Ramadhani921999
Member
- Sep 15, 2015
- 56
- 37
Pole yako, mambo yameshabadilika kama hujuh, tumeambiwa na wahusika mambo ni fire
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole yako, mambo yameshabadilika kama hujuh, tumeambiwa na wahusika mambo ni fire
wewe umeambiwa, Mimi nimefanya hiyo kazi!Pole yako, mambo yameshabadilika kama hujuh, tumeambiwa na wahusika mambo ni fire
😂😂😂 Dar Pole sana, Ila pambania nafasi hio, usiiache ipotee hivi hviWadau nimepigiwa simu na mwisho 4866 ,NMB interview jumatatu, mtwara na mm nipo dar , sio mchezo
Umefanya mwaka gani??Huwa wanalipa 450k tena ni kabla ya makato ukikatwa unapata kama 355k hivi na buku ya kila acc as commission.. hiyo 600k umeiskia wapi
😂😂😂 Dar Pole sana, Ila pambania nafasi hio, usiiache ipotee hivi hvi
duuh pole na hongera, vp aptitude ulipata ngapi?Wadau nimepigiwa simu na mwisho 4866 ,NMB interview jumatatu, mtwara na mm nipo dar , sio mchezo
Ulifanya oral interview yao mwaka jana?Interview ni next week 4/04 So wakimalza hao labda watafata awamu nyingne kama mwaka jana, ila tuwe na amani hujatumiwa email ya kutokuendelea na wewe next step uhakika wa kuitwa oral upo, ni swala la muda tu.
Hapana Jamaa yangu alifanya, ila alisubiria kwa muda wa miezi 4, ndio akaitwa oralUlifanya oral interview yao mwaka jana?
Ulipambana sana MtaalamuAsante iseh, 70
kwa muandiko huu, labda upewe kazi ya kusajili line za simu za zantel ila sio kazi ya NMBUmefanya au unafanya?... Kuna wakati uliopta na wakati uliopo na ujao,.. fuatulia vzr chanzo ndio utajua kwann nakwambia Kuna mabadiliko mzeeya
Uki copy paste wanajuaHivi siku hizi na ChatGPT apptitute test zina maana kweli?