Mliooa wanawake wenye changamoto hii mnafanyaje?

Mliooa wanawake wenye changamoto hii mnafanyaje?

Dah wanawake wa hivyo nawakubali mno ila pia juhudi zangu zizingatiwe bila kuomba pesa.
 
wazazi wa huyo mkeo walifanya kosa kubwa sana kumuozesha binti yao kwa kijana ambaye ubwabwa wa shingo haujamtoka.
 
Screenshot_20250204-213454.png
 
Ndiyo maana inakatazwa kabisa kumlala mchumba kabla ya ndoa, sababu moja wapo ni hii, kuanza unyanyapaa usiokuwa na mbele wala nyuma!

Wewe umeona kuwa hilo ni tatizo mpaka uulize kadamnasi?

Haya, nenda kwenye maduka ya vifaa vya ujenzi kanunue plastik laini zinazotumiwa kutengenezea makochi zinaitwa carpet la kutosha kushona cover ya kuenea godoro ili unapomkojoza mkeo, naniliu zisiathiri godoro lako hilo la bei.

Wasema kufua mashuka, kwani mkuu una pair ngapi za shuka na mfuaji ni nani, pia unamhofia nani huyo wa kushushua maisha yenu?

Unanipa maswali mengi sana yanayoonesha udhaifu halisi wa mwanaume pre mature!

Mpende mkeo hata kama angelikuwa kikojozi wa kitandani, dawa ni usafi pamoja na kubadilisha mashuka.
Umemsaidia ushauri mzuri na kumpaka pilipili juu Wacha weeee 🤣
 
Wakuu hivi karibun Nimeanza maisha ya ndoa. Mwanamke wangu ni aina ya wale wanawake ambao akifika kileleni basi kitanda chote kinakuwa tepetepe(kinalowa).

Tumekuwa tukitumia mashuka mengi kutandika kitandani kwa ajili ya kulinda godoro lakini naona kunakuwa na usumbufu mwingi wa kufua mashuka kila siku ukizingatia tupo nyumba ya kupanga.

Nimeanza kuwaza je itakuwaje tukipata watoto, kadri watavyokuwa wakubwa si wanaweza kujua hali hiyo?

Imefikia hatua naogopa hata kuishi na ndugu/binti wa kazi hapa kwangu kwa mazingira haya ya sasa kwa sababu anaweza kujua hii hali kutokana na ufuaji huu wa kila siku wa lundo la shuka kila wakati.

Ninajua humu kuna wajuvi wa mambo mengi, hebu naombeni Kwa wale wenye uzoefu na hili wanisaidie ni njia zipi wanazotumia kukabiliana na changamoto hii
Hup sio mkojo wa kawaida inaitwa squats kama sijakosea herufi, ni namna ya orgasim kwa wanawake wapo wachache wa namna hy ingawa idadi kwa ss ni kama inaongezeka.

Maji yatokayo huko hayana harufu wala radha yyt na ni masafi kbs (sijasema kwa kunywa)

Suruhu check maduka ya madawa na vifaa tiba wanauza cover za godoro kwa ajili ya kustiri hiyo hali
 
Ktk hustle zangu nilkutan na wahovyo m1 hivi niwazuri mno unaenjoy ila ubay ndo hua nililala kiubavu usiku kucha
 
Ndiyo maana inakatazwa kabisa kumlala mchumba kabla ya ndoa, sababu moja wapo ni hii, kuanza unyanyapaa usiokuwa na mbele wala nyuma!

Wewe umeona kuwa hilo ni tatizo mpaka uulize kadamnasi?

Haya, nenda kwenye maduka ya vifaa vya ujenzi kanunue plastik laini zinazotumiwa kutengenezea makochi zinaitwa carpet la kutosha kushona cover ya kuenea godoro ili unapomkojoza mkeo, naniliu zisiathiri godoro lako hilo la bei.

Wasema kufua mashuka, kwani mkuu una pair ngapi za shuka na mfuaji ni nani, pia unamhofia nani huyo wa kushushua maisha yenu?

Unanipa maswali mengi sana yanayoonesha udhaifu halisi wa mwanaume pre mature!

Mpende mkeo hata kama angelikuwa kikojozi wa kitandani, dawa ni usafi pamoja na kubadilisha mashuka.
Mkuu sikuja kumsema mke wangu hapa kwenye kadamnasi Bali nimeleta changamoto yangu Kwa kutumia fake ID niweze kusaidika. Kwanza ninampenda Sana na nimeipokea hii changamoto na ndio maana nimeanzisha Uzi niweze kumsaidia.
Shuka ziko pair nyingi Ila shida ni kwamba huwezi tunza shuka zilizolowana kwa muda wa siku nyingi,inakubidi tu ufue kila baada ya muda mfupi.

Pia Asante kwa ushauri nitauzingatia
 
Huwa nashangaa sana upele unapo mpata mtu mwenye hana kucha...😋
Na hizi ndio nyuzi za maana sasa, tunajenga taifa bora kabisa kwa vijana wanao jitambua kamawewe...🤣
 
Jambo dogo kama hili umeshindwa kusolve, kataa ndoa epuka kuloanisha kitanda na kufua lundo la mashuka
#kidumu chama cha majobless pro max
 
Nikipata wa hivi nitaenjoy sana
Wakuu hivi karibun Nimeanza maisha ya ndoa. Mwanamke wangu ni aina ya wale wanawake ambao akifika kileleni basi kitanda chote kinakuwa tepetepe(kinalowa).

Tumekuwa tukitumia mashuka mengi kutandika kitandani kwa ajili ya kulinda godoro lakini naona kunakuwa na usumbufu mwingi wa kufua mashuka kila siku ukizingatia tupo nyumba ya kupanga.

Nimeanza kuwaza je itakuwaje tukipata watoto, kadri watavyokuwa wakubwa si wanaweza kujua hali hiyo?

Imefikia hatua naogopa hata kuishi na ndugu/binti wa kazi hapa kwangu kwa mazingira haya ya sasa kwa sababu anaweza kujua hii hali kutokana na ufuaji huu wa kila siku wa lundo la shuka kila wakati.

Ninajua humu kuna wajuvi wa mambo mengi, hebu naombeni Kwa wale wenye uzoefu na hili wanisaidie ni njia zipi wanazotumia kukabiliana na changamoto hi
 
Mkuu sikuja kumsema mke wangu hapa kwenye kadamnasi Bali nimeleta changamoto yangu Kwa kutumia fake ID niweze kusaidika. Kwanza ninampenda Sana na nimeipokea hii changamoto na ndio maana nimeanzisha Uzi niweze kumsaidia.
Shuka ziko pair nyingi Ila shida ni kwamba huwezi tunza shuka zilizolowana kwa muda wa siku nyingi,inakubidi tu ufue kila baada ya muda mfupi.

Pia Asante kwa ushauri nitauzingatia
Kwanza ondoa hilo neno changamoto wala sio changamoto fuata maelekezo ya wadau hapo juu lakini ninge kua mm ni furaha tu hata shuka zikiloa fresh tu.
 
Back
Top Bottom