Mliowahi kudate na wazungu, nipeni muongozo

Haya mataifa ya ulaya kidogo wamestaarabika, ukikutana na Warusi ni sawa na waswahili wa mbagala

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shida ya wabongo wengi ubongo upande mmoja umejaa maji.

Kila mtu anawaza kukazana (Ng'ono),
umepata zari kama hili tumia hii nafasi kupata VISA na hata ikiwezekana hati ya ukazi ya nchi huyo dada anatokea

Kama anatoka umoja wa ulaya au USA anza kumchomekea na wewe uzame majuu. Connection za misafara serikali huna sasa unaenda nje lini??

Jitahidi upate VISA kipitia mgongo wa yuyo dada usepe zako majuu, huko ukiwa hata dereva wewe ni mtu mweingine

CCM hapa tanzania haina mpango wa kuachia madaraka
 
jaman T, kweli huu ni ushauri wako uliouona?
NIMEIFUTA ILE COMMENT YANGU.SIJUI NILIIANDIKA LINI NA NIKIWA NA HALI GANI?
YULE SIO MIMI TIMAMU KABISA.

DUNIA YA JF NAOMBA MNISAMEHE KWA UANDISHI ULE.
 
Haha!
Ila humu ndani ndio maana haitakiwi mfahamiane.
Nimewaza hii comment angeandika mtu nayemjua.. ningemvutia picha na kubaki kucheka sanaaa
NIMEIFUTA ILE COMMENT YANGU.SIJUI NILIIANDIKA LINI NA NIKIWA NA HALI GANI?
YULE SIO MIMI TIMAMU KABISA.

DUNIA YA JF NAOMBA MNISAMEHE KWA UANDISHI ULE.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…