Mliooa wanawake wenye changamoto hii mnafanyaje?

Mliooa wanawake wenye changamoto hii mnafanyaje?

Jambo Dogo Hilo Huhitaji Kuhaha Sana
Inabidi Upate Godoro Halafu Nunua Nylon Kama Ile Unayoikuta Kwenye Vitanda Vya Hospital, Unaitandika Hapo Halafu Muda Wa Zoezi Mnakuwa Na Kitambaa Safi



Usije Kuona Kama Ni Ajabu
Ukifika Bunazi, Kemondo Bay, Rwamishenyi, Nkwenda, Kyerwa, Omurushaka, Kayanga, Ngara
Huwezi Shangaa Utaona Kawaida Sana
Hata bukoba karagwe pia
 
Tukirusha maji shida tusiporusha shida pia🤔
hq720.jpg
 
Umeoa mwanakaterero, mwanasquit mwanasquitaz ,

Unatakiwa Godoro lifungwe cover ya karatasi au zile plastic za wajawaziko kujifungulia hospital, ongea na watu wa Maduka ya dawa au manesi ununue hizo za kujifungulia wajawaziko kazi imeisha endelea kula Raha na mkeo
Sasa mkuu je watoto wakikua si watajua Hali hii? Na je binti wa kazi nae? Maana Naona ni Hali inayomfadhaisha mke wangu
 
Katerero effect, demu wa hivo napigia bafuni na katerero inaishia bafuni huko
 
Sasa mkuu je watoto wakikua si watajua Hali hii? Na je binti wa kazi nae? Maana Naona ni Hali inayomfadhaisha mke wangu
Nenda ulikooa kawaulize watakupa majibu kaongee na mashemeji na wazee wa Kijiji ulichooa watakupa majibu, huwezi piga chini hio River Kagera a.k.a Rwamishemi tributary
 
Umenikumbusha mhangaza wangu..alikuwa anarusha maji mpka yanachuruzika mlangoni...kuna cku nipo nae Lodge mwanza mhudumu anagonga mlangoni anajua maji yanamwagika toka chooni..she was a bad news when it comes to squatting..
 
Huyo kikojozi wako mtandikie lailoni kama yale ya wazazi hospitalini akikojoa kojo lake halitaingia godoroni
 
Wakuu hivi karibun Nimeanza maisha ya ndoa. Mwanamke wangu ni aina ya wale wanawake ambao akifika kileleni basi kitanda chote kinakuwa tepetepe(kinalowa).

Tumekuwa tukitumia mashuka mengi kutandika kitandani kwa ajili ya kulinda godoro lakini naona kunakuwa na usumbufu mwingi wa kufua mashuka kila siku ukizingatia tupo nyumba ya kupanga.

Nimeanza kuwaza je itakuwaje tukipata watoto, kadri watavyokuwa wakubwa si wanaweza kujua hali hiyo?

Imefikia hatua naogopa hata kuishi na ndugu/binti wa kazi hapa kwangu kwa mazingira haya ya sasa kwa sababu anaweza kujua hii hali kutokana na ufuaji huu wa kila siku wa lundo la shuka kila wakati.

Ninajua humu kuna wajuvi wa mambo mengi, hebu naombeni Kwa wale wenye uzoefu na hili wanisaidie ni njia zipi wanazotumia kukabiliana na changamoto hii
Ndiyo maana inakatazwa kabisa kumlala mchumba kabla ya ndoa, sababu moja wapo ni hii, kuanza unyanyapaa usiokuwa na mbele wala nyuma!

Wewe umeona kuwa hilo ni tatizo mpaka uulize kadamnasi?

Haya, nenda kwenye maduka ya vifaa vya ujenzi kanunue plastik laini zinazotumiwa kutengenezea makochi zinaitwa carpet la kutosha kushona cover ya kuenea godoro ili unapomkojoza mkeo, naniliu zisiathiri godoro lako hilo la bei.

Wasema kufua mashuka, kwani mkuu una pair ngapi za shuka na mfuaji ni nani, pia unamhofia nani huyo wa kushushua maisha yenu?

Unanipa maswali mengi sana yanayoonesha udhaifu halisi wa mwanaume pre mature!

Mpende mkeo hata kama angelikuwa kikojozi wa kitandani, dawa ni usafi pamoja na kubadilisha mashuka.
 
Back
Top Bottom