Mmeona sasa utofauti kati ya Uwajibikaji wa Wazungu na Waafrika? Kwetu Rais mpaka afie madarani vinginevyo hatoki!

Hakuna la ajabu kuteuliwa na kutenguliwa
Hata magufuli aliteua alipoona hawafai akawatengua na samai jamii ilimuonya kuhusu hao vilaza lakini akawateua amejionea mwenyewe hawafai Kisha kawatengua Sasa hapo la ajabu nini?
 
Hata magufuli aliteua alipoona hawafai akawatengua na samai jamii ilimuonya kuhusu hao vilaza lakini akawateua amejionea mwenyewe hawafai Kisha kawatengua Sasa hapo la ajabu nini?
Kama tu mama alivyoamua kuwapiga chini kina Kabudi, Biswalo ...
 
Tuache kujidharau, tuangalie tumejikwaa wapi na siyo tulipoangukia. Tatizo kubwa la nchi nyingi za Africa ni kutengeneza viongozi imara badala ya mifumo imara. America hata mkitofautiana na rais hadharani utaendelea kudunda. Hapa kwetu upishupaza shingo, hata biashara, mashamba, ajira na kila ulichonacho unaweza kunyang'anywa na hakuna chombo chochote cha kukulinda. Matokeo yake uoga umezidi na tumebaki na uchawa mwingi.
 
Sure. Bila kuuana nchi za africa hakuna anayejali kabisa
 
Waambie ukweli Hawa mapimbi hawaelewi kitu kabisa!
 
Kwa hiyo ni kweli tumetokana na Nyani c et!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…