa kimya; usipoteze wakati wa Watu kujibu mambo usiyoyajuwa.
Shida sio wewe! Shida ni upeo wako mdogoMleta mada kwa jinsi alivyo tabularasa kwa kudhani anamtetea mhusika kumbe ndio anamharibia kabisa.
Haya ndio matatizo ya kurukia rukia mambo.
Don't ask stupid questions. Nani alikuletea uthibitisho kuwa Bakhresa alinunua National Milling?Matusi ya nini ndugu? Kwani kuleta uthibitisho ni kunyanyua vyuma siku hizi? Mbona ugomvi tena?
Kwani nimesema kama jambo linalosemwa tu au allegations zangu dhidi ya bakhresa?Don't ask stupid questions. Nani alikuletea uthibitisho kuwa Bakhresa alinunua National Milling?
Kwani utajiri amepata wakati wa raisi wa Sasa?Hivi unajua huyu jamaa Motsepe ni shemeji yake Ramaphosa..........Shemeji utaninyima Tender?
Hivi sasa baadhi wanaanza kugeuka 'Panya road' , kama kundi litakuwa kubwa inabidi hatua za tahadhari zichukuliwe.Kwa mara ya kwanza umesema ukweli.
Magufuli alisema kwamba yeye ni Rais wa Maskini. Ili aendelee kuwa Rais na kuungwa mkono na watu wengi, alijitahidi sana kitengeneza maskini wengi kadiri alivyoweza.
Kuna jambo moja kubwa alikuwa halisemi. Yeye alikuwa ni Rais wa maskini wa kichwani, na alifanikiwa kwa kiasi fulani, ndiyo maana, pamoja na Magufuli kufanya uovu mwingi, bado mpaka sasa watu aliowatengeneza kwenye kundi lile la maskini wa akili, wanaendelea kumsifia.
Tuambie kwa ushahidi Nani?Once Bitten, Twice Shy...., watu wana-memory fupi sana...
Anyway hivi nani alituletea Dowans ?
Rostam Aziz hajawahi iacha serikali salama!Intelejensia ya Dunia katika karne ya 21 imebadilika sana! Nchi nyingi duniani sasa zinafanya kazi kutengeneza nguvu na ushawishi kwenye uchumi!
Kupata nguvu na ushawishi kwenye Uchumi kunahusisha kutengeneza matajiri wakubwa wenye pesa wanaoweza kuwekeza, kushawishi uwekezaji, kuongeza ajira na mapato ya nchi kupitia ushawishi kwenye uwekezaji
Ukienda Misri kuna Nasser Sawaris anaemiliki viwanda vingi vya cement na shareholder wa kampuni kubwa zaidi ya vifaa vya michezo ulaya Adidas
Ukienda Afrika kusini Kuna Patrice Motsepe
anaemiliki shares nyingi kwenye makampuni mbalimbali ya madini
Ukienda Nigeria kuna Aliko Dangote mwekezaji mkubwa kwenye uzalishaji wa cement , Sukari na mafuta na sasa anatengeneza refinery ya kwanza ya mafuta katika Bara la Africa
Tanzania tunae Rostam Aziz mmiliki wa kampuni ya Caspian, Taifa Gas, Tigo na Zantel! Huyu kuaminika kwake kunafanya kuwa mtu ambae Tanzania tunamtegemea sana kwenye kishawishi uwekezaji mkubwa unaotengeneza fursa za ajira na kukuza mapato na Uchumi wa nchi yetu
Urusi wanao wengi akiwemo Roman Abramovich aliyekuwa mmiliki wa club ya Chelsea
Marekani ndo usiseme wanao wengi na wanazidi kuzalisha wengi kila siku kama Jeff bezoz, Bill Gates, Warren Buffet, Elon Musk na wengineo wengi
Mfano wa kazi nzuri za Rostam Aziz kwa Tanzania ni huu! Katika ziara aliyoambatana na Rais Samia Marekani, ameweza kushawishi uwekezaji mkubwa katika kilimo hapa Tanzania kupitia Benki ya maendeleo Afrika.
Hongera Rais Samia, naiona akili kubwa sana kwako inayoenda kuiba dili haraka sana Tanzania kiuchumi
View attachment 2207616