Pulchra Animo
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 3,718
- 3,465
Vilevile kwanini jeshi la POLISI halifanyi uchunguzi?
TL alipokuwa nchini alifika mpaka kwa RPC wa Dodoma kudai gari lake.
Kama victim yuko, na anazungumza, sielewi kwanini Polisi wameshindwa kumhoji.
Hakuna police force inayotumia gharama kubwa kuchunguza crime ambayo victim na eyewitnesses wake wako hai, lakini wamekimbia nchi. Kwa maneno mengine, ukitelekeza kesi yako yoyote (hata ya wizi) ndiyo basi tena!