Hahahah mkuu ualimu unatofautiana ngazi unamuinterview certificate sure? Mshahara wa peanutKazanazo asione hii atajinyonga, na akiona kuna usaili ndio atakufa kwa presha π anaona serikali imembania kufika huko π
Jamani tukae makini na karibu na hawa watu mana wanaweza kujidhuru π
Kama mbuzi wa x massπππKwahy kama imebaki MDA'S na LGA'S ujue umechinjwa π
Watu wanawachukuliaga poa sana walimu hawajuagi tu kuwa wanalipwa vizuriKwa hiyo salary slip lazima atokee dirishani
Hata ya mshikaj wangu imechange hvohvoHapana kiongozi mm mwenyewe profile yangu imebadilika from dodoma to mtwara
Lindimkoa gani
Hapo mbele ya received hkn mikoa ?Weka picha tuone,, Mimi kwangu sijaona chochote,, bado Iko Received
Weka screenshotHapo mbele ya received hkn mikoa ?
Kwa sababu ndio njia pekee ya kupata waalimu wenye ufanisi zaidi na pia n njia ya usawa kuajiri watu.Kwanini unaunga mkono usaili kwa walimu? Lete sababu zako
Yn kisa kutofautiana mawazo na ww ndo unasema n watoto πKwenye huu uzi wamejazana watoto wa mpwayungu village kazi yao ni kupondea kada ya ualimu na hawzingatii hoja
Hoja ikiwa inahusu kada nyingine ni hoja ila ikihusu au ikitolewa na kada ya elimu ni takataka shame on you!
Hii nishakujibu nikasema:-Kwa sababu ndio njia pekee ya kupata waalimu wenye ufanisi zaidi na pia n njia ya usawa kuajiri watu.
Lete hoja usilete ligi na vicheko usilete habari za utani wa simba na yanga tunataka ujenge hoja mkuu acha ushabiki wa kadaYn kisa kutofautiana mawazo na ww ndo unasema n watoto π
Usaili n lazima utafanya tuu mzee wangu, utake au usitake
Kwani Kaka bado Tu hujapata check number?Weka picha tuone,, Mimi kwangu sijaona chochote,, bado Iko Received
Ukiona hujapangiwa mkoa ujue ndo Kwishinei πSasa wametumia vigezo gani wengine kuwapanga interview na wengine kuwaacha wakiwa wanahang?
Sidhani kama Kuna MTU profile lake aoni mkoa alioweka barua kuomba kazi.Ukiona hujapangiwa mkoa ujue ndo Kwishinei π
C umeona hapo jamaa kasema wngn hawajapangiwaSidhani kama Kuna MTU profile lake aoni mkoa alioweka barua kuomba kazi.