Mliokuwa mnauliza kazi ya Rostam Aziz kwenye ziara ya Rais Samia ya Marekani, hili ndio jibu lenu!

Mliokuwa mnauliza kazi ya Rostam Aziz kwenye ziara ya Rais Samia ya Marekani, hili ndio jibu lenu!

..hii hoja ni muhimu.

..tatizo ni baadhi ya wachangiaji kutoa madai na hoja za ki-propaganda.
Huko duniani marais wanapotembelea nchi nyingine huambatana na kundi la wafanyabiashara, labda na sisi tumeiga huo utamaduni.
 
Huko duniani marais wanapotembelea nchi nyingine huambatana na kundi la wafanyabiashara, labda na sisi tumeiga huo utamaduni.

..nakumbuka Obama alikuja Tz na wafanyabiashara.

..jambo la msingi ni kuhakikisha maslahi ya nchi yanazingatiwa.

..viongozi / wanasiasa wanapochangamana na wafanyabiashara ni lazima kuhakikisha sheria zinafuatwa, na maadili ya uongozi yanazingatiwa.
 
Pengine ulikuwa hujazaliwa lakini nyie msio kuwa na akili mnadhani anawasaidia kumbe he is capitalizing on your dumbness.
Rostam is a crook. Nendeni U-Tube mkamsikilize marehemu Mengi alivyowaumbua Hawa wezi.
Halafu mnaIona connection ya Rostam, waziri wa kilimo Bashe na hizo fedha Hangaya alizomdhamini Rostam zinazokwenda kilimo kusimamiwa na mtoto wa Rostam ; Hussein Bashe?
AMKENI SIO SHWARI TENA.
Sio vizuri kumsema marehemu asiyeweza kujitetea lakini Mengi alikuwa na matatizo. Akiitumia ITV kujitangaza kibiashara na akitumia uzawa kutaka apewe uendeshaji wa miradi mikubwa. Hakuwa perfect hayati Mengi.
 
Sio vizuri kumsema marehemu asiyeweza kujitetea lakini Mengi alikuwa na matatizo. Akiitumia ITV kujitangaza kibiashara na akitumia uzawa kutaka apewe uendeshaji wa miradi mikubwa. Hakuwa perfect hayati Mengi.

..marehemu waliokuwa makatili wasemwe tu.

..Na wahanga wa ukatili huo wafarijiwe.
 
O
JPM alijikita kutengeneza masikini wengi ili baadae wampe kura
Only zero brain can think and write that way.
Angalizo:
Weka timeline ya wewe kuwa tajiri kupitia Samia. Kama haiwezekani Basi uko kwenye ulimwengu wa Zero's and brain zero.
 
Uko sahihi kuna watu wenye ushawishi kwenye business community ndani nje

Rostam ndie mfanyabiara mkubwa mwenye ushawishi business community ya nje ya nchi ka Dangote alivyo Nigeria au Bill Gates kwenye nchi zao.

Kuna watu wana uwezo huo mfano Raisi Sam Nujoma aliwahi kuja Tanzania akataka kukutana na Mzee Bakheresa akawekeze Kwake Namibia atengeneze ajira nk Serikali wakataka akutane Nate ikulu akagoma akasema hilo swala zito sababu yeye mhitaji kumheshimu ataonana Naye nyumbani na alifanikuwa

Kodi kitu kikubwa kuna business man material kwenye jamii anayeheshimika kimataifa hata wahindi mfano wanayo Mukeshi Ambani .Huyo hata atue marekani Biden aweza Omba kuonana Nate.Kuna business men wako beyond borders kwa Tanzania wachache wa kwanza Rostam Azizi
 
Uko sahihi kuna watu wenye ushawishi kwenye business community ndani nje

Rostam ndie mfanyabiara mkubwa mwenye ushawishi business community ya nje ya nchi ka Dangote alivyo Nigeria au Bill Gates kwenye nchi zao.

Kuna watu wana uwezo huo mfano Raisi Sam Nujoma aliwahi kuja Tanzania akataka kukutana na Mzee Bakheresa akawekeze Kwake Namibia atengeneze ajira nk Serikali wakataka akutane Nate ikulu akagoma akasema hilo swala zito sababu yeye mhitaji kumheshimu ataonana Naye nyumbani na alifanikuwa

Kodi kitu kikubwa kuna business man material kwenye jamii anayeheshimika kimataifa hata wahindi mfano wanayo Mukeshi Ambani .Huyo hata atue marekani Biden aweza Omba kuonana Nate.Kuna business men wako beyond borders kwa Tanzania wachache wa kwanza Rostam Azizi
Asante
 
Uko sahihi kuna watu wenye ushawishi kwenye business community ndani nje

Rostam ndie mfanyabiara mkubwa mwenye ushawishi business community ya nje ya nchi ka Dangote alivyo Nigeria au Bill Gates kwenye nchi zao.

