Mliooa wanawake wenye changamoto hii mnafanyaje?

Hata bukoba karagwe pia
 
Sasa mkuu je watoto wakikua si watajua Hali hii? Na je binti wa kazi nae? Maana Naona ni Hali inayomfadhaisha mke wangu
 
Katerero effect, demu wa hivo napigia bafuni na katerero inaishia bafuni huko
 
Sasa mkuu je watoto wakikua si watajua Hali hii? Na je binti wa kazi nae? Maana Naona ni Hali inayomfadhaisha mke wangu
Nenda ulikooa kawaulize watakupa majibu kaongee na mashemeji na wazee wa Kijiji ulichooa watakupa majibu, huwezi piga chini hio River Kagera a.k.a Rwamishemi tributary
 
Hata bukoba karagwe pia
Unaanzia Muleba, Bihalamuro, Bukoba, Misenyi, Karagwe, Kyerwa,,Ngara
Kote Nimefika UtaelewA Unapolala Lodge Huhitaji Maswali
 
Umenikumbusha mhangaza wangu..alikuwa anarusha maji mpka yanachuruzika mlangoni...kuna cku nipo nae Lodge mwanza mhudumu anagonga mlangoni anajua maji yanamwagika toka chooni..she was a bad news when it comes to squatting..
 
Huyo kikojozi wako mtandikie lailoni kama yale ya wazazi hospitalini akikojoa kojo lake halitaingia godoroni
 
Ndiyo maana inakatazwa kabisa kumlala mchumba kabla ya ndoa, sababu moja wapo ni hii, kuanza unyanyapaa usiokuwa na mbele wala nyuma!

Wewe umeona kuwa hilo ni tatizo mpaka uulize kadamnasi?

Haya, nenda kwenye maduka ya vifaa vya ujenzi kanunue plastik laini zinazotumiwa kutengenezea makochi zinaitwa carpet la kutosha kushona cover ya kuenea godoro ili unapomkojoza mkeo, naniliu zisiathiri godoro lako hilo la bei.

Wasema kufua mashuka, kwani mkuu una pair ngapi za shuka na mfuaji ni nani, pia unamhofia nani huyo wa kushushua maisha yenu?

Unanipa maswali mengi sana yanayoonesha udhaifu halisi wa mwanaume pre mature!

Mpende mkeo hata kama angelikuwa kikojozi wa kitandani, dawa ni usafi pamoja na kubadilisha mashuka.
 
Inaelekea mkeo ana mashine kubwa imejaa maji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…