Mliowahi kutumia bati za kampuni ya BATI BOMBA LTD au kampuni zozote ndogo za mabati

Kwa Sasa Kila mtu ameacha za kawaida. Kama vipi we piga hizo afu malizia na kupaka rangi itakuwa bomba
 
Mkuu chukua mzigo paua majengo wako zinaubora Mzuri tu.
 
Kuna sister napiga nae nyumba yake alipiga hii chenachenga ya C.gray toka dragon. Nyumba inawaka balaa. Since 2020 bado kanadunda fresssh
Mkuu nipo Lindi.....tafadhali ukifika hatua ya kununua bati baada ya kujiridhisha tafadhali naomba tupe mrejesho....mimi nimeshamaliza boma nazchanga naiman panapo uhai na kipato....mwakani mwezi wa sita nitanunua bati...naimani umekusanya maoni yatakayokusaidia kuamua hasa ukizingatia upo karibu na town.... usisahau feedback kaka
 

Uko sawa- Ile SEAL au mhuri wa moto unatumika sana kuitambua ALAF .
 
namm pia mkuu
 
Kwani lazima uezeke na bati tafuta hata makuti uezeke uingie kwenye kibanda chako maisha mbona simple sana
 
Reactions: Gru
Kwani lazima uezeke na bati tafuta hata makuti uezeke uingie kwenye kibanda chako maisha mbona simple sana
Nipo ndani. Nilianza kwa kuezeka master bedroom na kasehemu kadogo kakupigia gahwa. Sasa nataka nipige nyumba nzima
 
Kaka ulifanikiwa kupaua kwa bati ya kampuni gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…