Kuna watu wana uwezo huo mfano Raisi Sam Nujoma aliwahi kuja Tanzania akataka kukutana na Mzee Bakheresa akawekeze Kwake Namibia atengeneze ajira nk Serikali wakataka akutane Nate ikulu akagoma akasema hilo swala zito sababu yeye mhitaji kumheshimu ataonana Naye nyumbani na alifanikuwa

Kodi kitu kikubwa kuna business man material kwenye jamii anayeheshimika kimataifa hata wahindi mfano wanayo Mukeshi Ambani .Huyo hata atue marekani Biden aweza Omba kuonana Nate.Kuna business men wako beyond borders kwa Tanzania wachache wa kwanza Rostam Azizi
Hili wala hakuna ubishi kama protocol za nchi zinafuatwa. Tatizo ni udalali unaojitokeza hata kupelekea hao kutengeneza syndicates za kuibia raia badala ya kunufaisha nchi na watu wake
 
Intelejensia ya Dunia katika karne ya 21 imebadilika sana! Nchi nyingi duniani sasa zinafanya kazi kutengeneza nguvu na ushawishi kwenye uchumi!

Kupata nguvu na ushawishi kwenye Uchumi kunahusisha kutengeneza matajiri wakubwa wenye pesa wanaoweza kuwekeza, kushawishi uwekezaji, kuongeza ajira na mapato ya nchi kupitia ushawishi kwenye uwekezaji

Ukienda Misri kuna Nasser Sawaris anaemiliki viwanda vingi vya cement na shareholder wa kampuni kubwa zaidi ya vifaa vya michezo ulaya Adidas

Ukienda Afrika kusini Kuna Patrice Motsepe
anaemiliki shares nyingi kwenye makampuni mbalimbali ya madini

Ukienda Nigeria kuna Aliko Dangote mwekezaji mkubwa kwenye uzalishaji wa cement , Sukari na mafuta na sasa anatengeneza refinery ya kwanza ya mafuta katika Bara la Africa

Tanzania tunae Rostam Aziz mmiliki wa kampuni ya Caspian, Taifa Gas, Tigo na Zantel! Huyu kuaminika kwake kunafanya kuwa mtu ambae Tanzania tunamtegemea sana kwenye kishawishi uwekezaji mkubwa unaotengeneza fursa za ajira na kukuza mapato na Uchumi wa nchi yetu

Urusi wanao wengi akiwemo Roman Abramovich aliyekuwa mmiliki wa club ya Chelsea

Marekani ndo usiseme wanao wengi na wanazidi kuzalisha wengi kila siku kama Jeff bezoz, Bill Gates, Warren Buffet, Elon Musk na wengineo wengi

Mfano wa kazi nzuri za Rostam Aziz kwa Tanzania ni huu! Katika ziara aliyoambatana na Rais Samia Marekani, ameweza kushawishi uwekezaji mkubwa katika kilimo hapa Tanzania kupitia Benki ya maendeleo Afrika.

Hongera Rais Samia, naiona akili kubwa sana kwako inayoenda kuibadili haraka sana Tanzania kiuchumi


View attachment 2207616
Hujaeleza kitu wacha uhuni. Watz wanataka kujua rostam aziz kasaini nini mbele ya rais sio kuwaletea hadithi ya matajiri wa nchi zingine. Tunataka kujua kasaini nini. Hili tunataka tuelezwe.
Sio wanapanga mirichmond mingine.
 
Shida yako una akili ya kimaskini na kichawi! Muombe Mungu akuondolee hivyo vitu
Heri kuwa Maskini kuliko kutetea Wapijaji. Historia yao inajulikana dhahiri. Endelea na Uchawa na Ukunguni wake. That is the best possible you can do.
 
Tanesco tunaambiwa inatakiwa kuilipa Symbion TZS. 350bn. Najua kuna mkono wa Wafanyabiashara kwenye hiyo Kampuni kama Shareholders then tunakenua meno kutetea Wapigaji...
 
Tanesco tunaambiwa inatakiwa kuilipa Symbion TZS. 350bn. Najua kuna mkono wa Wafanyabiashara kwenye hiyo Kampuni kama Shareholders then tunakenua meno kutetea Wapigaji...
Unahangauka wakati hata Kodi hulipi na huna Cha kulipa baada ya jpm kukufanya machinga licha ya masters yako
 
Back
Top Bottom