Mlioomba Ajira Ualimu utumishi Angalieni status zenu

Kuna ndugu yangu ni She yeye phys and hesabu chuo alimaliza 2020 mkoa alioomba ni kigoma

Sasa kuna jamaa la halmashauri Lipo kigoma nikaliambia likasema kwa masomo yake jinsia yake na mkoa aliochagua aje tu kufanya usahili hata kama muajiri wake atamnyima ruhusa (yupo privet ambayo wanalipa 980K) plus many bonus
 
Wameyatimba walimu.

Kuna wengine waliomba mkoa wa Moro ila wameandikiwa Mtwara[emoji2][emoji2]

Hapa sasa wataamua wenyewe wahusika(walimu).

Hata hivyo ni bora maana mtu unajijua mapema unapambana kwenda kufanya kazi mkoa gani
 
Duh Huu n mtihani ila Mm nngebak private
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…