Humphrey Richard ms
New Member
- Jan 31, 2023
- 4
- 5
Kwan hua Wana chukua muda Gani wadau mpaka hatua za kupiga hzo simu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujamb majibu ya nmb bado naona kimnya sana?Kwan hua Wana chukua muda Gani wadau mpaka hatua za kupiga hzo simu?
Kwenye group gani
Jaman kwny group la nmb nani admin kwy Hilo group na ss watuunge tupate japo feedbackkwa upande wangu sijaitwa kabisaaa
naskia wameanza uchukua kuanzia waliopata 30/100%
[emoji2960][emoji2960][emoji3][emoji16]naskia wameanza uchukua kuanzia waliopata 30/100%
Uongo bhana 😂😂 Very soon watatupa feedback ila 30 haijawahi tokeanaskia wameanza uchukua kuanzia waliopata 30/100%
Ni mwezi mmoja tangu umalize aptude, na huwa wanatuma kwa walio shindwa kuendelea, aliyepita atasubilia simu ya kuitwa tu kwa jaili ya oralKwan hua Wana chukua muda Gani wadau mpaka hatua za kupiga hzo simu?
Kuna wawili wa dar wamepigiwa simu wao mmoja alipata 50,so kwamwaka uhu atuna huwakika tusubiri
kwa muandiko huu sijui kama utaitwa mkuu, tuombe mungu tu.Kuna wawili wa dar wamepigiwa simu wao mmoja alipata 50,so kwamwaka uhu atuna huwakika tusubiri
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]kwa muandiko huu sijui kama utaitwa mkuu, tuombe mungu tu.
kwa muandiko huu sijui kama utaitwa mkuu, tuombe mungu tu.
Kweli wamepiga simu ila 50, hapana wamewapigia waliopata 80+ ila nazan wataendelea kupiga simu.Kuna wawili wa dar wamepigiwa simu wao mmoja alipata 50,so kwamwaka uhu atuna huwakika tusubiri