Usiwe na papara kwenye upauji. Endelea kudunduliza uweke kitu cha ALAF. Baadae Unaweza kujikuta unajuta na kujilaumu kwa papara uliyoifanyaNataman sana ila mambo yameumana balaa. Budget kikomo. Nishasqueez to the last point
Na siwezi fika mwezi Feb bila kuwa sijapaua aisee
Hapo ada ya dogo inadai na huku nategemea chalii tena
Kiwanda kama alaf au sunshire kinakufaje kizembe mkuu?Kiwanda kikifa?
TBS wanatoa uthibitisho kwa kutumia vipimo vya maabara. Huko duniani ndio kuna ukweli wa namna gani bati ita-perfom. Watu wanaogopa hizi kampuni ndogo ndogo kwa sababu hazina muda mrefu kwenye soko. Utajuaje performance yake kwa hiyo miaka 10? Kuna mdau hapa amesema ametumia miaka 3 na hajaona shida, hii ni feedback nzuri, ila kuamini tu TBS unaweza ukalia baada ya muda.Hivi tunapozungumzia ubora wa bati tunaangalia muda mpaka bati ianze kupata kutu au muda ambao rangi itaanza kupauka?
Maana hizo unazosema za bei ndogo zimepitishwa na TBS,na wanatoa warranty ya miaka 10,sasa kigezo cha kuzipitisha ni nini? ina maana zinakidhi viwango.
Mi naona mambo mengine hapa ni mfuko wa mtu,weka bati kulingana na uwezo wako,kwani wengi wetu nchi nzima tunaweka haya viwanda vidogo na hayo maswala ya kutu au rangi tutadanganyana tu humu...
Utatambuaje bati original ya ALAF..?Mkuu,Mimi nimekuwa sales officer wa kampuni mbili za mabati Kwa wakati tofauti. Watu wengi wanashindwa kuelewa kuwa kampuni zote za mabati,bati zao huwa zinapauka ila hutofautiana kutegemeana na mazingira uliyopo, pamoja na ubora wa rangi iliyokuwa prepainted kwenye materials pamoja na thickness ya coating.
Kuhusu suala la ubora wa mabati ni kweli ALAF ni leading company kwenye industry ya mabati lakini hata naye huwa anapata changamoto ya bati kupauka kabla ya muda tegemewa.
USHAURI.
Mkitaka kununua bati ni kheri muwe mnaenda kununua kiwandani Moja kwa moja na siyo kwenda kwenye maduka.
Pia suala la msingi kabisa ni kuwa HAKUNA BATI YA GAUGE 30 ILIYOTIMIA AMBAYO INAUZWA CHINI YA SH25000/= ZA UPANA MDOGO NA SH 33,000/= UPANA MKUBWA(KWA DAR) NA 27,000/= UPANA MDOGO NA 35,000/36000 ZA UPANA MKUBWA (MIKOANI).HIZO ZOTE MNAZOAMBIWA NI GJ 30 NA INAUZWA KWA 23,000/= SI KWELI BALI HIYO NI GJ 30 INAYOELEKEA KWENYE GJ 32 AU NI GJ 32 KABISA.
KWA MASWALI NA MAELEZO ZAIDI MNAWEZA KUNIULIZA MASWALI NAMI NITAJIBU KWA KILE NINACHOKIJUA.
KARIBUNI SANA KINGLION MABATI.
LAZIMA TUAMBIANE UKWELI ILI TUSAIDIANE.
Mkuu, ni rangi gani ambayo sio rahisi kupauka tofauti na hizo rangi ulizo zitaja?Nunua bati za dragon kama utahitaji njoo inbox nikupe mtu akusaidie na utapata punguzo la mwisho wa mwaka.
Nataka niwashauri wengi waliopo hapa. Bati zote huchakaa rangi isipokuwa namna ya uchaakaji unatofautiana kati ya rangi na rangi zingine na kati ya kampuni moja na ingine.
