Philipo D. Ruzige
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 9,428
- 27,096
- Thread starter
-
- #101
Aisee. Hili swali hapo juu jamaa mwingine pua aliuliza. Ngoja wazoefu wajeMkuu nataka nikuulize!
Kuna jamaa yangu nilimuelekeza ALAF pale Tazara kiwandani unfortunately akawa hapajui so ana classmate wake ana hardware...
Taishan bei zao zipoje?Kaka me nataka ninunue kwa hawa Taishan ila roho yangu inasita nishafika hadi ofisin kwao nilikuwa nataka nione shuhuda kama hizi
Shukrani kwa elimu mkuuJamaa yako hakupigwa tofauti ya ALAF na viwanda vyote vya mabati ni moja tu...
Yah mkuu jamaa ameshanijibu.Aisee. Hili swali hapo juu jamaa mwingine pua aliuliza. Ngoja wazoefu waje
MwanzaUko wapi mkuu!!!
Tunaweza kuwasiliana dm mkuu!!??Mwanza
Njoo pmTunaweza kuwasiliana dm mkuu!!??
Hakuna kitu kinaitwa Eurooean Class as far as curragated steel sheet is concerned. Uko sahihi.Kwanza Tanzania viwanda vya mabati hua tunadanganyana sana, hakuna mabati ya europian class kwa Tanzania
Mkuu Najaribu kuja pm Naona inakataa. Unaweza kunipm!!!?Njoo pm
Karibu sana Kinglion,sasa tuna rangi nyingi Sana tunaamini huo ukweli wetu ulipata elimu na itasaidia na wengine.Inawezekana ndugu. Kama ni wewe au ni mwenzako, ila nilifurahia sana uwazi na ukweli wenu. Sikununua mabati kwenu kwa kuwa nilipendezwa na mabati ya rangi ya Red Wine ambayo kwenu kipindi hicho hamkuwa nayo. Ila niliwaelewa sana Kinglion kwa elimu mliyonipa
Acha kudanganya mkuu!Bati bomba wapo vizuri mwaka wa pili huu zipo hazijapauka hiyo kauli ya ndau kuwa ni nyepesi kweli nyepesi na hiyo ni ubora na material wansyotengenezea bati likiwa zito inapelekeaa kushika kitu na kupauka hivyo ule wepesi ni uwezo wa bati ishishike kutu na kupauka aluminum hiyo inakuwa nyingi zaidi nakushauri chukua bati bomba
Acha kabisa mm mwezi Nov nilinyanyua BOMA langu nikafunga lenta nikataka kuezeka kabisa bati za kuezekea na kofia jml 154 kwa bei ya Mwanza natakiwa niwe na 6,006,000 kwa bei ya 39,000/- kwa alaf mkononi nikicheki Nina km 4M nikaacha BOMA linyeshewe mvua nikusanye nguvu ,nilitembelea makapuni yote ya bati hapa sijui dragon,kiboko,kinglion nk nikaona Acha niongeze bajeti nitaezeka mbele kwa mbeleKumbe wahanga wa bati tupo wengi na mimi jumatatu nataka niende kwa hao jamaa nikazitazame nb,sio kwamba hatupendi hizo bora ila pesa ya kuchungulia sana
[emoji23][emoji23]kwa stage niliyofikia kwangu kutoapua ndani ya hii miezi miwili sio option.Acha kabisa mm mwezi Nov nilinyanyua BOMA langu nikafunga lenta nikataka kuezeka kabisa bati za kuezekea na kofia jml 154 kwa bei ya Mwanza natakiwa niwe na 6,006,000 kwa bei ya 39,000/- kwa alaf mkononi nikicheki Nina km 4M nikaacha BOMA linyeshewe mvua nikusanye nguvu ,nilitembelea makapuni yote ya bati hapa sijui dragon,kiboko,kinglion nk nikaona Acha niongeze bajeti nitaezeka mbele kwa mbele
Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
Marketing manager wa ALAFNdugu P.D Nzige
Kutokana na uzoefu wangu kwenye ujenzi mimi huwa nafanya hivi,naangalia nikiweka za kawaida nitaokoa kiasi gani nikiweka za rangi nitapata hasara kiasi gani?mf bati nyeupe ya kawaida dukani ni 27,000/= ALAF kiwandani ni 37,500/= (currently price nimenunua juzi mwezi august) tofauti yake ni Tsh 10,500/=so kwa kesi yako ukisema uende na za kawaida it mean uta-save Tsh 1,155,000/= tu ambayo kwenye ujenzi wa nyumba ya bati 110 tuseme kwa ukubwa wake ukisema ifanye kitu kuendeleza ujenzi hakuna kitu itafanya kama ungependezesha kwenye paa.
