hii namba ilipga juzi, kwa mtu aliyepa 85, ila mtu wa 77.5 hajaitwa, ila sio guarantee ya kwmba imeisha mpka wakikutumia email hawawezi kuendelea na wewe ndio ujue umekosa, ila Sasa uvumilivu unahitajikaMajibu yenu hyana ushahidi mpaka Sasa accuracy yake ikoje,