Mliooa wanawake wenye changamoto hii mnafanyaje?

Mliooa wanawake wenye changamoto hii mnafanyaje?

Joined
Apr 27, 2023
Posts
49
Reaction score
130
Wakuu hivi karibun Nimeanza maisha ya ndoa. Mwanamke wangu ni aina ya wale wanawake ambao akifika kileleni basi kitanda chote kinakuwa tepetepe(kinalowa).

Tumekuwa tukitumia mashuka mengi kutandika kitandani kwa ajili ya kulinda godoro lakini naona kunakuwa na usumbufu mwingi wa kufua mashuka kila siku ukizingatia tupo nyumba ya kupanga.

Nimeanza kuwaza je itakuwaje tukipata watoto, kadri watavyokuwa wakubwa si wanaweza kujua hali hiyo?

Imefikia hatua naogopa hata kuishi na ndugu/binti wa kazi hapa kwangu kwa mazingira haya ya sasa kwa sababu anaweza kujua hii hali kutokana na ufuaji huu wa kila siku wa lundo la shuka kila wakati.

Ninajua humu kuna wajuvi wa mambo mengi, hebu naombeni Kwa wale wenye uzoefu na hili wanisaidie ni njia zipi wanazotumia kukabiliana na changamoto hii
 
Wakuu hivi karibun Nimeanza maisha ya ndoa. Mwanamke wangu ni aina ya wale wanawake ambao akifika kileleni basi kitanda chote kinakuwa tepetepe(kinalowa).

Tumekuwa tukitumia mashuka mengi kutandika kitandani kwa ajili ya kulinda godoro lakini naona kunakuwa na usumbufu mwingi wa kufua mashuka kila siku ukizingatia tupo nyumba ya kupanga.

Nimeanza kuwaza je itakuwaje tukipata watoto, kadri watavyokuwa wakubwa si wanaweza kujua hali hiyo?

Imefikia hatua naogopa hata kuishi na ndugu/binti wa kazi hapa kwangu kwa mazingira haya ya sasa kwa sababu anaweza kujua hii hali kutokana na ufuaji huu wa kila siku wa lundo la shuka kila wakati.

Ninajua humu kuna wajuvi wa mambo mengi, hebu naombeni Kwa wale wenye uzoefu na hili wanisaidie ni njia zipi

weka cover ya plastic. Kuna K za namna hiyo.
 
Wakuu hivi karibun Nimeanza maisha ya ndoa. Mwanamke wangu ni aina ya wale wanawake ambao akifika kileleni basi kitanda chote kinakuwa tepetepe(kinalowa).

Tumekuwa tukitumia mashuka mengi kutandika kitandani kwa ajili ya kulinda godoro lakini naona kunakuwa na usumbufu mwingi wa kufua mashuka kila siku ukizingatia tupo nyumba ya kupanga.

Nimeanza kuwaza je itakuwaje tukipata watoto, kadri watavyokuwa wakubwa si wanaweza kujua hali hiyo?

Imefikia hatua naogopa hata kuishi na ndugu/binti wa kazi hapa kwangu kwa mazingira haya ya sasa kwa sababu anaweza kujua hii hali kutokana na ufuaji huu wa kila siku wa lundo la shuka kila wakati.

Ninajua humu kuna wajuvi wa mambo mengi, hebu naombeni Kwa wale wenye uzoefu na hili wanisaidie ni njia zipi wanazotumia kukabiliana na changamoto hii
Umeoa mwanakaterero, mwanasquit mwanasquitaz ,

Unatakiwa Godoro lifungwe cover ya karatasi au zile plastic za wajawaziko kujifungulia hospital, ongea na watu wa Maduka ya dawa au manesi ununue hizo za kujifungulia wajawaziko kazi imeisha endelea kula Raha na mkeo
 
images
 
Wakuu hivi karibun Nimeanza maisha ya ndoa. Mwanamke wangu ni aina ya wale wanawake ambao akifika kileleni basi kitanda chote kinakuwa tepetepe(kinalowa).

Tumekuwa tukitumia mashuka mengi kutandika kitandani kwa ajili ya kulinda godoro lakini naona kunakuwa na usumbufu mwingi wa kufua mashuka kila siku ukizingatia tupo nyumba ya kupanga.

Nimeanza kuwaza je itakuwaje tukipata watoto, kadri watavyokuwa wakubwa si wanaweza kujua hali hiyo?

Imefikia hatua naogopa hata kuishi na ndugu/binti wa kazi hapa kwangu kwa mazingira haya ya sasa kwa sababu anaweza kujua hii hali kutokana na ufuaji huu wa kila siku wa lundo la shuka kila wakati.

Ninajua humu kuna wajuvi wa mambo mengi, hebu naombeni Kwa wale wenye uzoefu na hili wanisaidie ni njia zipi wanazotumia kukabiliana na changamoto hii
Mm nivyo yapenda hayo maji kweri kwenye miti hakuna 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Umeoa mwanakaterero, mwanasquit mwanasquitaz ,

Unatakiwa Godoro lifungwe cover ya karatasi au zile plastic za wajawaziko kujifungulia hospital, ongea na watu wa Maduka ya dawa au manesi ununue hizo za kujifungulia wajawaziko kazi imeisha endelea kula Raha na mkeo
kuna zile mackintosh covers kwa ajili ya vikojozi

zenyewe sio plastic kwahiyo hazitoi sauti
 
Jambo Dogo Hilo Huhitaji Kuhaha Sana
Inabidi Upate Godoro Halafu Nunua Nylon Kama Ile Unayoikuta Kwenye Vitanda Vya Hospital, Unaitandika Hapo Halafu Muda Wa Zoezi Mnakuwa Na Kitambaa Safi



Usije Kuona Kama Ni Ajabu
Ukifika Bunazi, Kemondo Bay, Rwamishenyi, Nkwenda, Kyerwa, Omurushaka, Kayanga, Ngara
Huwezi Shangaa Utaona Kawaida Sana
 
Back
Top Bottom