Mlioomba NMB Direct Sales Officer mmefanikiwa kufanya Aptitude test?

Mlioomba NMB Direct Sales Officer mmefanikiwa kufanya Aptitude test?

Majibu yenu hyana ushahidi mpaka Sasa accuracy yake ikoje,
hii namba ilipga juzi, kwa mtu aliyepa 85, ila mtu wa 77.5 hajaitwa, ila sio guarantee ya kwmba imeisha mpka wakikutumia email hawawezi kuendelea na wewe ndio ujue umekosa, ila Sasa uvumilivu unahitajika
 

Attachments

  • Screenshot_20230330-133112~2.png
    Screenshot_20230330-133112~2.png
    5.2 KB · Views: 71
Majibu yenu hyana ushahidi mpaka Sasa accuracy yake ikoje,
Interview ni next week 4/04 So wakimalza hao labda watafata awamu nyingne kama mwaka jana, ila tuwe na amani hujatumiwa email ya kutokuendelea na wewe next step uhakika wa kuitwa oral upo, ni swala la muda tu.
 
Interview ni next week 4/04 So wakimalza hao labda watafata awamu nyingne kama mwaka jana, ila tuwe na amani hujatumiwa email ya kutokuendelea na wewe next step uhakika wa kuitwa oral upo, ni swala la muda tu.
Ok sawa ila kuna mshikaji wng kapigiwa simu na alipata 55 so tusubiri
 
Back
Top Bottom