Mliompiga risasi Lissu tambueni kuwa jinai haina mwisho. Kosa lenu lipo palepale

Mliompiga risasi Lissu tambueni kuwa jinai haina mwisho. Kosa lenu lipo palepale

Chagu wa Malunde

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
8,734
Reaction score
5,750
Kila mwenye akili timamu anajua kuwa mnajidanganya kuwa kuwa makosa yenu ya kumpiga risasi bila hatia Lissu,watu watayasahau ukweli ni kuwa hayatasahaulika.

Huu utawala unaowalinda utapita na kosa la jinai halina mwisho. Hivyo huko mlipo mjitafakari,je huu utawala ukiondoka na akaja mtawala anayependa haki mtapona? Je mtajisikia vipi mkitiwa nguvuni?

Wapeni taarifa viongozi wenu wote wanaolinda wauaji kisa tu kuna wakubwa wanawalinda. jinai haina mwisho
 
Yule Dada yetu Akwilina Akwilini mpake leo imebaki kuwa history tu

Isieleweke yaliishia wapi😥
 
Dogo umekosa chakuandika yaani huyu jamaa alieko ulaya ndo ashinde vichwani mwa watu kama alipigwa risasi na amepona inatosha kumshukuru Mungu maswala ya haki yeye anajua sheria zaidi yako mwachie mwenyewe
 
Kwani kati ya wapiga risasi na watawala nani anamlinda mwingine.
 
Fikra zenu watu wengine mnazijuaga wenyewe! Wewe ulishawahi kuona wapi jambazi anatishika kwa message ya kwenye social media?

Ni juhudi ambazo hazina hata ile harufu tu ya tija!
 
Instagram media - Bt2Krycj3b7.jpg
SURATI ZUBAA  Ndio surati zubaa, pengine tumesomewa, Sivyo tusingebung'aa, wakat ( 640 X 640 ).jpg
 
Back
Top Bottom