kiungo pundamilia
Member
- Apr 27, 2023
- 49
- 130
- Thread starter
-
- #41
Mke wangu ni Mdigo kutoka TangaHyo ni kutoka kanda ya ziwa Karibu na kwa kagame
Dawasa is real
Enjoy katerero
Hiyo mifuko lazima kabla ya kupewa nijue imetoka wapi na Kwa gharama za nani?kumbe wewe ni mwanachama wa ma jobless pro max, basi Nita kupa hiyo mifuko bure 😂
Umemsaidia ushauri mzuri na kumpaka pilipili juu Wacha weeee 🤣Ndiyo maana inakatazwa kabisa kumlala mchumba kabla ya ndoa, sababu moja wapo ni hii, kuanza unyanyapaa usiokuwa na mbele wala nyuma!
Wewe umeona kuwa hilo ni tatizo mpaka uulize kadamnasi?
Haya, nenda kwenye maduka ya vifaa vya ujenzi kanunue plastik laini zinazotumiwa kutengenezea makochi zinaitwa carpet la kutosha kushona cover ya kuenea godoro ili unapomkojoza mkeo, naniliu zisiathiri godoro lako hilo la bei.
Wasema kufua mashuka, kwani mkuu una pair ngapi za shuka na mfuaji ni nani, pia unamhofia nani huyo wa kushushua maisha yenu?
Unanipa maswali mengi sana yanayoonesha udhaifu halisi wa mwanaume pre mature!
Mpende mkeo hata kama angelikuwa kikojozi wa kitandani, dawa ni usafi pamoja na kubadilisha mashuka.
Unayafanyiaga nini🤣🤣Mm nivyo yapenda hayo maji kweri kwenye miti hakuna 🤣🤣🤣🤣🤣
Hup sio mkojo wa kawaida inaitwa squats kama sijakosea herufi, ni namna ya orgasim kwa wanawake wapo wachache wa namna hy ingawa idadi kwa ss ni kama inaongezeka.Wakuu hivi karibun Nimeanza maisha ya ndoa. Mwanamke wangu ni aina ya wale wanawake ambao akifika kileleni basi kitanda chote kinakuwa tepetepe(kinalowa).
Tumekuwa tukitumia mashuka mengi kutandika kitandani kwa ajili ya kulinda godoro lakini naona kunakuwa na usumbufu mwingi wa kufua mashuka kila siku ukizingatia tupo nyumba ya kupanga.
Nimeanza kuwaza je itakuwaje tukipata watoto, kadri watavyokuwa wakubwa si wanaweza kujua hali hiyo?
Imefikia hatua naogopa hata kuishi na ndugu/binti wa kazi hapa kwangu kwa mazingira haya ya sasa kwa sababu anaweza kujua hii hali kutokana na ufuaji huu wa kila siku wa lundo la shuka kila wakati.
Ninajua humu kuna wajuvi wa mambo mengi, hebu naombeni Kwa wale wenye uzoefu na hili wanisaidie ni njia zipi wanazotumia kukabiliana na changamoto hii
Njoo dm nikueleze🤣🤣🤣🤣Unayafanyiaga nini🤣🤣
Tuelezee hapahapa usikute ni dawa na hatujui 🤣Njoo dm nikueleze🤣🤣🤣🤣
aisee😂😆, sawaHiyo mifuko lazima kabla ya kupewa nijue imetoka wapi na Kwa gharama za nani?
Kisha nitangaze kwa ummaa hiki chama ni chama tegemeo 🤣
Mkuu sikuja kumsema mke wangu hapa kwenye kadamnasi Bali nimeleta changamoto yangu Kwa kutumia fake ID niweze kusaidika. Kwanza ninampenda Sana na nimeipokea hii changamoto na ndio maana nimeanzisha Uzi niweze kumsaidia.Ndiyo maana inakatazwa kabisa kumlala mchumba kabla ya ndoa, sababu moja wapo ni hii, kuanza unyanyapaa usiokuwa na mbele wala nyuma!
Wewe umeona kuwa hilo ni tatizo mpaka uulize kadamnasi?
Haya, nenda kwenye maduka ya vifaa vya ujenzi kanunue plastik laini zinazotumiwa kutengenezea makochi zinaitwa carpet la kutosha kushona cover ya kuenea godoro ili unapomkojoza mkeo, naniliu zisiathiri godoro lako hilo la bei.
Wasema kufua mashuka, kwani mkuu una pair ngapi za shuka na mfuaji ni nani, pia unamhofia nani huyo wa kushushua maisha yenu?
Unanipa maswali mengi sana yanayoonesha udhaifu halisi wa mwanaume pre mature!
Mpende mkeo hata kama angelikuwa kikojozi wa kitandani, dawa ni usafi pamoja na kubadilisha mashuka.
Acha makhara bwana unafikiri kila mtu ana faktali wa familia? Wengi wao wako hidle!!Huna daktari wa familia wewe.by bill lugano toto la pedeshee elon musk
Wakuu hivi karibun Nimeanza maisha ya ndoa. Mwanamke wangu ni aina ya wale wanawake ambao akifika kileleni basi kitanda chote kinakuwa tepetepe(kinalowa).
Tumekuwa tukitumia mashuka mengi kutandika kitandani kwa ajili ya kulinda godoro lakini naona kunakuwa na usumbufu mwingi wa kufua mashuka kila siku ukizingatia tupo nyumba ya kupanga.
Nimeanza kuwaza je itakuwaje tukipata watoto, kadri watavyokuwa wakubwa si wanaweza kujua hali hiyo?
Imefikia hatua naogopa hata kuishi na ndugu/binti wa kazi hapa kwangu kwa mazingira haya ya sasa kwa sababu anaweza kujua hii hali kutokana na ufuaji huu wa kila siku wa lundo la shuka kila wakati.
Ninajua humu kuna wajuvi wa mambo mengi, hebu naombeni Kwa wale wenye uzoefu na hili wanisaidie ni njia zipi wanazotumia kukabiliana na changamoto hi
Kwanza ondoa hilo neno changamoto wala sio changamoto fuata maelekezo ya wadau hapo juu lakini ninge kua mm ni furaha tu hata shuka zikiloa fresh tu.Mkuu sikuja kumsema mke wangu hapa kwenye kadamnasi Bali nimeleta changamoto yangu Kwa kutumia fake ID niweze kusaidika. Kwanza ninampenda Sana na nimeipokea hii changamoto na ndio maana nimeanzisha Uzi niweze kumsaidia.
Shuka ziko pair nyingi Ila shida ni kwamba huwezi tunza shuka zilizolowana kwa muda wa siku nyingi,inakubidi tu ufue kila baada ya muda mfupi.
Pia Asante kwa ushauri nitauzingatia