Rangi zenye kung'aa sana mfano Red, Maroon, Blue, Navy Blue huchakaa haraka zaidi kulinganisha na rangi zingine.
Hivyo kuna rangi ukiweka hata baada ya miaka 20 utaziona zikiwa kama ulivyonunua.
Pili upigaji wa misumari nao unaweza kufanya bati kuoza haraka kwani misumari ya bati huwekwa raba kuzuia maji na hewa kwenye tundu la msumari lakini mafundi wengi hupiga bati pasipo kuhakikisha msumari unaraba yake bati linaanza kuoza sehemu msumari na kuelekea sehemu zingine.
Mwisho hali ya hewa hasa maeneo ya pwani ni changamoto kwa bati aina zote. Hivyo kichukua bati zenge unene mzuri unaipa paa lako miaka minvi zaidi. Hivyo gauge 28 kushuka chini inalipa uhai paa lako kuliko gauge 30 au 32
Ni hayo kwa leo
nasubiri jibuMkuu, ni rangi gani ambayo sio rahisi kupauka tofauti na hizo rangi ulizo zitaja?
Mkuu Mimi nimekuwa sales officer wa dragon na Sasa niko na Kinglion,Si sales wa ALAF ila Kwa uzoefu wangu wa mabati naweza kutambua bati original ya ALAF kwa kuzingatia vitu viwili;Utatambuaje bati original ya ALAF..?
Huwa sioni sababu za kulipia miezi kabla.,🥹🥹🥹🥹machozi, jasho na damu
Achana na huzo story.Kiwanda kama alaf au sunshire kinakufaje kizembe mkuu?
Kampuni gani hii??Nimeona wana test nzuri ya bati hizo dots nimezipenda
Bati BombaKampuni gani hii??
Hizi ni materials ambazo baadhi ya makampuni tunaita matte wengine wanaita royal ila Kwa kiswahili tunaita mchanga mchanga/chengachenga.Nimeona wana test nzuri ya bati hizo dots nimezipenda
zinapendezesha sana paaHizi ni materials ambazo baadhi ya makampuni tunaita matte wengine wanaita royal ila Kwa kiswahili tunaita mchanga mchanga/chengachenga.
Ni matirio mazuri Sana na bati yake Ina Bei kubwa kulinganisha na Bei ya bati la rangi mterezo
Zina chata KILA baada ya mita kadhaa,zaidi wasiliana nao watakupa alama zaoUtatambuaje bati original ya ALAF..?
Shida inawahi kupata ukungu kama vigae nyumba inaonekana chafu kama vigae vya nyumba za Mbezi beach.Hizi ni materials ambazo baadhi ya makampuni tunaita matte wengine wanaita royal ila Kwa kiswahili tunaita mchanga mchanga/chengachenga.
Ni matirio mazuri Sana na bati yake Ina Bei kubwa kulinganisha na Bei ya bati la rangi mterezo
🥹🥹🥹🥹🥹duuh. Asante kwa kushare kakaBati Bomba
[emoji23][emoji23][emoji23]shida mfuko ndugu. Alaf ni mkasi kweli kweliShida inawahi kupata ukungu kama vigae nyumba inaonekana chafu kama vigae vya nyumba za Mbezi beach.
Old fashion, kitu msauzi Alaf utojutia kampuni zingine jiandae na kopo la rangi juu baada ya miaka 2.
Kuna sister napiga nae nyumba yake alipiga hii chenachenga ya C.gray toka dragon. Nyumba inawaka balaa. Since 2020 bado kanadunda fressshHizi ni materials ambazo baadhi ya makampuni tunaita matte wengine wanaita royal ila Kwa kiswahili tunaita mchanga mchanga/chengachenga.
Ni matirio mazuri Sana na bati yake Ina Bei kubwa kulinganisha na Bei ya bati la rangi mterezo