Mliowahi kudate na wazungu, nipeni muongozo

Ulitisha Mkuu kumkomesha huyo PakaPori

Miaka fulani ya Ujana niliwahi onja tamu ya Kihindi, nimegundua hakuna nanii tamu kama za Kibongo hasa linapokuja kwenye Joto na ufundi πŸ™ˆπŸƒπŸƒπŸƒ
 
Haha!
Ila humu ndani ndio maana haitakiwi mfahamiane.
Nimewaza hii comment angeandika mtu nayemjua.. ningemvutia picha na kubaki kucheka sanaaa
Ukute ni mmeo. Lkn akifika home mpaka umboost. Yaani humu kila mtu yuko vzr. Uongo tupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…