Miaka mitatu mbele kama utaweka bati za kawaida utazichukia utataka uzipige rangi na itaku-cost siyo chini ya 700K na siyo rangi ya kudumu itakutaka tena baada ya muda fulani uirudie kwa gharama kama hiyo au zaidi.tofauti ya million 1 isikufanye nyumba yako ikose kupendeza weka kitu kizuri hata hizi za kichina achana nazo utakuta zinauzwa Tsh 33,000/= tofauti 4,500/= tu na ALAF ila kama kuweka bati za kawaida uta-save zaidi ya 2 mill weka tofauti na hivyo usiweke
Asante mkuu. Angalau unaweza kutusaidia bei zao ili na wengine wapato chochote hapaNunua bati za dragon kama utahitaji njoo inbox nikupe mtu akusaidie na utapata punguzo la mwisho wa mwaka.
Nataka niwashauri wengi waliopo hapa. Bati zote huchakaa rangi isipokuwa namna ya uchaakaji unatofautiana kati ya rangi na rangi zingine na kati ya kampuni moja na ingine.
Rangi zenye kung'aa sana mfano Red, Maroon, Blue, Navy Blue huchakaa haraka zaidi kulinganisha na rangi zingine.
Hivyo kuna rangi ukiweka hata baada ya miaka 20 utaziona zikiwa kama ulivyonunua.
Pili upigaji wa misumari nao unaweza kufanya bati kuoza haraka kwani misumari ya bati huwekwa raba kuzuia maji na hewa kwenye tundu la msumari lakini mafundi wengi hupiga bati pasipo kuhakikisha msumari unaraba yake bati linaanza kuoza sehemu msumari na kuelekea sehemu zingine.
Mwisho hali ya hewa hasa maeneo ya pwani ni changamoto kwa bati aina zote. Hivyo kichukua bati zenge unene mzuri unaipa paa lako miaka minvi zaidi. Hivyo gauge 28 kushuka chini inalipa uhai paa lako kuliko gauge 30 au 32
Ni hayo kwa leo
Uzuri wa hapa member wote tupo huru ku-share experiences zetu kwa manufaa ya wengine so mawazo ya kila mmoja yanaweza kuwa na maana kwa mtu A na yanaweza yasiwe na maana kwa mtu B kama wewe hivi.Marketing manager wa ALAF
Boss,kwa idadi ya hizo bati na bajeti ya mil 4 ni ndogo Sana.Acha kabisa mm mwezi Nov nilinyanyua BOMA langu nikafunga lenta nikataka kuezeka kabisa bati za kuezekea na kofia jml 154 kwa bei ya Mwanza natakiwa niwe na 6,006,000 kwa bei ya 39,000/- kwa alaf mkononi nikicheki Nina km 4M nikaacha BOMA linyeshewe mvua nikusanye nguvu ,nilitembelea makapuni yote ya bati hapa sijui dragon,kiboko,kinglion nk nikaona Acha niongeze bajeti nitaezeka mbele kwa mbele
Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
Yes ndo maana nilitunza hela nikusanye kwanza mwakani kufika April to June nitakuwa nimekamilishaBoss,kwa idadi ya hizo bati na bajeti ya mil 4 ni ndogo Sana.
Sawa haina shida naamin Mungu atakuwezesha ufanikishe lengo lako.Yes ndo maana nilitunza hela nikusanye kwanza mwakani kufika April to June nitakuwa nimekamilisha
Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app